Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nasikia tayari huko brighton wanataka euro 100m kwa caicedo!
EXCL: Moises Caicedo didn’t turn up for training today — he wants leave immediately. Caicedo could also miss tomorrow’s game. #BHAFC

Understand Arsenal are expected to improve their bid, after £60m revealed yesterday. #AFC

Chelsea offered £55m — rejected too. #CFC
 
Sasa Brighton wameweka bei ya Moises Caicedo ya Paundi mil 90
Habari zenu Gunners and The Blues. Fainali ndio kwanza inaanza
 
Sasa Brighton wameweka bei ya Moises Caicedo ya Paundi mil 90
Habari zenu Gunners and The Blues. Fainali ndio kwanza inaanza
Sisi tukimkosa sio issue tuna option nyingi

Kazi kwenu ,mtasajili ila nafasi ya 10 sion mkichomoka aisee


Mkimkosa msiseme hamkutaka ,hamchelewi nyie
 
USARA ZA GWIJI LA HIGHBURY

Ni Mapema Ndio Lakini nimeona potential kubwa kwa Trossad jana kwenye misingi hii hapa

Niliwahi sema Mpira una Basics zake japo delivery inatofautiana kulingana Mchezaji na mchezaji ndio maana Uchezaji Zinchenko na Tierney kuna tofauti japo basics za Mpira ni zile zile

Trossad Ni mzuri kwenye ukokotaji mpira na kupunguza mabeki wawili watatu kutafuta space ya kufunga its means sio Limited

Pia Maamuzi ana maamuzi ya haraka afanye nini na mpira hii ni basics ila jamaa anaifanya kwa ufasaha mno

Kitu ambacho Trossad anahitaji kwa sasa anahitaji pattern sahihi kati yake na beki atakae cheza upande kushoto au LCM kama atachezeshwa LW

Kwanini nasema hivyo ili kuepeusha mazingira kuwa Isolated sana ata akipokea mpira hakuna mtu karibu wa kufanya nae Link up kwenye game jana

Anahitaji kuingia vizuri asa kwenye starting line up set ambayo mara nyingi Xhaka anacheza advanced LCM kumpa support kwa upande kushoto pia Zinchenko anavyocheza overlaping au inverted kuwepo na Angle nzuri kupatikana patterns au Jesus arudi wawe wanafanya positional interchange nawambia tuta enjoy sana uyu jamaa niishie hapa kwa leo

IMG-20230128-WA0036.jpg
 
Tusidanganyane bana, mna option nyingi za nani LUKONGA??
Usidanganywe na Nani?

Kwan tulipomkosa mudrky tulisajili Nan?

Kwa akili yako unadhani Option Ni Caicedo tu?

Kwakukusaidia pia , Tuna wachezaji karibu watatu wanacheza DM. ...

Kama tusipomsajili caicedo , Arsenal wapo tayari ku trigger RC ya Zubimend kwa £52m tu.
 
USARA ZA GWIJI LA HIGHBURY

Ni Mapema Ndio Lakini nimeona potential kubwa kwa Trossad jana kwenye misingi hii hapa

Niliwahi sema Mpira una Basics zake japo delivery inatofautiana kulingana Mchezaji na mchezaji ndio maana Uchezaji Zinchenko na Tierney kuna tofauti japo basics za Mpira ni zile zile

Trossad Ni mzuri kwenye ukokotaji mpira na kupunguza mabeki wawili watatu kutafuta space ya kufunga its means sio Limited

Pia Maamuzi ana maamuzi ya haraka afanye nini na mpira hii ni basics ila jamaa anaifanya kwa ufasaha mno

Kitu ambacho Trossad anahitaji kwa sasa anahitaji pattern sahihi kati yake na beki atakae cheza upande kushoto au LCM kama atachezeshwa LW

Kwanini nasema hivyo ili kuepeusha mazingira kuwa Isolated sana ata akipokea mpira hakuna mtu karibu wa kufanya nae Link up kwenye game jana

Anahitaji kuingia vizuri asa kwenye starting line up set ambayo mara nyingi Xhaka anacheza advanced LCM kumpa support kwa upande kushoto pia Zinchenko anavyocheza overlaping au inverted kuwepo na Angle nzuri kupatikana patterns au Jesus arudi wawe wanafanya positional interchange nawambia tuta enjoy sana uyu jamaa niishie hapa kwa leo

View attachment 2498437
Indeed this is a very good observation
 
Kwa uzoefu wangu ,Arsenal hawatavuka zaidi ya £70m , Brighton wakikaza ,Arsenal atahamia Option nyingine

Itakuwa Surprised tukilipa €100m(£90m) kwa mchezaji ambaye ameanza mechi hazifiki 40 za EPL ,analipwa £3k per week


Pia Brighton watakuwa wehu Kama £70m watazidi kukaza

Akili Yao Chelsea atakuja na €100m
 
If Brighton wants €100m for Moises Caicedo, Leave and go pay Zubimendi £52m release clause

Real Sociedad said yesterday they won't negotiating with anyone, any club that wants Zubimendi must pay his release clause. I want Moises Caicedo but i 100% love how Arsenal have not let clubs take us for a ride anymore. There are many other players that suits our style for less
 
As reported yesterday, Martín Zubimendi and Amadou Onana are two names to keep an eye on

Arsenal will walk away from a potential Caicedo deal if there is no solution soon. Arsenal still have other options
 
As reported yesterday, Martín Zubimendi and Amadou Onana are two names to keep an eye on

Arsenal will walk away from a potential Caicedo deal if there is no solution soon. Arsenal still have other options
Huyu Onana ni mvunja kuni tu, sioni akitua Emirates
 
Naomba na ninyi mpate majeruhi kama sisi muachage kuwabeza walio wodini

Haya ebu mtuambie Partey anarudi lini au baada ya MRI Scan
Nasikia inaweza kwenda hadi Jul 2023
Arteta aliliona hili ndio maana anataka kumuuza Lukonga na Moises Caicedo sasa anaitaka Chelsea tu
Thomas Partey is expected to be fit against Everton.


Initial tests have shown no serious injury.


Endeleeni na Ramli nyingine
 
Back
Top Bottom