Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Happy Easter football fans wenzutu

Mbona mnakuja kuwanga huku wakati wa sikukuu? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nasikia refa ametishwa hatapewa mechi yoyote tena na FA kama Arsenal watashinda .... ..... ..... ... chacha chijui atafanya nini?
 
Haya kipindi cha pili tunaweza kuvuna chochote labda. Najua Wenger kawaambia "kilakitu poa hatuna bahati tu"
 
Kitu hichooooo mwanangu.


Tumerudiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Samahani wakuu nasikia Wanga wanakimbia jukwaa .... .... ....
 
Naomba matokeo wajameni....Baba mwenye nyumba kafungia Tv chumban kwake kaenda kula pasaka na wanae beach.
 
Naomba matokeo wajameni....Baba mwenye nyumba kafungia Tv chumban kwake kaenda kula pasaka na wanae beach.

Manchester wanawanga hapa wakisaidiwa na Chelsick khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

BTW Nadal amefanya vitu vyake kule Barcelona ..... ........ ...... ...... ....... ...... 6 titles
 
Mbona mnakuja kuwanga huku wakati wa sikukuu? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nasikia refa ametishwa hatapewa mechi yoyote tena na FA kama Arsenal watashinda .... ..... ..... ... chacha chijui atafanya nini?
Shikamoo brother
 
Wasalaaamu rafiki zangu wa ukwel AW, Mbu, Wacha Boy, BBK, Michelle and CO.....nataman Awa Bolton wakazeeeeeeee!...samahan najua nimewakwaza ehh..
 
Manchester wanawanga hapa wakisaidiwa na Chelsick khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

BTW Nadal amefanya vitu vyake kule Barcelona ..... ........ ...... ...... ....... ...... 6 titles

He he...tupo kwa sana!!...leo ni leo!!!
 
Back
Top Bottom