Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mikel Arteta & Arsenal needed a midfielder they believe was attainable right now & Moises Caicedo quickly rose to the top of their list. They believe Caicedo has the capacity to be a complement to Thomas Partey, as well as being his potential heir.

[@TheAthleticFC] #afc
 
Caicedo’s desire is to move to Arsenal. Reports,

@SamiMokbel81_DM.
IMG_20230128_081025.jpg
 
Tatzo la arsenal ni kiburi, kiburi kitawaponza nyinyi ni kawaida saana.

Ev. Daniel mgogo voive
 
Tatzo la arsenal ni kiburi, kiburi kitawaponza nyinyi ni kawaida saana.

Ev. Daniel mgogo voive
Ushindi Wa Man City Jana Umepunguza Point 3,Bado Point 2 Watufikie
Halafu Watakuja Machinjion Walipofia Liverpool Na Manchester United February 15 Moto Utawaka
IMG_20230128_081930.jpg
 
Uchambuzi Ambangile

Shape ya 3-2-2-3 wakiwa na mpira , Arsenal wameipress vizuri sana , man to man pressing . Trossard kwa Stones, Nketiah kwa Akanji , Saka kwa Ake , Vieira na Xhaka Vs Rodri na Lewis , Tierney anatoka pembeni anamfuata KDB ndani, Gabriel anatoka ndani kumfuata Mahrez pembeni.

Tomiyasu Vs Grealish na Holding / Saliba Vs Haaland . Hii pressing ilifanikiwa kwasababu :-

1: Wingers wa City Grealish na Mahrez wanataka mpira mguuni badala ya ku run in behind Arsenal backline maana yake hata zile flicks za Haaland kwenye space iliyowazi hazina mtu

2: Ball carrier katikati , kumkosa Silva katikati ,pembeni ya Rodri

Pep kubadilisha kuwa 4-4-2 kuingia kwa Alvarez kulisaidia kukabiliana na build up ya Arsenal , pressing ilikuwa nzuri zaidi tofauti na kipindi cha kwanza lakini pia iliongeza idadi ya washambuliaji mbele

Arteta kaisuka Arsenal ambayo ipo sawasawa physically na technically , wachezaji wapo imara sana kimwili na wakiwa na mali wapo salama sana , ngumu kuwazuia kutoka nyuma na kufika mbele
 
Uchambuzi Ambangile

Shape ya 3-2-2-3 wakiwa na mpira , Arsenal wameipress vizuri sana , man to man pressing . Trossard kwa Stones, Nketiah kwa Akanji , Saka kwa Ake , Vieira na Xhaka Vs Rodri na Lewis , Tierney anatoka pembeni anamfuata KDB ndani, Gabriel anatoka ndani kumfuata Mahrez pembeni.

Tomiyasu Vs Grealish na Holding / Saliba Vs Haaland . Hii pressing ilifanikiwa kwasababu :-

1: Wingers wa City Grealish na Mahrez wanataka mpira mguuni badala ya ku run in behind Arsenal backline maana yake hata zile flicks za Haaland kwenye space iliyowazi hazina mtu

2: Ball carrier katikati , kumkosa Silva katikati ,pembeni ya Rodri

Pep kubadilisha kuwa 4-4-2 kuingia kwa Alvarez kulisaidia kukabiliana na build up ya Arsenal , pressing ilikuwa nzuri zaidi tofauti na kipindi cha kwanza lakini pia iliongeza idadi ya washambuliaji mbele

Arteta kaisuka Arsenal ambayo ipo sawasawa physically na technically , wachezaji wapo imara sana kimwili na wakiwa na mali wapo salama sana , ngumu kuwazuia kutoka nyuma na kufika mbele
TUPE MATOKEO
 
Back
Top Bottom