Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ila nawatahadharisha Caicedo asijekuwa kama Bissouma tu pale spurs.....
Hizo roho mbaya Sasa, halafu Bissouma na caicedo Ni wachezaji profile tofauti

Kuna mashabik wenzangu nilibishana nao Sana Hata humu kuhusu Bissouma kuwa sio Arsenal material,mwisho wa siku hakuna klabu iliyomtaka ,Hadi akabaki anajipigia debe kuja Arsenal, Bei ikashuka Hadi £25m , ndipo Conte akambeba

Kwahiyo elewa Kwanza Arsenal tunasajili Mchezaji anayeendana na mfumo wetu ,

Ukimuangalia Trossard unaweza kusema Ni Mchezaji ana miaka miwili Arsenal ,
 
Naona tuachane nae huyu Caicedo. Hawa BHA wamepanga kutukamua. Arsenal wasiende zaidi ya hapo.

Tuangalie options zengine.

Navuta picha hapo wangeenda Spurs, Villa au timu yoyote ndogo basi wangekua washamchukua kwa £25 tu!
Arsenal Wana option nyingine ,utaratibu huwa Kuna Majina Hadi matatu

,tusubiri Hadi jion tuone Kama 3rd bid itatumwa au tuta Give up ,

£70m kwa Mchezaji ambaye hajafikisha Hata mechi 50 alizoanza za EPL, Mchezaji ambaye walimnunua sijui £7m , kwao hi ilikuwa jackpot
 
Arsenal are reportedly ready to send Marquinhos out on loan before Tuesday’s transfer deadline, with the Brazilian winger unlikely to feature much for the Gunners in the second half of the season.

[Express]
 
Arsenal Wana option nyingine ,utaratibu huwa Kuna Majina Hadi matatu

,tusubiri Hadi jion tuone Kama 3rd bid itatumwa au tuta Give up ,

£70m kwa Mchezaji ambaye hajafikisha Hata mechi 50 alizoanza za EPL, Mchezaji ambaye walimnunua sijui £7m , kwao hi ilikuwa jackpot
Maajabu ya mpira anaweza shuka kiwango au injury wasije ipata tena hela hiyo.
 
Acheni ubahili Arsenal vunjeni kibubu mchukue mali hiyo Calcedo
Kwahiyo Arsenal kufika had £70m Bado unasema Ni wabahili?

Sishangai maana Hata kwa mudrky tulifika €95-100m Bado mkasema Arsenal wabahili

Inaonesha Hilo neno UBAHILI hamjui maana yake .

Nani ambaye sio mbahili tukuoneshe wachezaji akiwakosa .
 
I have been told it took Brighton one minute to reject Arsenal's second bid for Moises Caicedo.

Whether it was literally one minute I am not sure but Brighton are pretty adamant they have no interest in selling and feel if Arsenal really want a midfield player before tomorrow night's deadline, they would be better advised trying to sign someone who is actually for sale.

Caicedo will not return to the club until Wednesday. That feels like a long way off as far as this transfer 'saga' is concerned.
 
Martinelli with the most completed dribbles in the league. Operating on his own levels. What a joy to watch! ️ #Arsenal
IMG_20230130_140140.jpg
 
Back
Top Bottom