Liva wasidhani wakisajili sana itasaidia. Chelsea ni uthibitisho kua signings hazitakutoa hapo ulipoBREAKING NEWS: WANAUME SASA TUNAINGIA SOKONI
The next 48hrs is expected to be crucial
View attachment 2481222
Liva wasidhani wakisajili sana itasaidia. Chelsea ni uthibitisho kua signings hazitakutoa hapo ulipoBREAKING NEWS: WANAUME SASA TUNAINGIA SOKONI
The next 48hrs is expected to be crucial
View attachment 2481222
Alifanya hivi kwa RaphinhaBoehly-Eghbal ni wajinga sana, unakataa kutoa 100M kwa enzo na kutafuta cover ya james unaenda kubid 100 kwa player ambae yuko desperate kujiunga na team nyingine. Ni ukos3fu wa akili.
Sajili kiungo na rb huko ndio kunashida sana
Waache recruitment team ifanye kazi yake
Hawajatoa cashMara paa mudrky to Chelsea ,,,,
Unaambiwa Chelsea wamesubmit 100m na shaktar wamekubali,,,,,
Bado kuafikiana na mchezaji tu,,,, as anaprefer zaidi arsenal, cku hizi mpira Ni pesa, mapenzi pembeni !
Arsenal mmesubmit 70m plus 25 to 30m adds on, alafu mnajadili hio adds on ilipwe kwa awamu,,,,wao Chelsea wanatoa 100m cash ,,,,
dah mmemfukuzia hii window yote alafu itokee mumkose !
Now imekuwa tofauti maana according to David OrnsteinAlifanya hivi kwa Raphinha
Raphinha anaitaka Barca. Ila deal ikifeli yuko tayari kwenda Arsenal.
Boehly akaenda kukubaliana na Leeds kabla ya mchezaji.
Kilichotokea tunakijua
€70M fixedHawajatoa cash
Wametanguliza 75M
Ripoti zinasema mchezaji haoni shida kujiunga chelsea
Next hrs atakua London
Acha uchawi mkuuNi rahisi sana Man u kuchukua ndoo ya epl kuliko arsenal![]()


Nilisema na ninasema tena. Case ya Raphina na Mykhailo ni two different casesAlifanya hivi kwa Raphinha
Raphinha anaitaka Barca. Ila deal ikifeli yuko tayari kwenda Arsenal.
Boehly akaenda kukubaliana na Leeds kabla ya mchezaji.
Kilichotokea tunakijua
Sure,,,, siku hizi soko limekua gumu Sana !Hawajatoa cash
Wametanguliza 75M
Ripoti zinasema mchezaji haoni shida kujiunga chelsea
Next hrs atakua London
Boss wenu amekua kichaa, anamwaga hela tu! Ni vile Kama anasikilizia tu akisikia Kuna mchezaji mzuri pahala anazama mazimaNilisema na ninasema tena. Case ya Raphina na Mykhailo ni two different cases
Raphina yeye Barca ni timu ya ndotoni, tofauti na Myakhailo yeye aliisifia Arsenal tu kwa uchezaji mzuri. Kwa taarifa yenu Mykhailo ameishaipa Chelsea go ahead na yuko tayari kutua darajani. Wachezaji kama hawa wao ndoto yao ni kuichezea timu kubwa kwenye ligi kibwa. Hata wangeenda liver, city, man u angekibali tu.
Welcome Mudy to Stanford Bridge
!Mtakuwa mmetunyang'anya tongue mdomoni. Hata hivyo ndiyo maisha na biashara. Tumtakie Kila la kheri. Asije akatufunga tu sisiMara paa mudrky to Chelsea ,,,,
Unaambiwa Chelsea wamesubmit 100m na shaktar wamekubali,,,,,
Bado kuafikiana na mchezaji tu,,,, as anaprefer zaidi arsenal, cku hizi mpira Ni pesa, mapenzi pembeni !
Arsenal mmesubmit 70m plus 25 to 30m adds on, alafu mnajadili hio adds on ilipwe kwa awamu,,,,wao Chelsea wanatoa 100m cash ,,,,
dah mmemfukuzia hii window yote alafu itokee mumkose !
Pale Chelsea kwa mpira wao ataenda kuflop, swala la muda tuMtakuwa mmetunyang'anya tongue mdomoni. Hata hivyo ndiyo maisha na biashara. Tumtakie Kila la kheri. Asije akatufunga tu sisi
Maono ya Boehly ni kuisuka timu upya, hao unaowataja tutakuja kuwapa bureBoss wenu amekua kichaa, anamwaga hela tu! Ni vile Kama anasikilizia tu akisikia Kuna mchezaji mzuri pahala anazama mazima!
Kuja kuwa-offload kina Kai, hakimu, pulisic itakuwa kazi sana
Scenario siyo hiyo unayodaiNilisema na ninasema tena. Case ya Raphina na Mykhailo ni two different cases
Raphina yeye Barca ni timu ya ndotoni, tofauti na Myakhailo yeye aliisifia Arsenal tu kwa uchezaji mzuri. Kwa taarifa yenu Mykhailo ameishaipa Chelsea go ahead na yuko tayari kutua darajani. Wachezaji kama hawa wao ndoto yao ni kuichezea timu kubwa kwenye ligi kibwa. Hata wangeenda liver, city, man u angekibali tu.
Welcome Mudy to Stanford Bridge
Siwezi kusema ataflop au kumwombea hivyo. Kumbuka pale darajani Kuna bonge la project linajengwa. Atakuwa na kina Nkunku na wengine kama 50 hivi so atakuwa katika kikosi kizuri ambacho kikikaa sawa uwanjani kitasumbua sana. Kwa sasa wako katika transition period hivyo hatuwezi kuwajudge Kwa performance za hivi karibuni. Wapate muda wa tulie wajijenge wataonesha uwezo wao.Pale Chelsea kwa mpira wao ataenda kuflop, swala la muda tu
Hawa ni omba omba, mbona man u hawana hela wanajikokotea zao wachezaji wa mikopo bila ushindani, ila hawa kelele nyiiingi hela hamnaAaron Arsenal yuko wapi na simulizi zake za mudryk