Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mpira umekua wa kimiyeyusho sana.
Yaani 80M inakupa Caicedo.
100M inakupa Lukaku
100M inakupa Anthony
100M inakupa Mudryk
72M inakupa Pepe

Anyway, Zubimendi anasubiri ofa ya Barca kiangazi. Arsenal tulijibiwa tusubiri kiangazi, tatizo linakuja pale pale jamaa anaamini ana chance Barca kwakua Busquet anaondoka. Na yeye profile yake ni hiyo ya Busquet
Soko la usajili lishabadilika £100m sasq watu wanaichukulia kama 30-40 ya miaka ya nyuma
 
Back
Top Bottom