Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuwa na akili wewe kuwa mchezaji Bora sio kujulikana ,

Lejend wa Brazil anasema hawajawahi kumjua Martinell ,wewe kutoka Sumbawanga ulimjulia wapi?

Ukiulizwa hata mchezaji Bora wa Seria D Brazil Sasa hivi labda uka google , humjui

Watu wapo bize na kina Endrick ,Danilo wanatajwa kuja ulaya
Hakuna mahali nimesema alikua mchezaji Bora wa Serie D kwanini unanilisha maneno?

Jamani google basi walau upate taarifa, kwanini tubishane kitu ambacho kina facts? He was the best young players in Campeonato Paulista huko Brazil watu wanacheza ligi zaidi ya Moja msikariri EPL
 
Embu soma post yangu about 2020/21 msimu aliohama maana nishaeleza hata sijui mnachobisha ni Nini. Nshasema FORMATION CHANGED from 4-4-2 to 3-1-4-2 that was the end of Partey as a starter (not appearances from the bench) maana Koke alikua DM so Partey akawa Sub yake then Lemar na Llorente wakawa AM that was Atleti. So DM akawepo Koke, Tomas, Saul, Herrera, later Torreira na Kondogbia (Replacement ya Tomas) Sasa hapo namba angepataje??
Ulidai Alikuwa hapati nafasi ,nimekuwekea alicheza mechi 35 laliga

Umebadili Tena Gia ,unadai aliondoka sababu ya Kukosa namba


Huu Uongo kadanganye wanasiasa ,Partey aondoke ATM kwakukosa namba ,

Partey anaondoka , Someone hafurahii .
 
Hakuna mahali nimesema alikua mchezaji Bora wa Serie D kwanini unanilisha maneno?

Jamani google basi walau upate taarifa, kwanini tubishane kitu ambacho kina facts? He was the best young players in Campeonato Paulista huko Brazil watu wanacheza ligi zaidi ya Moja msikariri EPL
HAKUNA ALIYEWAHI KUMJUA MARTINELL KASEMA LIJENDI WA BRAZIL

WEWE KUTOKA SUMBAWANGA ULIMJULIA WAPI?
 
Takehiro Tomiyasu STARTS for Japan as they face Croatia in their 2022 World Cup last-16 tie this afternoon.

Best of luck Tomi, the Arsenal family will be rooting for you!
 
"The people i spoke to in the summer for Danilo told me that Arsenal could possibly revisit in January. It depends on who Arsenal prioritizes in the window "

(@kayakaynak97 via @EGTVEgal )
 
️"Saka wants to stay. Arsenal want him to stay. In that regard deal is easy but agent could take it to wire (same agent as Balogun/Nketiah). Arsenal are quietly confident on extending all 3 deals (Saka,Saliba,Martinelli)"

(@kayakaynak97 via @EGTVEgal )
 

Ulidai Alikuwa hapati nafasi ,nimekuwekea alicheza mechi 35 laliga

Umebadili Tena Gia ,unadai aliondoka sababu ya Kukosa namba


Huu Uongo kadanganye wanasiasa ,Partey aondoke ATM kwakukosa namba ,

Partey anaondoka , Someone hafurahii .
Starts zilikua ngapi hapo?! Maana appearances sio starts mkuu.

Then nilikua clear Toka mwanzo kuwa mjadala ulianzia hoja ya kuwa Felix hawezi kitu maana Atletico inapaki basi.

Ndio hoja ikawa mbona alibeba la Liga? Mkadai Suarez ndio alichukua sio Felix?

Nikaleta hoja kuwa Atleti haikua defensive ilikua Ina attack na formation ikabadilika from 442 to 3142 na nikasema walifunga magoli sawa na Madrid.

Cha kushangaza mkaleta stats za msimu huu, mara sijui wanapaki basi n.k ndani ya hoja ndio mkadai Atleti ilikua na Rodri/Partey ila wakapaki basi

Nikaeleza hata Partey mfumo ulipobadilika alikua sio STARTER maana hatukua defensive Tena so only Koke played as a DM

Kumbuka mzizi wote wa hoja ulikua kama Felix delivered the la Liga as a comparison to Murdyk's form.

Sasa mtu mnakuja na stats za 2018 mara 2022 mnakuja mnaenda nje ya mtiririko.

Let's argue kujifunza sio kutafuta shari
 
Sasa tuzo ya mchezaji Bora wa vijana watu wasimjue? How do you justify this.
Ulimjulia wapi ikiwa hata Ulaya alishafeli ,na Ni Arsenal tu walimfata

Wewe uliopo Sumbawanga ulimjua kuliko wabrazil wenyewe ? Acha ujuaji , usichanganye Siasa na mpira
Screenshot_20221205-165736~2.jpg
 
Starts zilikua ngapi hapo?! Maana appearances sio starts mkuu.

Then nilikua clear Toka mwanzo kuwa mjadala ulianzia hoja ya kuwa Felix hawezi kitu maana Atletico inapaki basi.

Ndio hoja ikawa mbona alibeba la Liga? Mkadai Suarez ndio alichukua sio Felix?

Nikaleta hoja kuwa Atleti haikua defensive ilikua Ina attack na formation ikabadilika from 442 to 3142 na nikasema walifunga magoli sawa na Madrid.

Cha kushangaza mkaleta stats za msimu huu, mara sijui wanapaki basi n.k ndani ya hoja ndio mkadai Atleti ilikua na Rodri/Partey ila wakapaki basi

Nikaeleza hata Partey mfumo ulipobadilika alikua sio STARTER maana hatukua defensive Tena so only Koke played as a DM

Kumbuka mzizi wote wa hoja ulikua kama Felix delivered the la Liga as a comparison to Murdyk's form.

Sasa mtu mnakuja na stats za 2018 mara 2022 mnakuja mnaenda nje ya mtiririko.

Let's argue kujifunza sio kutafuta shari
Umejibiwa ila unakaza fuvu
 
Starts zilikua ngapi hapo?! Maana appearances sio starts mkuu.

Then nilikua clear Toka mwanzo kuwa mjadala ulianzia hoja ya kuwa Felix hawezi kitu maana Atletico inapaki basi.

Ndio hoja ikawa mbona alibeba la Liga? Mkadai Suarez ndio alichukua sio Felix?

Nikaleta hoja kuwa Atleti haikua defensive ilikua Ina attack na formation ikabadilika from 442 to 3142 na nikasema walifunga magoli sawa na Madrid.

Cha kushangaza mkaleta stats za msimu huu, mara sijui wanapaki basi n.k ndani ya hoja ndio mkadai Atleti ilikua na Rodri/Partey ila wakapaki basi

Nikaeleza hata Partey mfumo ulipobadilika alikua sio STARTER maana hatukua defensive Tena so only Koke played as a DM

Kumbuka mzizi wote wa hoja ulikua kama Felix delivered the la Liga as a comparison to Murdyk's form.

Sasa mtu mnakuja na stats za 2018 mara 2022 mnakuja mnaenda nje ya mtiririko.

Let's argue kujifunza sio kutafuta shari
Umejibiwa ila unakaza fuvu
 
HUWEZI kudanganya ,humu sio Siasa za CHADEMA na ccm


Wabrazil wenyewe wanasema walikuwa hawamjui


Wewe upo Tandale kwa tumbo unasema ulikuwa unamjua View attachment 2436798
Sasa 2022 world cup selection ya Martinelli na usajili wake 3 years ago inahusiani Nini? Hvi kweli sasa hivi hakuna anayemjua??? Obviously its a dig.

Mtu hawezi kushinda best player wa vijana asijulikane huku Rodrygo ajulikane?

Kejeli za Mzee mmoja haiwezi kugeuzwa ndio conclusion ya nchi nzima.
 
Ulimjulia wapi ikiwa hata Ulaya alishafeli ,na Ni Arsenal tu walimfata

Wewe uliopo Sumbawanga ulimjua kuliko wabrazil wenyewe ? Acha ujuaji , usichanganye Siasa na mpiraView attachment 2436853
Sasa 2022 world cup selection ya Martinelli na usajili wake 3 years ago inahusiani Nini? Hvi kweli sasa hivi hakuna anayemjua??? Obviously its a dig.

Mtu hawezi kushinda best player wa vijana asijulikane huku Rodrygo ajulikane?

Kejeli za Mzee mmoja haiwezi kugeuzwa ndio conclusion ya nchi nzima.
 
Sasa 2022 world cup selection ya Martinelli na usajili wake 3 years ago inahusiani Nini? Hvi kweli sasa hivi hakuna anayemjua??? Obviously its a dig.

Mtu hawezi kushinda best player wa vijana asijulikane huku Rodrygo ajulikane?

Kejeli za Mzee mmoja haiwezi kugeuzwa ndio conclusion ya nchi nzima.
Wewe muongo muongo , hukuwahi kumjua , ndio maana hata Baada ya kufeli ulaya alirudi kwao , hakukaa Sana ofa ya arsenal ikaja

Wewe unadai ulimjua ,kutokea Sumbawanga?
 
"Evan Ndicka used to share agents with Pepe and there are reliable reports linking him to Arsenal. He can play left back as well"
 
Acha mipasho Leta hoja wapi Arsenal walitamka malengo ilikuwa top 4

Mimi nitakuletea Ushahidi wa Edu ,malengo yalikuwa top 6

"But this club is about being the best, not even about being fourth. That history has to be there all the time, giving us the drive and mentality to achieve the biggest targets.

“If you don’t have that mentality, you cannot play for this club. The level of expectation always has to be the highest.”

Screenshot_20221205_173724.jpg

Hapo alikazia kuwa Hawa Aim top 4 pekee Bali zaidi ya hapo. Na Hiyo ilikua November mwaka Jana.

Hapa chini article ya Sky sports akieleza msimu huu kuwa Arsenal ni title contenders na sio top 4 pekee!!! Naweka hoi post Ili msimu ukiisha msije sema ligi haikuwa malengo yetu ya msimu huu

Screenshot_20221205_173205.jpg
 
Kwamba Partey alikuja sababu ya Kukosa namba ?

Yes, mfumo ulibadilika hata Saul, na Torreira wenu alikosa namba kabisa sielewi mnachoshtuka ni kipi? Hata arsenal White amekosa namba RCB sababu Saliba kasajiliwa mbona inaeleweka tu.
 
"Evan Ndicka used to share agents with Pepe and there are reliable reports linking him to Arsenal. He can play left back as well"
Sasa hiki ndio nilikua nasema, DEPTH kwenye Kila namba inahitajika sio eti combinations sijui priorities!!
 
Sasa hiki ndio nilikua nasema, DEPTH kwenye Kila namba inahitajika sio eti combinations sijui priorities!!
LCB sio January ,huo mpango Ni Summer

Huwezi kuleta LCB Sasa hivi wakati priority Ni LW,CM

Wakati una option kibao eneo la beki
 
Back
Top Bottom