Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

20221227_012435.jpg
 
Hawa liva wamebebwa na VARechi haijafika mbali wamefumuliwa moja. Yaani kama wiki iliyopita
 
Mmalize shida zenu mapema na kukichukua hicho kituko chenu mudryk kutoka shaktar, ili msitafute sababu nitakapo maliza kumnyoosha crystal palace na kuja kuchukua point zangu 3 hapo Emirates jumapili ijayo, na hatuna utani.

Kama mnafikiria utani, mulizeni man fisi kilichomtokea Leo ndio mtajua hamjui.
Unajua kujipa moyo brother
 
Hii City ndiyo iliipiga sita United first round.

Kwa game nilivyoiona City ilikua inacheza bila passion wala nia, hawakua na pattern inayoeleweka, forwards zilikua zinaogopa kushut. Kati ya wote aliyeonyesha anatamani kushinda ni Grealish.

Utaona Grealish anadribble kulifuata goli unaona wenzake wamesimama wanamuangalia.

Game ingependeza ingeisha suluhu.

United are full of passion.
Walikuwa wanacheza kama wamekremisha maelezo, mtu anapata mpira yupo kwenye nafasi ya kushoot, anapiga pasi pembeni, mtu ana receive mali, bila kutizama nyuma anipiga pasi ya pembeni wakati
Alikuwa na uwezo wa kuturn, wwanacheza kama wako programmed vile.
 
Walikuwa wanacheza kama wamekremisha maelezo, mtu anapata mpira yupo kwenye nafasi ya kushoot, anapiga pasi pembeni, mtu ana receive mali, bila kutizama nyuma anipiga pasi ya pembeni wakati
Alikuwa na uwezo wa kuturn, wwanacheza kama wako programmed vile.
Maajabu yake wakikutana na sisi hawatacheza ujinga huu
 
Boehly-Eghbal ni wajinga sana, unakataa kutoa 100M kwa enzo na kutafuta cover ya james unaenda kubid 100 kwa player ambae yuko desperate kujiunga na team nyingine. Ni ukos3fu wa akili.

Sajili kiungo na rb huko ndio kunashida sana

Waache recruitment team ifanye kazi yake
 
Boehly-Eghbal ni wajinga sana, unakataa kutoa 100M kwa enzo na kutafuta cover ya james unaenda kubid 100 kwa player ambae yuko desperate kujiunga na team nyingine. Ni ukos3fu wa akili.

Sajili kiungo na rb huko ndio kunashida sana

Waache recruitment team ifanye kazi yake
Muache tajiri atumie pesa yake
 
Back
Top Bottom