toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
Anyway kwa mtazamo wa kishabiki arsenal tumefeli kupata tulochotaka na hili hakuna haja ya kulionea aibu.it was a battle and we failed.Now imekuwa tofauti maana according to David Ornstein
''Mudryk is on his way to London to undergo a medical at Chelsea, AGREEMENT REACHED. €70m+€30m add ons.''
Ila kuna mambo ya kujiuliza nje ya ushabiki.
Mchezaji kutoka ligi ya poland anastahili pesa hiyo?
Je mchezaji aliyenunuliwa kwa bidding war kwenye mshahara ataweza kuendana na sera za mishahara za klabu? maana kuna waliotayari kumpa mshahara mkubwa ili wampate
Hebu tazama pending za mikataba ya perfoming players kama saka,saliba,martinell ambazo naamini zinacheleweshwa na sera za malipo za klabu unafikiri ujio wa mchezaji kama mudrik ungeathiri vip muendelezo wa mazungumzo ya mikataba mipya.(kutokana na mshahara ambao angedai)
Je ushawahi kujiuliza athari anayoipata mchezaji pale anaponunuliwa kwa gharama kubwa halafu akachelewa ku adapt na kudeliver?
Nataka niwaambie kitu guys
1-mkurugenzi wa shaktar ameshinda vita ya kupandisha thamani ya mchezaji wake kwa bei aliyoitaka.
2-mchezaji atafanikiwa kupata mshahara mnono anaoutaka kutokana na team zilivyo desperate kwenye soko
3-fabrizio romano,charles watts na david oumstain wamefanya kazi ya shaktar iwe rahisi kwa kujua au kutojua au yote mawili
4-wakala wa mudrick amefanya kazi yake vizuri na hapa mendez atajifunza kitu.(klabu inapata inachotaka na mchezaji amepata anachotaka)
5-moral of mudrick saga ni ndogo na kubwa na inatufundisha mambo mawili kwenye medani ya usajili. Mosi twende kimya kimya kama tulivyofanya kwa vieira au tunapotangaza kumtaka mtu wazi tusitumie muda mrefu kwenye mazungumzo ili kuepusha biding war.
6-we know what we want at reasonable price
7-Tusiamini claim ya mchezaji kwamba anaipenda klabu tukapumbazika.pesa na mapenzi ni ndugu wa damu.
8- There is always plan A,B,C.Tusubiri watatuletea nani
Welcome epl mudrick the home of gladiators and not heroes.try to survive
!
