Gunners Bado kuna mtu ana wasi wasi na Eddie ENKETTIAH kuziba pengo la Gabriel Jesus??.
Mie kusema Kweli sijui wasi wasi wenyewe unatoka Wapi
Lakini pengine ni kawaida ya Mashabiki.Msimu uliopita walinuna wakati Lacazette anawekwa nje anaanza Eddie Enkettiah
Eddie Enkettiah akafunga goli 5 kwenye Mechi 7 wakasahau na wakaanza kuimba jina lake.
Akaongozewa Mktaba wakafaurahi kinoma, Saivi anataka kupewa nafasi aonyeshe kwanini aliongzewa Mktaba.Wanataka mshambuliaji mpya
Mshambuliaji ambae anaweza kuchukua Muda kuzoea mazingira,mbinu na kuyaiva mahitaji.Lakini baadhi wanataka tu streka mpya tu.
Halafu kuna option za ESR kucheza False 9 au Gabi Martinelli kucheza kama 9 kama ikishindikana ambayo ni asilimia kidogo
Kwangu Kimbinu na Kiufundi Eddie Enkettiah ni perfect replacement ya Gabriel Jesus
Anaweza kuunganisha team vizuri (Link up play)
Ni focal point mzuri
Ni outlet mzuri tu
Ni mzuri Kwenye 1v 1
Ni mpambanaji mzuri tu
Ni mmaliziaji mzuri tu
Na simu anapiga vizuri tu

What else GABI JESUS anafanya EDDIE ENKETIAH hawezi?
Kitu Bora ni kusajili watu wa kuboresha Lile eneo la mbele.Tunahitaji upana zaidi hapo Lakini sio direct replacement ya Gabriel Jesus