Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Kwa Caicedo ni mnapoteza tu muda wenu, bora mmalizane na huyo Zubeda kabla dirisha halijafungwa.Arsenal hatunaga option moja sokoni aisee, mbona hili hamuelewi I
Hivi kwa kiwango anachoonesha Trossard Nan anamuwaza mudrky?
Kama mnamchukua caicedo kwa kuingilia hili dili mjiandae €100m
Halafu Sisi tunaenda kumchukua Zubimend ana release clause ya €60m tu



Caicedo’s desire is to move to Arsenal. Reports,