Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 651
WTF.... hamjamaliza kwenye top 2 in five years...? Alafu manataka mspring kwenye championship? GTFOH!
On a serious note nawaonea Arsenal fans huruma maana duh walikuwa wanaonekana kama timu yao imeshuka daraja, I said it and I will say it again mechi ya Bolton na Stoke ni very dodgy
Tangu mmefungwa na Birmingham mmeshinda mechi mbili kati ya kumi FACT!!
Kikulacho kinguni mwako FACT
Chenga twawala hazileti ubingwa FACT
Wacha1 atalalamikia bahasha na marefa na Man Utd FACT
On a serious note nawaonea Arsenal fans huruma maana duh walikuwa wanaonekana kama timu yao imeshuka daraja, I said it and I will say it again mechi ya Bolton na Stoke ni very dodgy
Tangu mmefungwa na Birmingham mmeshinda mechi mbili kati ya kumi FACT!!
Kikulacho kinguni mwako FACT
Chenga twawala hazileti ubingwa FACT
Wacha1 atalalamikia bahasha na marefa na Man Utd FACT