Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mfumo Gani? Kwani Felix utamlinganisha na nani hapo Arsenal? He's better than Martinelli and Saka akija arsenal anaweza cheza nafasi ya Jesus, Odegaard au Saka or Martinelli Sasa mfumo Gani huo unique wa arsenal asicheze??

Mnasema washabiki uchwara, Sasa wwe hapo Murdyk au Danilo unamjua au ndio akitajwa tu na tabloids za arsenal unaunga mkono hoja? Kila mtu anajua Danilo is average ila ni humu JF tu mnamkuza sana kuliko uhalisia.

I remember ulidai Lokonga eti ni understudy wa Partey na sifa kibao Leo utasemaje?? You should be the last person kutoa maoni kwenye technical aspects za wachezaji

Huyo Felix tafuta timu yako akacheze, wachezaji wangapi wazuri kuliko Huyo Felix , wameenda timu nzuri wanafeli sababu ya mifumo?

Huyo Felix ,World cup anafanya Nini Cha maana kuliko kina Saka?


Unamponda Vieira ,sababu hujui mpira , Vieira Ni potential na kila alipopewa nafasi alionesha uwezo regardnes Hakuwa na pre season na alikuwa injury muda mrefu .

Mechi ya mwisho katoa msaada mkubwa timu imeshinda ,wewe unaleta Siasa humu


Danilo anasajiriwa Kama mbadala wa Partey wa muda mrefu

Lokonga Kwanza sio backup ya Partey anacheza hapo sababu Elneny aliumia

Kama..una fikiria lokonga ni Backup ya Partey Ni umefeli

Kocha alisema Lokonga Ni potential na wanamkoch Kama no.8 advanced

DM Ni Partey na Elneny ,
 
Narudia Tena usiongozwe na hisia, LCB ukimuweka tomiyasu nani acheze RB?? Utasema white ambaye huyo huyo umesema ni RCB. Sasa FA cup, UEL, na ligi zikichanganya huku Gabriel akiwa mgonjwa Ina maana Tomiyasu atacheza Kila siku (Either RB or LCB as you suggest)??

Pepe aliondolewa sababu Marquinhos na Nelson walikuwepo otherwise wasingemtoa mkopo bila "depth" in RW.

Funny enough January ulisema maneno haya haya kipindi tunalilia replacement ya Auba. Yakwapi mbona ukarudi kulalamika Tena msimu ulipoisha!!! Punguza hisia kwenye ukweli ushaambiwa Jesus kaumia eti Martinelli!!! Wakati huo LW acheze nani ESR ambaye Hana mechi Toka msimu umeanza??

Kwa fanbase ya aina hii no wonder hatujafika UCL mwaka wa 7 Sasa
kumbe nyie Wacongoman mmetimiza miaka 7 bila kushiriki UEFA.
Yaani mtoto anaanza darasa la 1 mpk anamaliza primary timu haijakanyaga kwenye michuano ya wanaume?
Halafu wakishauriwa wasajili wachezaji wa kutosheleza timu wanaleta janja janja ya Kroenke kua wao hawasajili ili mradi wasajili kumbe Mmarekani anabana matumizi.
 
Hoja hapa ilikua msimu ambao Atletico imebeba La Liga Sasa hizo current stats za Nini? Nani asiyejua Felix msimu huu hachezi? Ndio maana nikakwambia season 202/21 ambako formation ilibadilika from 4-4-2 kuwa 3-1-4-2 Walifunga magoli mengi as much as Real Madrid Sasa unachobisha ni Nini? Huyo Murdyk Yuko proven kwenye lipi so far kiasi he's better than Felix?!

2. Hayo ya maslahi akikwambia wapi? Angalia dakika alizokua anacheza Tomas Atletico linganisha na za Rodri na Saul na Koke!!! Alikua Hana namba Atletico sijui unaleta ujuaji wa Nini hapa. Nimeshakuambia hata Torreira alipokuja hakucheza kabisa same to Kondogbia sababu formation ilihitaji CM mmoja tu wengine wote ni Attackers kwenye flanks.

Ngoja nifukue hapa post zako za January alafu ujitafakari kama unaongozwaga na hisia au objectivity.

Acha kutudanganya hapa , Partey alikuwa starter pale ATM,


Unauliza Murdky amekuwa proven wapi? Upo serious kweli , Mchezaji anacheza timu inashiriki UCL , wewe unaleta Siasa uchwara

Atletico Hana falsafa ya possession football , hata miaka yote aliyobeba laliga

Unashangaa Arsenal kumtaka mchezaji kutoka Ukraine ...ila hushangai Arsenal kumnunua Martinelli kutoka Ligi daraja la 4 Brazil na kuja kuwa starter .
 
kumbe nyie Wacongoman mmetimiza miaka 7 bila kushiriki UEFA.
Yaani mtoto anaanza darasa la 1 mpk anamaliza primary timu haijakanyaga kwenye michuano ya wanaume?
Halafu wakishauriwa wasajili wachezaji wa kutosheleza timu wanaleta janja janja ya Kroenke kua wao hawasajili ili mradi wasajili kumbe Mmarekani anabana matumizi.
Klabu haiwezi kusajiri wachezaji na kuwajaza ,imehangaika kuwaondoa wengine imewavunjia mikataba

Unadhani wajinga ,

Man u wenyewe wameanza kutoka huko ...
 
Wewe kajikite kwenye Siasa

White Maga wamecheza Kama RcB na LCB , Bado Kuna option ya kuwatumia Saliba na white

Unapiga ramli Nan acheze RB?

HUJUI Arsenal msimu huu RB anacheza white , na alhamis Anacheza Tomiyasu as RB ,

Kabla hata LCB hujamfikilia Kuna Partnership ya Saliba White ,White magalhaes, White Holding , Saliba Magalhaes


Nani alimlilia Auba ? Baada ya Auba kufurumushwa Kwanza ndio Arsenal ilishinda mechi nyingi na Kufunga Sana ,

Kawekeze kwenye Siasa huku kwenye Soka unatia Aibu, Kwanza most of Arsenal fans walitaka Auba aondolewe , Huyo aliyemlilia utakuwa wewe.

ESR kukosa mechi ndio hawez kucheza? Kwanza ESR amecheza msimu huu mechi za awali, na ameshaanza full training

Wewe hao wachezaji wako wa mfukoni ,Hawawez kuja Arsenal

Kuna wenzako humu walimtaka Onana over Ramsdale, Emerson Royal over Tomiyasu, Buendia over Øde,

Mwisho walitulia ,na wewe utatulia
Twende taratibu RB ni tomiyasu na Cedric ila white kawekwa hapo baada ya kukosa namba baada ya Salina kuja that's for the fact. Lakini hatuna LCB ukisema Tomiyasu acheze hapo nani atacheza RB au ndio Cedric acheze mechi 40 plus?? Hizo combination unazopanga hapo una assume kuwa maeneo mengine yote hayana injury au suspension which is unrealistic.

Yaani Tomiyasu akicheza LCB kumbuka Tienrey na Zinny ni wagonjwa so tegemea Tomi atakua stop gap meaning anaacha gape kwenye RB akiwekwa white means RCB anabaki Saliba, same time LCB anakua Gabi pekee Sasa kuwa na mchezaji mmoja kwenye mechi 40+ zilizobaki ni risky sana ndio maana depth inahitajika.

Kuna wakati Partey na Elneny walikua wote hawapo mkaja kulialia hapa kuwa Lokonga is not ready sasa mjinga pekee anayeona hakuna haha ya depth eti kisa Kuna combinations!!!! Hii Sio FIFA au FM ni real soccer Kuna injuries, suspensions na kesi za ubakaji!! So msipo address Hilo utarudi kuwa kituko kama msimu ulipoisha.
 
Twende taratibu RB ni tomiyasu na Cedric ila white kawekwa hapo baada ya kukosa namba baada ya Salina kuja that's for the fact. Lakini hatuna LCB ukisema Tomiyasu acheze hapo nani atacheza RB au ndio Cedric acheze mechi 40 plus?? Hizo combination unazopanga hapo una assume kuwa maeneo mengine yote hayana injury au suspension which is unrealistic.

Yaani Tomiyasu akicheza LCB kumbuka Tienrey na Zinny ni wagonjwa so tegemea Tomi atakua stop gap meaning anaacha gape kwenye RB akiwekwa white means RCB anabaki Saliba, same time LCB anakua Gabi pekee Sasa kuwa na mchezaji mmoja kwenye mechi 40+ zilizobaki ni risky sana ndio maana depth inahitajika.

Kuna wakati Partey na Elneny walikua wote hawapo mkaja kulialia hapa kuwa Lokonga is not ready sasa mjinga pekee anayeona hakuna haha ya depth eti kisa Kuna combinations!!!! Hii Sio FIFA au FM ni real soccer Kuna injuries, suspensions na kesi za ubakaji!! So msipo address Hilo utarudi kuwa kituko kama msimu ulipoisha.
Arsenal haiwezi kusajiri jombaa kama utakavyo wewe , tunakwambia huelewi unakaza shingo

Unatuletea Assumption humu

Arsenal kwenye backline msimu huu haijawahi kukosa option

Kuna kipindi had KT na Tomiyasu unawaza uwaweke wapi, lakini uzuri Tomiyasu anakamua namba zote za beki Tena Hadi DM Kama...hujui Sasa Nakupa hiyo.


Kabla hata hujafikiria kumtumia Tomi as LCB, Kuna Partnership za Saliba White ,Saliba Holding

Assumption zako Ni za kipuuzi Kwamba Tomiyasu, White ,Magalhaes ,Cedric , wote waumie kwa muda wa miezi 3+

Hizo assumption zako Ni za kipuuzi
 
Klabu haiwezi kusajiri wachezaji na kuwajaza ,imehangaika kuwaondoa wengine imewavunjia mikataba

Unadhani wajinga ,

Man u wenyewe wameanza kutoka huko ...
Kroenke's washasema sasa hivi hamna kusajili, Arteta achague makinda wa timu ya daraja la pili.
Usajili ni kupoteza pesa tu wakati sisi Wamarekani sera yetu ni kubana matumizi na kuongeza faida kwenye kampuni.
Arteta tumeshamwambia afate sera za mzee Wenger.
Tunasajili makinda wa £50,000 halafu tunayaongezea thamani kisha yanaingia kucheza ligi kuu.
 
Mfumo Gani? Kwani Felix utamlinganisha na nani hapo Arsenal? He's better than Martinelli and Saka akija arsenal anaweza cheza nafasi ya Jesus, Odegaard au Saka or Martinelli Sasa mfumo Gani huo unique wa arsenal asicheze??

Mnasema washabiki uchwara, Sasa wwe hapo Murdyk au Danilo unamjua au ndio akitajwa tu na tabloids za arsenal unaunga mkono hoja? Kila mtu anajua Danilo is average ila ni humu JF tu mnamkuza sana kuliko uhalisia.

I remember ulidai Lokonga eti ni understudy wa Partey na sifa kibao Leo utasemaje?? You should be the last person kutoa maoni kwenye technical aspects za wachezaji
Huyo Felix wako tafuta timu mpeleke, Kama kocha wetu hamuhitaji usilazimishe ,

Arsenal haichezi ilimradi,Ina mfumo rasmi, sio kila mchezaji ataingia ,ndio maana Ozil, Auba , Leno, walioneshwa mlango wakutokea


Huyo Felix hata world cup hatumsikii ,tunakasikia kina Saka, Mbappe, Rashford , n.k
 
Kroenke's washasema sasa hivi hamna kusajili Arteta achague makinda wa timu ya daraja la pili.
Usajili ni kupoteza pesa tu wakati sisi Wamarekani sera yetu ni kubana matumizi na kuongeza faida kwenye kampuni.
Arteta tumeshamwambie afate sera za mzee Wenger.
Tunasajili makinda wa £50,000 halafu tunayaongezea thamani kisha yanaingia kucheza ligi kuu.
Hapana , Arsenal inasajiri January hii wide player na DM asilimia kubwa Ni huyu Danilo anaandaliwa kumrith Partey baadae .

Arteta alikuwa na mabosi wikiend

Summer Alipewa £50m za Raphina ,alipomkosa ,akasema Basi kama hawatapata right player Basi atasubiri January .
IMG_20221204_133630.jpg
 
Kroenke's washasema sasa hivi hamna kusajili Arteta achague makinda wa timu ya daraja la pili.
Usajili ni kupoteza pesa tu wakati sisi Wamarekani sera yetu ni kubana matumizi na kuongeza faida kwenye kampuni.
Arteta tumeshamwambie afate sera za mzee Wenger.
Tunasajili makinda wa £50,000 halafu tunayaongezea thamani kisha yanaingia kucheza ligi kuu.
Financial fair play is a factor [in Arsenal’s January spending], the budget as accepted by the Kroenkes is another & Mikel Arteta’s standards is another - Arteta has no intention of bringing in anybody who is not capable of walking into the first team. [@TheAthleticFC] #afc
 
Benchi la ufundi la Arsenal wanamchukulia Albert Sambi Lokonga kama anayefaa zaidi kwa nafasi ambayo Partey anashikilia kwa sasa #6. Uwezekano wa kumweka Smith Rowe kama ‘nane huru’ unavutia lakini Arteta anathamini sana uimara na uongozi anaoleta Xhaka.

[@TheAthleticUK] #afc

View attachment 2145035
Hii post aliandika nani? We jamaa ni mpuuzi sana nimegundua.
 
Sasa hapo wewe ndio nimegundua mpuuzi ,

Napigizana kelele na mwehu humu

Mimi Ni THE ATHLETIC?

ndio maana unatema pumba tu humu
Wewe ndio uliripoti kuwa Lokonga anakua viewed na Arsenal kama replacement wa Partey hao athletic ni credible source Sasa unachotaka kupotosha hapa ni Nini au unajua sana Role ya Lokonga kuliko the atheltic ulio cite??
 
Arsenal haiwezi kusajiri jombaa kama utakavyo wewe , tunakwambia huelewi unakaza shingo

Unatuletea Assumption humu

Arsenal kwenye backline msimu huu haijawahi kukosa option

Kuna kipindi had KT na Tomiyasu unawaza uwaweke wapi, lakini uzuri Tomiyasu anakamua namba zote za beki Tena Hadi DM Kama...hujui Sasa Nakupa hiyo.


Kabla hata hujafikiria kumtumia Tomi as LCB, Kuna Partnership za Saliba White ,Saliba Holding

Assumption zako Ni za kipuuzi Kwamba Tomiyasu, White ,Magalhaes ,Cedric , wote waumie kwa muda wa miezi 3+

Hizo assumption zako Ni za kipuuzi
Ndio maana nimesema msiposajili mtakosa top 4 mbona it's simple and clear ama nilisema ni lazima tusajili. The thing is mnaleta ujuaji kwa vitu obvious kabisa, Mimi nabet kabisa msiposajili hizo areas of depth sio tu tutakosa ubingwa Bali hata Top 4.

Hii post naitunza tutarudi Tena June kama nilivyosema last January nkaishia kuzodolewa.
 
Wewe ndio uliripoti kuwa Lokonga anakua viewed na Arsenal kama replacement wa Partey hao athletic ni credible source Sasa unachotaka kupotosha hapa ni Nini au unajua sana Role ya Lokonga kuliko the atheltic ulio cite??
Mbona hoja yako haieleweki Sasa ?

Nimegundua napoteza muda na mtu mwenye utindikio wa ubongo

Umeona kabisa chanzo Ni The Athletic ,Tena Ni kipindi ambacho baadae Arteta akasema kwa alivyomuona Sambi anafaa zaidi Kama Advanced 8,

Umeshindwa hoja unaleta Siasa uchwara ,nilikwambia nenda kwenye Siasa uchwara hukusikia
 
Dah @hamiss77 nashauri msibishane kwa namna mnavyobishana.
Naona wengi tunashindwa kuhandle excitement hasa muda ambapo kila shabiki wa mpira anaitazama timu kwa jicho la mshangao na matarajio makubwa
Sawa kabisa, hawa jamaa sasa wanatukanana tu, tunakuwa kama twagombea fito kwenye ujenzi wa nyumba yetu.
 
Mbona hoja yako haieleweki Sasa ?

Nimegundua napoteza muda na mtu mwenye utindikio wa ubongo

Umeona kabisa chanzo Ni The Athletic ,Tena Ni kipindi ambacho baadae Arteta akasema kwa alivyomuona Sambi anafaa zaidi Kama Advanced 8,

Umeshindwa hoja unaleta Siasa uchwara ,nilikwambia nenda kwenye Siasa uchwara hukusikia
Taratibu muzee.
 
Ndio maana nimesema msiposajili mtakosa top 4 mbona it's simple and clear ama nilisema ni lazima tusajili. The thing is mnaleta ujuaji kwa vitu obvious kabisa, Mimi nabet kabisa msiposajili hizo areas of depth sio tu tutakosa ubingwa Bali hata Top 4.

Hii post naitunza tutarudi Tena June kama nilivyosema last January nkaishia kuzodolewa.
Wewe kapige ramli, tunashangaa Kwanza Nani alikwambia Arsenal last season ilikuwa malengo Ni top 4?

Malengo ilikuwa top 6, akaingia top 5, akazawadiwa new contract

Sasa hayo ya kudai malengo ilikuwa top 4 umeyatoa wapi? Acha ramli kijana


Arsenal inasajiri sio kwa wachezaji wako wa mfukoni

Watu wakae maabara watengeneze mfumo unaofiti wachezaji


Wewe upo mbagala kimbangulile uwapangie wachezaji?


Humu humu Kuna Kama wewe walimtaka Onana over Ramsdale

Buendia over Øde

Royal over Tomiyasu

Xhaka afukuzwe

Jesus asije

N.k


Leo Wana appreciate kazi ya kocha .


Nakushauri Rudi kwenye Siasa uchwara za CHADEMA na ccm .


Mpira Ni sayansi na project
 
Back
Top Bottom