Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
️Granit Xhaka -Tunahitaji kumu
unga mkono Eddie (Nketiah) pia, kwa sababu atakuwa sehemu kubwa sana ya miezi miwili au mitatu ijayo.
(@TheAthleticFC)
️Granit Xhaka -

️Granit Xhaka -
Tunahitaji kumu
unga mkono Eddie (Nketiah) pia, kwa sababu atakuwa sehemu kubwa sana ya miezi miwili au mitatu ijayo.
(@TheAthleticFC)



computerarsenal sisi kama AsaniWali tumekubaliana kwa pamoja dirisha dogo hatusajili mshambuliji yoyote, huu mzunguko wa pili tunaenda na Nketiah mpaka tunachukua kombe 



United muda mrefu walishapeleka offer yao ya kumtaka Felix ila Atletico waliongea kwa herufi kubwa kua Felix hauzwi.Jorge Mendes amezungumza na Arsenal pamoja na Chelsea na United kwa ajili ya Joao Felix.
Atleti watahitaji €130m -€140m mwanzoni
Chanzo Ni (@MatteMoretto)
Habari nzima inasema Arteta na Arsenal wameulizia upatikanaji wa mchezaji huyo.
(@MatteMoretto) Ni Chanzo Daraja la 1(Tier 1) kwa habari za Atletico Madrid.
Sidhani kama kuna mtu analipa kiasi hicho Januari. Tusubiri tuone kitakachotokea.
Angepumzika hata wiki, YES ni kweli tunamuhitaji sana ila pia tunajali afya yake akiumia tu ni JANGA kubwa kwetuXHAKA AGOMEA MAPUMZIKO
Awali Mikel Arteta alisema wachezaji wanaotoka World cup atawapa mapumziko ya muda kabla hawajajiunga na timu Dubai .
Hali imekuwa tofauti kwa kiungo Granit Xhaka
Granit Xhaka anasema anasafiri kwa ndege hadi Dubai mara moja ili kujiunga tena na kambi ya Arsenal.
"Ligi Kuu(EPL) inanisubiri. Nilitaka kuwa hapa (WC) muda mrefu zaidi , lakini tulipoteza .
Nina furaha kurejea sasa na timu. Nina kitu cha kufanikisha huko (Arsenal)."
Naona anaitaka sana EPL huyu, msimu huu mentality ya ushindi kwa wachezaji ipo juu ila angepumzika kidogoAngepumzika hata wiki, YES ni kweli tunamuhitaji sana ila pia tunajali afya yake akiumia tu ni JANGA kubwa kwetu
Ametumika kuliko player yoyote wa Arsenal katika World Cup
Na ligi inaenda hadi June na leo ni December sio kitu rahisi kabisaNaona anaitaka sana EPL huyu, msimu huu mentality ya ushindi kwa wachezaji ipo juu ila angepumzika kidogo
Ametumika sana ameponza wenzie wamepgwa sita, ndio mana timu nyingine michezaji ya Arse88 inakula mbao.Angepumzika hata wiki, YES ni kweli tunamuhitaji sana ila pia tunajali afya yake akiumia tu ni JANGA kubwa kwetu
Ametumika kuliko player yoyote wa Arsenal katika World Cup
3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa Matusi na lugha chafu, mashabiki wao wengi ni wale watoto waliokosa malezi ya pande mbili, members wake wengi ni wale watoto waliolelewa na single mother bila kusahau pia wengi wao ni madereva wa bodaboda hali inayopelekea bomba la matusi muda wote kua wazi, tena zilivyo Nyani hua zinatukanana zenyewe kwa zenyewe.Zifahamu tabia za thread za timu mbalimbali.
1. Manchester United hawa mashabiki wao asilimia kubwa wanaongelea usajili wa mchezaji fulani ukifanyika basi timu yao itakuwa bora. Hii ni trend toka aondoke Ferguson. Bahati mbaya wamesajili sana makocha na wachezaji lakini msiba haujaisha.
2. Manchester city wao ni mashabiki oyaoya, hawaujui mpira bali ni kelele nyingi kwasababu Guardiola anawapa mafanikio. Wengi wao ni wahanga kutoka klabu mbalimbali ambazo hazifanyi vizuri.
3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa uchambuzi wa mpira unaochezwa ndani ya uwanja. Wataalamu wote wa uchambuzi wa soka wapo pale. Pia ndio wanaongoza kupokea kejeli kutokana na kutofanya vizuri kwa misimu mingi ikiwemo kutobeba UCL wala Europa.
4. Chelsea wao thread yao imepambwa na malalamiko. Jamaa kila siku wako na lalamiko jipya. Kwa miaka kumi wamebeba karibu makombe yote makubwa lakini malalamiko hayaishi. Watamlaumu kocha, mmiliki, usajili m-bovu na hata timu pinzani.
5. Liverpool kwenye uzi wao utakuta wanaandika komenti ndefu sana lakini hamna cha maana zaidi ya kuwaongelea FSG, kiburi cha Klopp na majeruhi ya wachezaji. Wachambuzi wao wanapenda pia kutumia viingereza na huwa wanapotea kila timu inapofungwa na kurudi wakishinda.
Una shobo sana wewe,hutulii kwako kule unyumbuni....hiko kipele nyuma ya bukta kinakuwasha sana3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa Matusi na lugha chafu, mashabiki wao wengi ni wale watoto waliokosa malezi ya pande mbili, members wake wengi ni wale watoto waliolelewa na single mother bila kusahau pia wengi wao ni madereva wa bodaboda hali inayopelekea bomba la matusi muda wote kua wazi, tena zilivyo Nyani hua zinatukanana zenyewe kwa zenyewe.
Kuna Maandiko au Post ukizisoma unajua uwezo wa akili y muandishi.3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa Matusi na lugha chafu, mashabiki wao wengi ni wale watoto waliokosa malezi ya pande mbili, members wake wengi ni wale watoto waliolelewa na single mother bila kusahau pia wengi wao ni madereva wa bodaboda hali inayopelekea bomba la matusi muda wote kua wazi, tena zilivyo Nyani hua zinatukanana zenyewe kwa zenyewe.
Unategemea nini kwa kichwa kama hiki kikuletee katiba mpya.Kuna Maandiko au Post ukizisoma unajua uwezo wa akili y muandishi.
Kwa hili andiko walau umetuambia kuwa una kichwa tu cha mfano lkn ndani kumejazwa matakataka, na kupitia uandishi yametoka Nnje.
Malezi ya pande 2Una shobo sana wewe,hutulii kwako kule unyumbuni....hiko kipele nyuma ya bukta kinakuwasha sana
Ila we jamaa una vurugu sana kama empty set.Malezi ya pande 2
Ila we jamaa una vurugu sana kama empty set.


hamna mkuu, hawa watoto waliokosa malezi ya baba inabidi sisi wajomba zao ndio tusimamie nidhamu.
| @FabrizioRomano:
Kumbe Jana mmepigwa na upo kimya3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa Matusi na lugha chafu, mashabiki wao wengi ni wale watoto waliokosa malezi ya pande mbili, members wake wengi ni wale watoto waliolelewa na single mother bila kusahau pia wengi wao ni madereva wa bodaboda hali inayopelekea bomba la matusi muda wote kua wazi, tena zilivyo Nyani hua zinatukanana zenyewe kwa zenyewe.
) Arsenal could change their January plans after Jesus's Injury.