Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Again Arsenal has been defeated! Its time for Wenger to quit. Tunamshukuru kwa kwa kuifikisha club hapa ilipo, but hana msaada tena as anaonekana kuwa kashaishiwa mbinu! Tumechoka fans wa Arsenal
 
hawa arsenal watige kikombe kwa babu ndo watatulia ...wanahitaji kupepelewa sanaaaaa
 
kipa ndo kaniacha hoi yaani kaamua kukaa chini kabisa kaanza kunywa maji..hahaaaaa
 
poleni sana arses! nahisi mtaanzia ligi ya mchangani UCL next season
 
Timu ilihitaaji wachezaji wachache tu kuongezea Wenger kakataa kununua, matokeo yake ndio. Mumivu tu hata kama wao hawajali lakini lazima wakumbuke mapato yanatoka kwa fans pia.

Tatizo lenu jingine nyie ("Mtibwa Sugar") washika bunduki ni kwamba mnaridhika sana na samba style....mkishaona mnamiliki mpira over 60% kwenye mechi zenu halafu mkashinda shinda kwa bahati....mnasahau UDHAIFU wa Babu yenu Wenger........mkifungwa ndio mnaanza kulia lia eti Wenger hafai.........trust me Harry Redknap can make a very good Manager for Arsenal 10 times than Wenger.....
 
"We are in the 90th minute Arsenal need to find a winner but first they have to defend ......................."
 
Auto Reply msg.

Mbu is on a long vacation.
Don't bother looking for him.

Ahsanteni.
 
There are currently 38 users browsing this thread. (20 members and 18 guests)
samora10 Peasant Arsene Wenger Kigogo Rejao mfarisayo SirAF Sanja Manda Viper nassdadon The Finest Wacha1 Questt Matope Msarendo


mkuu naomba tathmini yako... Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
 
Lmao....
Ngoja nfike hm niwape vidonge vyenu.

Vidonge vya nini tena mtani?

Huna haja ya kutoa vidonge wala nini maana tumeshavizoea na havitasaidia maana ugonjwa wetu umeshakuwa SUGU

Vidonge havitasaidia comrade
 
beki yetu mbovu sana, wenger anasema anawakuza .


Beki yetu imekuwa inammiss sana T5 ambaye hakucheza msimu mzima tulitegemea angekuwa ok Jan/Feb lakini hakuweza kurecover, vile vile tumekuwa tunapigwa vita sana na the whole media machinery na Mafioso wakimwaga mpunga kama vile wamepata kichaa.

BTW hii mechi inafanya mechi ya weekend na Manure kuwa formalities tu kwa sababu sioni haja ya kuwakata nishai na kuwa na kelele za mafioso.

BTW defence ya Arsenal statistically ni nzuri kuliko ya Manure .... ...
 
Mnamuonea tu kocha

Kwani board ndio inapanga wachezaji na kutoa formation? kama anaona wachezaji wanarudia makosa yale yale kwanini asiwape asifanye marekebisho? hao hao ndio anataka kuja nao season inayokuja.

Anyway kujielezea inazidi kutia uchungu tu mkuu , maisha tofauti wewe enjoy na timu yako.
 
Tatizo lenu jingine nyie ("Mtibwa Sugar") washika bunduki ni kwamba mnaridhika sana na samba style....mkishaona mnamiliki mpira over 60% kwenye mechi zenu halafu mkashinda shinda kwa bahati....mnasahau UDHAIFU wa Babu yenu Wenger........mkifungwa ndio mnaanza kulia lia eti Wenger hafai.........trust me Harry Redknap can make a very good Manager for Arsenal 10 times than Wenger.....

Sasa unataka tulalamike kabla matokeo ya mechi?


Ebu nendeni kwenye pasaka tuacheni hapa mara tunamkutano wazarula.
 
Kwani board ndio inapanga wachezaji na kutoa formation? kama anaona wachezaji wanarudia makosa yale yale kwanini asiwape asifanye marekebisho? hao hao ndio anataka kuja nao season inayokuja.

Anyway kujielezea inazidi kutia uchungu tu mkuu , maisha tofauti wewe enjoy na timu yako.

Hela anatoa wapi?
 
AW kuna kila dalili ukabadili ID name yako Jf the way unavosiliba Profesa wenu...nitaomba nikuchagulie jina...hahahahaha! Utaitwa Mzee wa Matumaini..
 
duu sasa refa kaharibu wapi?au lile goli ni offside??? kweli una mahaba makali sana na arsenal


Bila shaka hukuangalia huu mpira au mechi ambazo Arsenal wanacheza, timu za Manure na Chelsick siku zote mnabebwa Wacha ngebe kaka khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee tena wewe ulikimbia hapa sasa huu ujasiri sijui unaupata wapi?

Kushindwa kwa Arsenal leo ndio kumeondoa matumaini ya Mafioso team.
 
Wacha1 bwana mara beki mbovu! mara Ferg katoa bahasha! Sasa sijui lipi la kweli. Au beki wa arsenal nao wamepewa bahasha?
 
AW kuna kila dalili ukabadili ID name yako Jf the way unavosiliba Profesa wenu...nitaomba nikuchagulie jina...hahahahaha! Utaitwa Mzee wa Matumaini..

Nimeshasema sibadilishi jina mpaka Wenger aondoke, sijampinga kama kocha wetu, ni kwamba mda umefika afanye mabadiriko au abadirishwe yeye.

Board najua wako nae kutokana na mahesabu sema fans sasa watapata nguvu sasa hivi ya kuhimiza mabadiriko.
 
Back
Top Bottom