Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe huna details zozote ,zaidi Ni muongo muongo tu

Arsenal walimfata Luiz Baada ya Elneny kuumia ,Hakuwa kwenye mipango Huyo Luiz
Anadanganya umma kweupe


Luiz alitakiwa Baada ya Elneny kuumia , hata Danilo Sasa atakuja awe mbadala wa Partey au XHAKA maana anacheza no.6 na 8 , akija watamuona anafit wapi zaidi
 
Malengo ya top 6 uliyajua wapi kama tu ulishindwa kujua Lokonga originally aliletwa kumreplace Partey!!!

Then argue with facts sio uswahili uswahili, mbona jukwaa la Liverpool watu Wana argue Kistaarabu. Umekaa kishari Shari as if you know everything lol!!

Wasabato mna character ya ubishi badala ya kuelewa au kujifunza.
Acha mipasho Leta hoja wapi Arsenal walitamka malengo ilikuwa top 4

Mimi nitakuletea Ushahidi wa Edu ,malengo yalikuwa top 6
 
Martinell hakuwahi kujulikana zaidi, acha kutudanganya hapa kacheza Seria D

kafeli Majaribio Man u, Barcelona ,n.k karudi Brazil ,hajulikani

Ofa ikaja ya Arsenal pekee

Wewe leo unatudanganya alikuwa anajulikana
Duh we jamaa hivi kwanini ni mbish I hivi? Hiyo hapo official page ya Wikipedia inasema alipewa tuzo ya mchezaji Bora was vijana na akawa kwenya kikosi Bora Cha msimu Sasa mtu huyo utasemaje sio maarufu? Yaani best player kwenye top flight asijulikane mpaka asubiri scouts was Arsenal? Ukiwa mbishi jitahidi kuwa ma facts otherwise watu makini watakuona hujitambui.
Screenshot_20221205_164556.jpg
 
Afu hii tabia ya kujimilikisha ndio inatuua, kwanini ujione weee ni Arsenal kuliko Kila mtu? Yaani mie nimeanza shabikia Arsenal tokea 90s eti Sina details? Tuweni serious. Mimi ni subscriber wa r/gunners kule Reddit so hakuna taarifa ya arsenal siijui na ndio maana nakosoa hiyo strategy ya "we won't panic.... Sijui we'll buy when the right opportunity comes" ndio nachokosoa hiko maana kimetu-cost sana huko nyuma.
Hakuna aliyejimirikisha ,unaambiwa Ukweli, unatuletea data za UZUSHI nyingi


Unataka kudanganya umma humu eti Partey Hakuwa starter pale ATM, wakati hata kumuuza waligoma had Arsenal Waka activate RC
 
Wewe huna details zozote ,zaidi Ni muongo muongo tu

Arsenal walimfata Luiz Baada ya Elneny kuumia ,Hakuwa kwenye mipango Huyo Luiz
Hujaelewa hoja? Yaani kama hamtaki panic buys why mlitaka kumsajili Douglas Luiz deadline day?! Maana hapa nimesema Jesus, Partey, na Gabriel need cover watu mnadai hatuwezi panic buy kisa injury ya Jesus ndio nauliza Sasa Douglas Luiz ikawaje mkapanic buy sema tu bei ikawa kubwa!!!

Yaani msimamo ni upi?
 
Duh we jamaa hivi kwanini ni mbish I hivi? Hiyo hapo official page ya Wikipedia inasema alipewa tuzo ya mchezaji Bora was vijana na akawa kwenya kikosi Bora Cha msimu Sasa mtu huyo utasemaje sio maarufu? Yaani best player kwenye top flight asijulikane mpaka asubiri scouts was Arsenal? Ukiwa mbishi jitahidi kuwa ma facts otherwise watu makini watakuona hujitambui. View attachment 2436786
Martinell kafeli Majaribio Man u Barcelona,

Karudi kwao , anacheza chandimu unasema ulikuwa unamjua ,


Ofa yenyewe ilikuwa ya arsenal TU , Tena £6m

Kaangalie wanaojulikana Brazil wananunuliwa Bei gan kuja ulaya na timi ngapi zinamgombania


Media za Brazil zenyewe zinasema zilikuwa hazimjui Baada ya kuitwa NT


Gabriel Martinelli: From the Brazilian fourth tier to breakout star
 
Yes ulete ushahidi msimu ukiwa unaanza kuwa target sio UCL ila top 6. Maana naona umekua board member!!
Leta ushahidi unaodai Malengo ilikuwa ucl ,sio mipasho

Mimi nitakupa wangu, na had anapoteza mech 3 anapewa na mkataba mpya
 
Duh we jamaa hivi kwanini ni mbish I hivi? Hiyo hapo official page ya Wikipedia inasema alipewa tuzo ya mchezaji Bora was vijana na akawa kwenya kikosi Bora Cha msimu Sasa mtu huyo utasemaje sio maarufu? Yaani best player kwenye top flight asijulikane mpaka asubiri scouts was Arsenal? Ukiwa mbishi jitahidi kuwa ma facts otherwise watu makini watakuona hujitambui. View attachment 2436786
HUWEZI kudanganya ,humu sio Siasa za CHADEMA na ccm


Wabrazil wenyewe wanasema walikuwa hawamjui


Wewe upo Tandale kwa tumbo unasema ulikuwa unamjua
Screenshot_20221205-165736~2.jpg
 
Arteta tayari ana plani , sio Huyo Zitto
@zitto junior yeye alitoa tu maoni yake na matamanio yake kuona Joao Felix anakuja kuisaidia timu yake, yeye Zitto wala nyinyi humu hamna mamlaka yoyote ya usajili wa Arsenal.
Badala ya kuongea nae kistaarabu tu na kumuelewesha kwa kiasi gani Joao hawezi kuisaidia timu mnaanza kumshambulia kwa maneno makali mpaka mnafikia kumdhihaki na kumtolea maneno ya hovyo.
Nje ya wachezaji anaowataka Arteta humu jukwaani hamna uhuru hata wa mtu kutamani tu mchezaji gani amuone kwenye timu yake.
 
@zitto junior yeye alitoa tu maoni yake na matamanio yake kuona Joao Felix anakuja kuisaidia timu yake, yeye Zitto wala nyinyi humu hamna mamlaka yoyote ya usajili wa Arsenal.
Badala ya kuongea nae kistaarabu tu na kumuelewesha kwa kiasi gani Joao hawezi kuisaidia timu mnaanza kumshambulia kwa maneno makali mpaka mnafikia kumdhihaki na kumtolea maneno ya hovyo.
Nje ya wachezaji anaowataka Arteta humu jukwaani hamna uhuru hata wa mtu kutamani tu mchezaji gani amuone kwenye timu yake.
Upo sahihi, Shida imeanza hataki wachezaji ambao wanatajwa kuja ambao inaonekana Ni machaguo ya Kocha .

Kwahapo atakaangwa tu
 
Hakuna aliyejimirikisha ,unaambiwa Ukweli, unatuletea data za UZUSHI nyingi


Unataka kudanganya umma humu eti Partey Hakuwa starter pale ATM, wakati hata kumuuza waligoma had Arsenal Waka activate

Release clause ni Kila mchezaji anayo La Liga Wala sio Partey tu kila mchezaji top wa atletico aliuzwa Kwa release clause.

Hata Felix sio starter msimu huu sababu ya Griezmann kuwa favored ila Atletico haikuumuza last summer licha ya offer kutoka Man Utd! So Kukataa kuuza mchezaji sio lazima awe starter inaweza kuwa strategic.

Nimeshakuambia Atleti ilibadili mfumo 2020-21 ambao ulihitaji DM mmoja tu ndio maana hata Torreira alikua analialia hapati namba!! Sababu mfumo ulibadilika so Tomas hakua starter in fact Kulikua na wachezaji 6 wagombea hiyo namba "6", anyway hujui kitu nje ya EPL so let's just chill this topic ya Atletico
 
Duh we jamaa hivi kwanini ni mbish I hivi? Hiyo hapo official page ya Wikipedia inasema alipewa tuzo ya mchezaji Bora was vijana na akawa kwenya kikosi Bora Cha msimu Sasa mtu huyo utasemaje sio maarufu? Yaani best player kwenye top flight asijulikane mpaka asubiri scouts was Arsenal? Ukiwa mbishi jitahidi kuwa ma facts otherwise watu makini watakuona hujitambui. View attachment 2436786
Acha Uongo ,tutakukaanga vizuri humu

Martinell katoka Ligi za chini , Wabrazili wenyewe wanasema walikuwa hawamjui

Hivo usituongopee hapa
 
Release clause ni Kila mchezaji anayo La Liga Wala sio Partey tu kila mchezaji top wa atletico aliuzwa Kwa release clause.

Hata Felix sio starter msimu huu sababu ya Griezmann kuwa favored ila Atletico haikuumuza last summer licha ya offer kutoka Man Utd! So Kukataa kuuza mchezaji sio lazima awe starter inaweza kuwa strategic.

Nimeshakuambia Atleti ilibadili mfumo 2020-21 ambao ulihitaji DM mmoja tu ndio maana hata Torreira alikua analialia hapati namba!! Sababu mfumo ulibadilika so Tomas hakua starter in fact Kulikua na wachezaji 6 wagombea hiyo namba "6", anyway hujui kitu nje ya EPL so let's just chill this topic ya Atletico
Wewe Ni muongo full stop

Partey kacheza mechi 35 laliga msimu kabla hajaja Arsenal


Tutakukaanga humu huwezi kuongopea watu wazima
 
Acha Uongo ,tutakukaanga vizuri humu

Martinell katoka Ligi za chini , Wabrazili wenyewe wanasema walikuwa hawamjui

Hivo usituongopee hapa
Nimeweka ushahidi alikua mchezaji Bora wa vijana huko Brazil naomba uonyeshe ushahidi kuwa alikua hajulikani.

Na pia hao Wabrazil ulikutana nao wapi wakasema hawamjui? Guy lets be serious na tuongozwe na facts mbona Mimi naweza details wazi kabisa.
 
@zitto junior yeye alitoa tu maoni yake na matamanio yake kuona Joao Felix anakuja kuisaidia timu yake, yeye Zitto wala nyinyi humu hamna mamlaka yoyote ya usajili wa Arsenal.
Badala ya kuongea nae kistaarabu tu na kumuelewesha kwa kiasi gani Joao hawezi kuisaidia timu mnaanza kumshambulia kwa maneno makali mpaka mnafikia kumdhihaki na kumtolea maneno ya hovyo.
Nje ya wachezaji anaowataka Arteta humu jukwaani hamna uhuru hata wa mtu kutamani tu mchezaji gani amuone kwenye timu yake.
Ana wachezaji wake wa mfukoni ,anaowataka kocha hawataki ,mzima kichwani kweli huyu? Washabiki wa Siasa wanaleta upuuzi wao kwenye soka
 
Yes ulete ushahidi msimu ukiwa unaanza kuwa target sio UCL ila top 6. Maana naona umekua board member!!
@zitto junior punguza kugongelea misumari ya moto kwenye kidonda,
Unawauliza maswali magumu wakikosa majibu wanaishia kukutukana tu.
Wanaokupinga wote ikifika mwisho wa msimu wako nje ya top4 ndio watajifanya wanaongea lugha moja na wewe.
Hakuna mashabiki wanaoongoza kukaza mishipa ya shingo kama mashabiki wa Arsenal, yaani hawa watu kwao kumkosoa Arteta ni dhambi kubwa sana.
 
Nimeweka ushahidi alikua mchezaji Bora wa vijana huko Brazil naomba uonyeshe ushahidi kuwa alikua hajulikani.

Na pia hao Wabrazil ulikutana nao wapi wakasema hawamjui? Guy lets be serious na tuongozwe na facts mbona Mimi naweza details wazi kabisa.
Kuwa na akili wewe kuwa mchezaji Bora sio kujulikana ,

Lejend wa Brazil anasema hawajawahi kumjua Martinell ,wewe kutoka Sumbawanga ulimjulia wapi?

Ukiulizwa hata mchezaji Bora wa Seria D Brazil Sasa hivi labda uka google , humjui

Watu wapo bize na kina Endrick ,Danilo wanatajwa kuja ulaya
 
Wewe Ni muongo full stop

Partey kacheza mechi 35 laliga msimu kabla hajaja Arsenal


Tutakukaanga humu huwezi kuongopea watu wazima
Embu soma post yangu about 2020/21 msimu aliohama maana nishaeleza hata sijui mnachobisha ni Nini. Nshasema FORMATION CHANGED from 4-4-2 to 3-1-4-2 that was the end of Partey as a starter (not appearances from the bench) maana Koke alikua DM so Partey akawa Sub yake then Lemar na Llorente wakawa AM that was Atleti. So DM akawepo Koke, Tomas, Saul, Herrera, later Torreira na Kondogbia (Replacement ya Tomas) Sasa hapo namba angepataje??
 
Back
Top Bottom