juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,433
Soko la usajili lishabadilika £100m sasq watu wanaichukulia kama 30-40 ya miaka ya nyumaMpira umekua wa kimiyeyusho sana.
Yaani 80M inakupa Caicedo.
100M inakupa Lukaku
100M inakupa Anthony
100M inakupa Mudryk
72M inakupa Pepe
Anyway, Zubimendi anasubiri ofa ya Barca kiangazi. Arsenal tulijibiwa tusubiri kiangazi, tatizo linakuja pale pale jamaa anaamini ana chance Barca kwakua Busquet anaondoka. Na yeye profile yake ni hiyo ya Busquet


