juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,976
- 5,463
Summer wanaondoka hao. Hata kwa bei ya hasara kai ni 50/50Boss wenu amekua kichaa, anamwaga hela tu! Ni vile Kama anasikilizia tu akisikia Kuna mchezaji mzuri pahala anazama mazima [emoji1]!
Kuja kuwa-offload kina Kai, hakimu, pulisic itakuwa kazi sana
Kingine kwenye hili deal la Mudryk Paul Wistanley ambae ni mkurugenzi wa ufundi kutoka Brighton ndie amehusika. Paul alikuwa na Potter wote Brighton natumai hata hili deal potter atakuwa amehusika.