Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Anadanganya umma kweupeWewe huna details zozote ,zaidi Ni muongo muongo tu
Arsenal walimfata Luiz Baada ya Elneny kuumia ,Hakuwa kwenye mipango Huyo Luiz
Luiz alitakiwa Baada ya Elneny kuumia , hata Danilo Sasa atakuja awe mbadala wa Partey au XHAKA maana anacheza no.6 na 8 , akija watamuona anafit wapi zaidi