Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal hatunaga option moja sokoni aisee, mbona hili hamuelewi I


Hivi kwa kiwango anachoonesha Trossard Nan anamuwaza mudrky?

Kama mnamchukua caicedo kwa kuingilia hili dili mjiandae €100m

Halafu Sisi tunaenda kumchukua Zubimend ana release clause ya €60m tu
Kwa Caicedo ni mnapoteza tu muda wenu, bora mmalizane na huyo Zubeda kabla dirisha halijafungwa.
 
Hawa wanatafuta ahueni maana Timu zao papatupapatu kibao

Pamoja na kuingia lokonga ,Bado city hakuwa Bora Kama.alivyozoea miaka iliyopita

Ila Haw

Hawa wanatafuta ahueni maana Timu zao papatupapatu kibao

Pamoja na kuingia lokonga ,Bado city hakuwa Bora Kama.alivyozoea miaka iliyopita

Ila Hawa jamaa wanaleta ushabiki wapoze machungu maana jumapili tuliwafanyia msako wa nyani .
Hata mechi ya jana tungeweza kushinda just angeanza odegaard na zinchenko. Nawaona city wakipoteza mechi ijayo na spurs
 
Hawa Nyani ni one season wonder, hamna kombe watalopata msimu huu zaidi ya kuongoza ligi kwa kipindi kirefu, hayo ndio mafanikio yao makubwa.
Hawa kima hawana tofauti na Wolves ambao mwaka jana walikua wanapambania kuingia top4 halafu msimu huu wanapambania wasishuke daraja.
Naona umekuwa mganga
 
Moises Caicedo kwa jicho la kimpira huyu ni mrithi wa Xhaka wala si mrithi wa Partey. Kama atasajiliwa mmoja kati ya Zubimendi / Declan Rice kwenye dirisha la kiangaxi basi anaenda kuwa mrithi wa Partey. Caicedo amecheza na Bissouma msimu jana hivyo inaonekana wazi alitumika km 8. Nahisi ikiwa atasajiliwa Arsenal basi atacover #6 kwa miezi sita iliyobaki. Na km Rice / Zubimendi atakuja Arsenal next summer naona Caicedo akipanda kucheza nafasi ya #8.
 
Hawa wanatafuta ahueni maana Timu zao papatupapatu kibao

Pamoja na kuingia lokonga ,Bado city hakuwa Bora Kama.alivyozoea miaka iliyopita

Ila Hawa jamaa wanaleta ushabiki wapoze machungu maana jumapili tuliwafanyia msako wa nyani .
Mpira ndivo ulivyo kuna kipindi City inafungwa na Southampton kwa umiliki wa mpira 76%na City inafungwa,City ilitolewa na Real Madrid kwenye nusu fainali wakati City wamepiga mwingi adi umiliki wa mpira city alikuwa juu sana, lakini Madrid kamwondoa,hata mwaka jana Asenal mlisema hivyo baada ya kufungwa 2-1 kama mchezaji asingelipata nyekundu City asingelitoboa,Mwaka kafunga mkiwa kamili bado mnasema City hajacheza mpira,kifunga sio ukamilike kila kitu ndio uonekane unajua.Asenal Sasahivi ni kibonde kwa City kibali kataa tokea 2015 Asenal haijawai kichua point kwa city
 
Watu wote mnaoumia kwa mafanikio ya Arsenal endeleeni kuumia tu maana hatuna la kufanya.

Always at the top!
IMG_20230124_152141_122.jpg
 
Naomba na ninyi mpate majeruhi kama sisi muachage kuwabeza walio wodini

Haya ebu mtuambie Partey anarudi lini au baada ya MRI Scan
Nasikia inaweza kwenda hadi Jul 2023
Arteta aliliona hili ndio maana anataka kumuuza Lukonga na Moises Caicedo sasa anaitaka Chelsea tu
 
Naomba na ninyi mpate majeruhi kama sisi muachage kuwabeza walio wodini

Haya ebu mtuambie Partey anarudi lini au baada ya MRI Scan
Nasikia inaweza kwenda hadi Jul 2023
Arteta aliliona hili ndio maana anataka kumuuza Lukonga na Moises Caicedo sasa anaitaka Chelsea tu

Dua la kuku Hilo ,aliumia mbavu tu, Sasa hiyo Jul 2023 umeitoa wapi,sisi hatutegemei mchezaji, mmoja ,mlianza kwa Jesus ,

Arsenal Ni mfumo ,
 
Back
Top Bottom