Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

️Granit Xhaka -


Tunahitaji kumu
unga mkono Eddie (Nketiah) pia, kwa sababu atakuwa sehemu kubwa sana ya miezi miwili au mitatu ijayo.


(@TheAthleticFC)
 
Jorge Mendes amezungumza na Arsenal pamoja na Chelsea na United kwa ajili ya Joao Felix.

Atleti watahitaji €130m -€140m mwanzoni

Chanzo Ni (@MatteMoretto)


Habari nzima inasema Arteta na Arsenal wameulizia upatikanaji wa mchezaji huyo.


(@MatteMoretto) Ni Chanzo Daraja la 1(Tier 1) kwa habari za Atletico Madrid.

Sidhani kama kuna mtu analipa kiasi hicho Januari. Tusubiri tuone kitakachotokea.
 
️Granit Xhaka -


Tunahitaji kumu
unga mkono Eddie (Nketiah) pia, kwa sababu atakuwa sehemu kubwa sana ya miezi miwili au mitatu ijayo.


(@TheAthleticFC)
computerarsenal sisi kama AsaniWali tumekubaliana kwa pamoja dirisha dogo hatusajili mshambuliji yoyote, huu mzunguko wa pili tunaenda na Nketiah mpaka tunachukua kombe

Hii sasa rasmi ndio inaitwa rise and fall of Arsenyani 2022-2023.
 
Jorge Mendes amezungumza na Arsenal pamoja na Chelsea na United kwa ajili ya Joao Felix.

Atleti watahitaji €130m -€140m mwanzoni

Chanzo Ni (@MatteMoretto)


Habari nzima inasema Arteta na Arsenal wameulizia upatikanaji wa mchezaji huyo.


(@MatteMoretto) Ni Chanzo Daraja la 1(Tier 1) kwa habari za Atletico Madrid.

Sidhani kama kuna mtu analipa kiasi hicho Januari. Tusubiri tuone kitakachotokea.
United muda mrefu walishapeleka offer yao ya kumtaka Felix ila Atletico waliongea kwa herufi kubwa kua Felix hauzwi.
Hio pesa wanayotaka ni kubwa sana ila kuondoka kwa Ronaldo kutaifanya Man United kushawishika kumsajili Joao Felix ili kuziba pengo la Ronaldo.
Nyie Arsenyeto kwenye hizo mbio za kumtaka Felix mnatumika ili kuongezea tu thamani yake sokoni, ila hamna jeuri ya kumnunua Joao hata akiuzwa kwa £50m
 
XHAKA AGOMEA MAPUMZIKO

Awali Mikel Arteta alisema wachezaji wanaotoka World cup atawapa mapumziko ya muda kabla hawajajiunga na timu Dubai .

Hali imekuwa tofauti kwa kiungo Granit Xhaka


Granit Xhaka anasema anasafiri kwa ndege hadi Dubai mara moja ili kujiunga tena na kambi ya Arsenal.

"Ligi Kuu(EPL) inanisubiri. Nilitaka kuwa hapa (WC) muda mrefu zaidi , lakini tulipoteza .
Nina furaha kurejea sasa na timu. Nina kitu cha kufanikisha huko (Arsenal)."
Angepumzika hata wiki, YES ni kweli tunamuhitaji sana ila pia tunajali afya yake akiumia tu ni JANGA kubwa kwetu

Ametumika kuliko player yoyote wa Arsenal katika World Cup
 
Zifahamu tabia za thread za timu mbalimbali.

1. Manchester United hawa mashabiki wao asilimia kubwa wanaongelea usajili wa mchezaji fulani ukifanyika basi timu yao itakuwa bora. Hii ni trend toka aondoke Ferguson. Bahati mbaya wamesajili sana makocha na wachezaji lakini msiba haujaisha.

2. Manchester city wao ni mashabiki oyaoya, hawaujui mpira bali ni kelele nyingi kwasababu Guardiola anawapa mafanikio. Wengi wao ni wahanga kutoka klabu mbalimbali ambazo hazifanyi vizuri.

3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa uchambuzi wa mpira unaochezwa ndani ya uwanja. Wataalamu wote wa uchambuzi wa soka wapo pale. Pia ndio wanaongoza kupokea kejeli kutokana na kutofanya vizuri kwa misimu mingi ikiwemo kutobeba UCL wala Europa.

4. Chelsea wao thread yao imepambwa na malalamiko. Jamaa kila siku wako na lalamiko jipya. Kwa miaka kumi wamebeba karibu makombe yote makubwa lakini malalamiko hayaishi. Watamlaumu kocha, mmiliki, usajili m-bovu na hata timu pinzani.

5. Liverpool kwenye uzi wao utakuta wanaandika komenti ndefu sana lakini hamna cha maana zaidi ya kuwaongelea FSG, kiburi cha Klopp na majeruhi ya wachezaji. Wachambuzi wao wanapenda pia kutumia viingereza na huwa wanapotea kila timu inapofungwa na kurudi wakishinda.
 
Angepumzika hata wiki, YES ni kweli tunamuhitaji sana ila pia tunajali afya yake akiumia tu ni JANGA kubwa kwetu

Ametumika kuliko player yoyote wa Arsenal katika World Cup
Ametumika sana ameponza wenzie wamepgwa sita, ndio mana timu nyingine michezaji ya Arse88 inakula mbao.
Ukitaka kujua Arse88 y kawaida michezaji yote 1st 11 Arse888, timu y taifa inakula mbao, wengine ndio hawajaitwa kabisa.
 
Zifahamu tabia za thread za timu mbalimbali.

1. Manchester United hawa mashabiki wao asilimia kubwa wanaongelea usajili wa mchezaji fulani ukifanyika basi timu yao itakuwa bora. Hii ni trend toka aondoke Ferguson. Bahati mbaya wamesajili sana makocha na wachezaji lakini msiba haujaisha.

2. Manchester city wao ni mashabiki oyaoya, hawaujui mpira bali ni kelele nyingi kwasababu Guardiola anawapa mafanikio. Wengi wao ni wahanga kutoka klabu mbalimbali ambazo hazifanyi vizuri.

3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa uchambuzi wa mpira unaochezwa ndani ya uwanja. Wataalamu wote wa uchambuzi wa soka wapo pale. Pia ndio wanaongoza kupokea kejeli kutokana na kutofanya vizuri kwa misimu mingi ikiwemo kutobeba UCL wala Europa.

4. Chelsea wao thread yao imepambwa na malalamiko. Jamaa kila siku wako na lalamiko jipya. Kwa miaka kumi wamebeba karibu makombe yote makubwa lakini malalamiko hayaishi. Watamlaumu kocha, mmiliki, usajili m-bovu na hata timu pinzani.

5. Liverpool kwenye uzi wao utakuta wanaandika komenti ndefu sana lakini hamna cha maana zaidi ya kuwaongelea FSG, kiburi cha Klopp na majeruhi ya wachezaji. Wachambuzi wao wanapenda pia kutumia viingereza na huwa wanapotea kila timu inapofungwa na kurudi wakishinda.
3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa Matusi na lugha chafu, mashabiki wao wengi ni wale watoto waliokosa malezi ya pande mbili, members wake wengi ni wale watoto waliolelewa na single mother bila kusahau pia wengi wao ni madereva wa bodaboda hali inayopelekea bomba la matusi muda wote kua wazi, tena zilivyo Nyani hua zinatukanana zenyewe kwa zenyewe.

Povu ruksaaaaaaaa.
 
3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa Matusi na lugha chafu, mashabiki wao wengi ni wale watoto waliokosa malezi ya pande mbili, members wake wengi ni wale watoto waliolelewa na single mother bila kusahau pia wengi wao ni madereva wa bodaboda hali inayopelekea bomba la matusi muda wote kua wazi, tena zilivyo Nyani hua zinatukanana zenyewe kwa zenyewe.
Una shobo sana wewe,hutulii kwako kule unyumbuni....hiko kipele nyuma ya bukta kinakuwasha sana
 
3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa Matusi na lugha chafu, mashabiki wao wengi ni wale watoto waliokosa malezi ya pande mbili, members wake wengi ni wale watoto waliolelewa na single mother bila kusahau pia wengi wao ni madereva wa bodaboda hali inayopelekea bomba la matusi muda wote kua wazi, tena zilivyo Nyani hua zinatukanana zenyewe kwa zenyewe.
Kuna Maandiko au Post ukizisoma unajua uwezo wa akili y muandishi.

Kwa hili andiko walau umetuambia kuwa una kichwa tu cha mfano lkn ndani kumejazwa matakataka, na kupitia uandishi yametoka Nnje.
 
Kuna Maandiko au Post ukizisoma unajua uwezo wa akili y muandishi.

Kwa hili andiko walau umetuambia kuwa una kichwa tu cha mfano lkn ndani kumejazwa matakataka, na kupitia uandishi yametoka Nnje.
Unategemea nini kwa kichwa kama hiki kikuletee katiba mpya.
 
Una shobo sana wewe,hutulii kwako kule unyumbuni....hiko kipele nyuma ya bukta kinakuwasha sana
Malezi ya pande 2
Mitoto iliyolelewa na single mama hua inapenda kujiita Jr.
Na wanaojiita Jr. wengi ni mashabiki wa Arsenyani fanya utafiti kidogo humu Jf halafu uniambie kuna shabiki gani wa Chelsea, Liverpool au Man United anaejiita Junior.
 
| @FabrizioRomano:


“Joao Felix has chances to leave Atleti in 2023. Asking price will be more than €100m, around €120m, then will depend on the proposals. It’s early to say where. His agent is exploring the market & speaking to many clubs. He dreams of Premier League one day”
 
3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa Matusi na lugha chafu, mashabiki wao wengi ni wale watoto waliokosa malezi ya pande mbili, members wake wengi ni wale watoto waliolelewa na single mother bila kusahau pia wengi wao ni madereva wa bodaboda hali inayopelekea bomba la matusi muda wote kua wazi, tena zilivyo Nyani hua zinatukanana zenyewe kwa zenyewe.
Kumbe Jana mmepigwa na upo kimya
IMG_20221208_095706.jpg
 
Back
Top Bottom