Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
️Told it is "too early" to put a definitive timeframe on when he could be back. (@MarkyMBryans )
️Told it is "too early" to put a definitive timeframe on when he could be back. (@MarkyMBryans )
Jesus had a meniscus and partial collateral ligament injury. No rupture. Surgery went well.
Atletico wametangaza wqnapokea Ofa kwa Joao Felix
Je anafaa?
Bei yake €70m-€100m
Atlético CEO Gil Marín: “João Felix has top level but because of his relationship with Simeone and game time… we feel that makes sense to consider potential bids to sell him”, tells TVE.️
#transfers
“I’d love for João to continue, but this is the current situation”. https://t.co/n14N2kPr1K
Hi habari haina Ukweli,labda tuone Kama watasajiri zaidi ya mmojaKSE have promised to provide £50m for January-23 window
Mendy ,pulisica,azp, wanacheza klabu ganiNilishasema wachezaji wa Arse88 wana nux, Xhaka anawaponza wenzie.
Jana ameingia tu Martinelly Brazil wakafungwa...Wachezaji w Arse88 wana nux. kila timu ya taifa yenye wachezaji wa Arse88 lazima watoke, kama hamamini leo England wanatolewa na senegal, Saka anawaponza wenzie.
WC ikishinda timu yenye mchezaj wa Arse88 wanaoanza kikosi ch kwanza,niitwe mbwa.


Jufunze kubalance shoboMNA UHAKIKA XHAKA NI MCHEZAJI WA KIWANGO CHA DUNIA?![]()
Edo yeye anasemaje kwani?Oruma nipo nae grupu moja ,tulijadili nae sana hiki Kitu
Edo bhana alikuwa hamkubali Arteta mwanzoni,akiwa wasafi anasema aondoke tu, Kuna group tupo na kina madee ,Lile la Arsenal Tanzania, tulipambana Sana kuwaeleza process ya timu ,mwisho wa siku Edo akawa humuambii Kitu Tena kuhusu Arteta ,akajibatiza kabisa na cheo Cha RAIS WA ARSENAL TZ anasema atamrithisha mwanae hicho cheo .Edo yeye anasemaje kwani?
Hata mimi nilikuwa naona Arteta anazingua, ila nimekuja kukubali maneno ya mentor wake Pep.Edo bhana alikuwa hamkubali Arteta mwanzoni,akiwa wasafi anasema aondoke tu, Kuna group tupo na kina madee ,Lile la Arsenal Tanzania, tulipambana Sana kuwaeleza process ya timu ,mwisho wa siku Edo akawa humuambii Kitu Tena kuhusu Arteta ,akajibatiza kabisa na cheo Cha RAIS WA ARSENAL TZ anasema atamrithisha mwanae hicho cheo .
Edo anasema anaamini katika mbinu za mwalimu na wachezaji waliopo .
JEZI YA AWAY 2023/2024 INAVUTIA?
A concept of the Arsenal 2023/24 away kit following leaked information.View attachment 2437847View attachment 2437848View attachment 2437849


Nyie Arsenyani kuweni wabunifu japo kidogo, hio tabia ya kuigaiga haitawafikisha popote.
DahNyie Arsenyani kuweni wabunifu japo kidogo, hio tabia ya kuigaiga haitawafikisha popote.
Yaani baada kuona Man United wanapendeza kwenye hio rangi ya jezi zao na nyie mmeamua kugelezea mulemule ili mradi mfanane na timu kubwa duniani. View attachment 2438311



wewe jamaa burudani sanaMnarudi kulekule kwa zitto junior yeye alitamani tu kumuona Joao Felix anakuja Emirates kuziba pengo la Jesus ila akashambuliwa humu kama nyuki.Felix ni mashine hasa,sio utani na naamini kwa style ya uchezaji wa arsenal endapo anapatikana tutatisha zaidi.....ana ufundi mwingi
Hatujamkataa Felix , tulichompinga anaponda Sajiri za Arteta kumtaka Murdky na Danilo yule dogo wa Palmerias.Mnarudi kulekule kwa zitto junior yeye alitamani tu kumuona Joao Felix anakuja Emirates kuziba pengo la Jesus ila akashambuliwa humu kama nyuki.
Probably, Мudryk is "hinting" that his transfer fee should not exceed €40 mln.
Mudryk's Instagram story.
Huyu Felix ni mtu aisee, itoshe kusema anaujuaMnarudi kulekule kwa zitto junior yeye alitamani tu kumuona Joao Felix anakuja Emirates kuziba pengo la Jesus ila akashambuliwa humu kama nyuki.