Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Very true, Partey akipata majeraha ya kumuweka bench kwa mwezi tu tutazungumza mengine humu.
I think tunaweza maliza dili la Caicedo ,Kuna asilimia kubwa ...Arteta anajua chakufanya

Hawa Haters ndio walidai tumekwisha kwa kuumia Jesus,
 
EPL & Europa zimebaki jumla mechi 26

With Depth ya kikosi kwa miezi minne mechi 26

Tuna average ya kucheza mechi 1 kila wiki
 
Kama umeangalia mechi ya leo ,City Ni mweupe Sana

Sipati picha pale Emirates atatokea wapi
Siti mweupe sana wakati tayari ameshakuchomeka ukuni?
Jikazeni watoto wa kiume acheni kulialia, kuna mechi zaidi ya 30 zinawasubiria kabla ya kumalizika msimu.
 
Siti mweupe sana wakati tayari ameshakuchomeka ukuni?
Jikazeni watoto wa kiume acheni kulialia, kuna mechi zaidi ya 30 zinawasubiria kabla ya kumalizika msimu.
Ondoa ushabiki umeona kuna timu pale ya kuifunga arsenal nje ndani??
 
️ | Gabriel Jesus is Arsenal’s highest earner at the club (£265k/week) with Thomas Partey the only other player earning £200k or more.

Arteta has done wonders to slim down the wage bill following the £300k+ contracts to Ozil and Aubameyang
 
Siti mweupe sana wakati tayari ameshakuchomeka ukuni?
Jikazeni watoto wa kiume acheni kulialia, kuna mechi zaidi ya 30 zinawasubiria kabla ya kumalizika msimu.
Hizo mechi 30 unazitoa wapi aisee

Sisi tumebakiza mechi 26 tu Tena hapo nimejumlisha na Europa Zote, maana Fainal tunacheza ,hakuna wakutuzuia
 
Hivi kwa akili ya kawaida tu boss Miluzi atawaacha salama kwa Caicedo?
Arsenal hatunaga option moja sokoni aisee, mbona hili hamuelewi I


Hivi kwa kiwango anachoonesha Trossard Nan anamuwaza mudrky?

Kama mnamchukua caicedo kwa kuingilia hili dili mjiandae €100m

Halafu Sisi tunaenda kumchukua Zubimend ana release clause ya €60m tu
 
Beckham mzaliwa wa London , mazoezi alikuwa anafanyia Arsenal ,

Thus why Cameo mwanae Ni Arsenal fans

Kuna maneno pia Beckham Ni Arsenal fan ,aliondoka akiwa mdogo kwenda jiji la Manchester kucheza mpira

IMG_20230128_100052.jpg
 
Beckham mzaliwa wa London , mazoezi alikuwa anafanyia Arsenal ,

Thus why Cameo mwanae Ni Arsenal fans

Kuna maneno pia Beckham Ni Arsenal fan ,aliondoka akiwa mdogo kwenda jiji la Manchester kucheza mpira

View attachment 2497965
Sawa mkuu lakini sisi tunachojua beckham kabeba mataji hakiwa na Manchester hayo mazoezi hata usain bolt anakujaga kupasha OT.
 
Arsenal FA ndo kombe lenu na ndo mmetolewa kwaiyo poleni sana tuonane mwakani ndo mmetoka bila kombe hivyo.

Jipangeni upya tu kwa ajiri ya mwakani kama kombe lenu la bahati hamkuwa serious nalo ndo byebye mpaka mwakani kupata kombe
 
Emirates ni training ground
tu ,katika viwanja vigumu dunian huwezi Kuta et jina la Emirates
 
Arsenal FA ndo kombe lenu na ndo mmetolewa kwaiyo poleni sana tuonane mwakani ndo mmetoka bila kombe hivyo.

Jipangeni upya tu kwa ajiri ya mwakani kama kombe lenu la bahati hamkuwa serious nalo ndo byebye mpaka mwakani kupata kombe
Hawa Nyani ni one season wonder, hamna kombe watalopata msimu huu zaidi ya kuongoza ligi kwa kipindi kirefu, hayo ndio mafanikio yao makubwa.
Hawa kima hawana tofauti na Wolves ambao mwaka jana walikua wanapambania kuingia top4 halafu msimu huu wanapambania wasishuke daraja.
 
Back
Top Bottom