Hapa sasa kautulivu kanaingia kwenye chama langu£70m kutumwa muda wowote View attachment 2499550
Tuko busy na Enzo.New proposal ya £70m ndio mwisho
Wakikataa hakuna kupanda , wasubirie Chelsea ndio watatoa €100m
️
“Chelsea's return to trying to sign Enzo Fernandez after Arsenal entered to sign Moises Caicedo.Nimemfuatilia Enzo kuanzia World Cup mpaka sasa kwenye ligi yao.️
“Chelsea's return to trying to sign Enzo Fernandez after Arsenal entered to sign Moises Caicedo.
Arsenal is now applying to sign the Ecuadorian player, who asked Brighton to approve his sale to Arsenal.”
@NizaarKinsella on Caicedo and Enzo Fernandez
🤣🤣🤣 Sizitaki hizi mbichi Enzo kwetu ndio mchezaji sahihi muda mrefu pale Kati tumekosa midfielder mwenye uwezo wa kupiga long passes kama Lampard Enzo ni mzuri kwenye Hili eneo, atatusaidia kwenye ukabaji na ni mzuri kwenye passes na pia workrate yake ni kubwa ndio maana chelsea at any cost inamuhitaji regardless of his price tagNimemfuatilia Enzo kuanzia World Cup mpaka sasa kwenye ligi yao.
Ni overrated player.
He can do passing na ni press resistant lakini sio kwa €120m ambayo Chelsea wanaenda kuitoa.
Na bahati nzuri Benfica wanapenda sana michezo ya kihuni, yani wamewavuta Chelsea mpaka kwenye asking price yao.
That's a lot of money for such a player.
Benfica mungu anawaona. Wamenunua €15m. Ghafla watu wanadai €120m. WC imempandisha mtu bei within a month.
Ila waacheni watoe tu, si mfuko wanao. Kuna sajili zikienda timu pinzani zitaniuma lakini sio Enzo.
Chelsea ipo nafasi ya ngapi??Ndio maana mlifungwa
City walirudi nyuma woote kujilinda
![]()
Chelsea ipo nafasi ya ngapi??
Arsenal submitted 2nd offer tonight for Brighton & Hove Albion midfielder Moises Caicedo. Latest proposal for Ecuador international £65m + £5m add-ons rejected. Despite #BHAFC reiterating stance 21yo going nowhere, #AFC clearly still keen @TheAthleticFCBei yake nikutokana na Release clause waliyoiweka wakat wanamsajiliNimemfuatilia Enzo kuanzia World Cup mpaka sasa kwenye ligi yao.
Ni overrated player.
He can do passing na ni press resistant lakini sio kwa €120m ambayo Chelsea wanaenda kuitoa.
Na bahati nzuri Benfica wanapenda sana michezo ya kihuni, yani wamewavuta Chelsea mpaka kwenye asking price yao.
That's a lot of money for such a player.
Benfica mungu anawaona. Wamenunua €15m. Ghafla watu wanadai €120m. WC imempandisha mtu bei within a month.
Ila waacheni watoe tu, si mfuko wanao. Kuna sajili zikienda timu pinzani zitaniuma lakini sio Enzo.
Morinho aliwahi kulisema hili, wachezaji wamekuwa so overpriced, thamani yao na bei sokoni haviendani hata kidogo. Mudryk kununuliwa kwa 89 ni ghali sana, basi tu michezo imekuwa biashara kubwa kuliko.£70m + adds on bado BHA wanakaza, !!!!
soko limekuwa gumu Sana nowdays ,,,,
|| If Arsenal decide to make a new proposal for Caicedo in the next 48hrs, it would be a potential record fee for the clubHuyo waachane tu naye watafute mchezaji mwingine maana wanaweza wakapoteza muda wao kwa hiyo dogo na dirisha likafungwaNews #Caicedo: #AFC doesn’t give up! New offer of £70m with possible bonus payments confirmed. Arsenal is still pushing & pushing.
But #BHAFC rejected the new and massive offer again …
Caicedo wants to join Arsenal!
#DeadlineDay is coming.
@SkySportDE![]()