Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Shakhtar chief executive Sergei Palkin has told The Athletic that Chelsea MATCHED Arsenal's offer for Mykhailo Mudryk, but just offered better structure in payments.

Arsenal's final offer was €70M plus €30M in add-ons but Shakhtar did not believe they were achievable, as per Sergei Palkin.

Chelsea offered the same and the Ukrainian side liked the structure and clauses more.
 
Maabari ya mudryk nishayachoka hata huko Twitter sitaki kuyaona. Alafu Fabrizio anajitahidi kuwatuliza mashabiki wa Arsenal make walimtukana sana ndio maana anajaribu kuleta na habari za tetesi kuhusu Arsenal
 
Dirisha kubwa tulitumia pesa mingi aiseee kuja kushtuka dirisha dogo tumejikuta mfukoni tumebaki na eftatu

Tumesajili wachezaji wawili (Butland & Wout) kwa buku jero, kama tutapata mwingine basi isizidi buku jero au tumchukue kwa mkopo.
 
NAWAKUMBUSHA
man United pass 3 goal, Sisi hizo pass tunawaachia nyie lkn magoal ni yetu
Pass inaanzia kwa casemiro via bruno to rashford goal...NASHUKURU
Tena wakumbushe ukiachana na MR10 pamoja na The Ghost (Wout Weghorst) kuna fundi huyu hapa mtaalamu wa kuvunja kufuli anawasubiria kwa hamu sana.
 
Tena wakumbushe ukiachana na MR10 pamoja na The Ghost (Wout Weghorst) kuna fundi huyu hapa mtaalamu wa kuvunja kufuli anawasubiria kwa hamu sana. View attachment 2484733
Huyu Hana maajabu kazi kuzunguka tu na mpira eti sijui ndo 360' spinning na kupoteza muda.

Najua huko mliko mnajutia pesa yenu nyingi mliyotumia kumnunua huyu boko 😂
 
Hizo ni nongwa zako tu, ila sisi mashabiki wa Man Utd tunajivunia mchango wa Anthony kwenye mafanikio ya timu yetu. View attachment 2484861
Kwa hiyo tangu mumununue amewapa mafanikio gani haswa?

Ana magoli mangapi Kwenye ligi tangu ameanza kucheza hapo Man Utd?

Ana goal assists ngapi?

Mtu alinunuliwa kwa pesa yote ile afu tayari ameshaanza kukalishwa bench😂😂

Huyo ni boko kuliko hata Aubameyang wa Chelsea
 
Kumbe kuna wakati akili huwa zinarudi hata mm huwa napitia page ya george ambagile nasema kweli Tanzania vichwa maji tupo wengi ...hivi mtu anachambua wali au mchele kbl haujapikwa na muda unapikwa??iweje mtu aelezee yaliyotokea uwanjani alafu tuseme amechambua ni mchambuzi mzur kwann asiwe anafanya analysis kbl ya hizi game ili atupe prove ya kile anachokifanya ???
 
Hata wenger alihojiwa na ian wright kwenye sport bibble ipo youtube ukipata muda icheki anaeleza usajili muhimu kwenye kikosi cha invincible ni GILBERTO SILVA..na alijibu bila kupepesa mdomo
 
Sasa mechi haijachezwa unataka uchambuliewe Nini, Ambangile watu wanampenda kwasababu anawachambulia mbinu zilizotumika kwenye mechi husika, kwasababu asilimia kubwa tunaangalia kimazoea tu.

Basi na sky sports watoe mascreen yale kwenye vyumba vyao vya habari, na kusiwe na uchambuzi baada ya half time, tuwe tunawasikiliza kabla ya mechi tu
 
"Sizitaki mbichi hizi"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…