Passenger19
JF-Expert Member
- Aug 14, 2021
- 622
- 1,020
Hawa wanatafuta ahueni maana Timu zao papatupapatu kibao
Pamoja na kuingia lokonga ,Bado city hakuwa Bora Kama.alivyozoea miaka iliyopita
Ila Haw
Hata mechi ya jana tungeweza kushinda just angeanza odegaard na zinchenko. Nawaona city wakipoteza mechi ijayo na spursHawa wanatafuta ahueni maana Timu zao papatupapatu kibao
Pamoja na kuingia lokonga ,Bado city hakuwa Bora Kama.alivyozoea miaka iliyopita
Ila Hawa jamaa wanaleta ushabiki wapoze machungu maana jumapili tuliwafanyia msako wa nyani .