Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Enzo nasikia wanampa £2m halafu RC wanaipandisha kutoka €120m had €150m
Wakifanya hivyo watamla wenyewe. Wachezaji wazuri wengi. Tuta.pata mzuri kuliko yeye.
Inter Skiniar walipewa pesa nyingi mwaka jana wakakataa. January hii PSG wamempa kidogo wakakataa wai wanataka 20m sasa PSG wameshasaini na mchezaji atahamia PSG bure msimu ujao
 
Kazi ya Potter hiyo. Kaijenga timu hata bila Caicedo na Trossard bado timu inacheza kibingwa
 
Kazi ya Potter hiyo. Kaijenga timu hata bila Caicedo na Trossard bado timu inacheza kibingwa
Labda Kama humjui Di Zerbi ,Potter alikuwa anatumia back 3 ,pia Potter alikuwa Hana buildup nzuri Kama ya Di Zerbi

Huyo Potter kwa Di Zerbi Bado Sana .


Brighton Kama huwez kuishinda Buildup Yao lazima uteseke

Ni buildup mbili tu ndio Bora kuzidi ya Brighton ,ya Mancity na Arsenal


Advantage aliyoikuta Di Zerbi kakuta Kuna vipaji aliviacha Potter

Di Zerbi alienda Etihad akamu outplay Pep akazidiwa Quality tu
 
Labda Kama humjui Di Zerbi ,Potter alikuwa anatumia back 3 ,pia Potter alikuwa Hana buildup nzuri Kama ya Di Zerbi

Huyo Potter kwa Di Zerbi Bado Sana .


Brighton Kama huwez kuishinda Buildup Yao lazima uteseke

Ni buildup mbili tu ndio Bora kuzidi ya Brighton ,ya Mancity na Arsenal


Advantage aliyoikuta Di Zerbi kakuta Kuna vipaji aliviacha Potter

Di Zerbi alienda Etihad akamu outplay Pep akazidiwa Quality tu
Sema scout ya Brighton

De zerbi kakuta team msingi wake ushakaa vizuri ni vitu vichache tu kaongezea.

Naona kabisa msimu ujao Kuna watu wakienda tena kwa Mitoma na BHA atawakamua
 
Sema scout ya Brighton

De zerbi kakuta team msingi wake ushakaa vizuri ni vitu vichache tu kaongezea.

Naona kabisa msimu ujao Kuna watu wakienda tena kwa Mitoma na BHA atawakamua
Nikweli kakuta Kuna msingi,na skauti yao Ni nzuri

Plus na Uwezo wa Di Zerbi , Brighton wanacheza like Big teams

Kwangu hii Ni Brighton hatari kuliko Hata ya Potter
 
Kazi ya Potter hiyo. Kaijenga timu hata bila Caicedo na Trossard bado timu inacheza kibingwa
Mkuu Acha kumpakulia kocha wako Minyama ambayo haistahili...! Hiyo ni kazi ya Roberto De Zerbi mwenyewe

Potter kaondoka Brighton na ikapoteza michezo mitatu Kati ya minne, maana yake ni kwamba wakati anaondoka potter aliondoka na kila kitu chake

Potter ameenda Chelsea hakupoteza mechi katika michezo karibia 9 ya ligi kuu pamoja na UEFA ila akaja kupoteza alipokutana na team ambayo imepoteza michezo mitatu Kati ya minne ambayo ni Brighton

Roberto De Zerbi alijitafuta kipindi anapigwa back to back hadi akajipata na ndio tukaona hiyo team, ingekuwa Zerbi anatembelea Nyota ya potter basi asingepigwa kama Ngoma baada ya Graham kwenda Chelsea

Matokeo ni kwamba tunaweza kusema Potter ndio alikuwa anatembelea upepo wa Tuchel ndomana mwanzo Chelsea ikaonekana iko njema na baada ya kuanza kuipriment mbinu zake maji yakazidi unga ndio hadi leo

De Zerbi amekuta potter anamtegemea Moises na Trossad ila yeye kaja katengeneza team ambayo ata akosekane mchezaji muhimu bado inakupa matokeo

Trossard hakucheza hakucheza game 5 kutokana na matatizo ya kinidhamu ila Brighton ikaendelea kuwa yamoto kama kawaida, Mc Allister akakosa game 3 alipotoka world cup ila Moto ukawa ule ule

Subiri Potter atengeneze team nzuri hapo Chelsea tutampa tu sifa zake na sio kuanza kupewa sifa ambazo hazimuhusu, kwa sasa Brighton ilivo ni mipango ya Zerbi only
 
Kazi ya Potter hiyo. Kaijenga timu hata bila Caicedo na Trossard bado timu inacheza kibingwa
Potter Bado Sana kwa Di Zerbi,
Di Zerbi ni moja ya matactician Bora EPL kama hujui Hilo

In terms of tactics

Pep GUARDIOLA
Jurgen Klopp
Mikel Arteta
Di Zerbi

George Ambangile anasema

Hii build up ya Brighton only Arsenal na City ndio better zaidi yao . Wana option tatu

Play through you
Play around you
Play over you

Chagua wewe unavyotaka ukienda kuwa press

2BCs na 2 CMs plus GK .. fullbacks outwide making the pitch bigger ( wanakuwa outballs)
 
De Zerbi on Arsenal bid for Caicedo: “I would like Moises to finish the season with us, but we are ready to go forward without him”. #BHAFC

“I respect his decision — I can’t be also the chairman, so we will see in the next days”.



Roberto De Zerbi says Brighton are ready to move on without Moises Caicedo as Arsenal consider an improved offer of up to £70m (inclusive of add ons). Story shortly on


@MailSport with @_DanMatthews_
 
Tajiri miruzi akiona hii habari tumekwisha
Screenshot_20230129-202148_Twitter.jpg
 
Potter Bado Sana kwa Di Zerbi,
Di Zerbi ni moja ya matactician Bora EPL kama hujui Hilo

In terms of tactics

Pep GUARDIOLA
Jurgen Klopp
Mikel Arteta
Di Zerbi

George Ambangile anasema

Hii build up ya Brighton only Arsenal na City ndio better zaidi yao . Wana option tatu

Play through you
Play around you
Play over you

Chagua wewe unavyotaka ukienda kuwa press

2BCs na 2 CMs plus GK .. fullbacks outwide making the pitch bigger ( wanakuwa outballs)
RUBISH
 
Arsenal inajiandaa kupeleka ofa ya jumla ya £70m ikiwa na bonus ndani yake kwa Brighton kumtaka Caicedo

Arsenal wamesisitiza iwapo itakataliwa hawatavuka zaidi ya hapo


Arsenal are thought to be making another bid on Caicedo worth 70m including addons. If it gets rejected, could consider walking away

(@_DanMatthews_ )
 
Back
Top Bottom