Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Mfumo Gani? Kwani Felix utamlinganisha na nani hapo Arsenal? He's better than Martinelli and Saka akija arsenal anaweza cheza nafasi ya Jesus, Odegaard au Saka or Martinelli Sasa mfumo Gani huo unique wa arsenal asicheze??
Mnasema washabiki uchwara, Sasa wwe hapo Murdyk au Danilo unamjua au ndio akitajwa tu na tabloids za arsenal unaunga mkono hoja? Kila mtu anajua Danilo is average ila ni humu JF tu mnamkuza sana kuliko uhalisia.
I remember ulidai Lokonga eti ni understudy wa Partey na sifa kibao Leo utasemaje?? You should be the last person kutoa maoni kwenye technical aspects za wachezaji
Huyo Felix tafuta timu yako akacheze, wachezaji wangapi wazuri kuliko Huyo Felix , wameenda timu nzuri wanafeli sababu ya mifumo?
Huyo Felix ,World cup anafanya Nini Cha maana kuliko kina Saka?
Unamponda Vieira ,sababu hujui mpira , Vieira Ni potential na kila alipopewa nafasi alionesha uwezo regardnes Hakuwa na pre season na alikuwa injury muda mrefu .
Mechi ya mwisho katoa msaada mkubwa timu imeshinda ,wewe unaleta Siasa humu
Danilo anasajiriwa Kama mbadala wa Partey wa muda mrefu
Lokonga Kwanza sio backup ya Partey anacheza hapo sababu Elneny aliumia
Kama..una fikiria lokonga ni Backup ya Partey Ni umefeli
Kocha alisema Lokonga Ni potential na wanamkoch Kama no.8 advanced
DM Ni Partey na Elneny ,

Financial fair play is a factor [in Arsenal’s January spending], the budget as accepted by the Kroenkes is another & Mikel Arteta’s standards is another - Arteta has no intention of bringing in anybody who is not capable of walking into the first team. [@TheAthleticFC] #afc