Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Baada ya mpira mtamu, leo tunapewa viwanja
Unachotakiwa ni kuvaa jez ya arsenal tu
IMG-20220921-WA0011.jpg
 
Jesus kuna rafu 2 alicheza zilikua za kula njano kabisa ila refa aliamua kupotezea.
Ila ile direct red card ya Emerson Royal ilikuwa ni uonevu, refa kwa makusudi kabisa aliamua kuua tu hii game.
Kabla ya Red card walikuwa washapigwa chuma 2

Ile Red card halali kabisa

Sijaona hata Spurs wakilalamikia ile card

Alitaka kumvunja Martinel ,ile Ni seriously faulo ,Tena kwa nyuma kaicheza
 
Jesus kuna rafu 2 alicheza zilikua za kula njano kabisa ila refa aliamua kupotezea.
Ila ile direct red card ya Emerson Royal ilikuwa ni uonevu, refa kwa makusudi kabisa aliamua kuua tu hii game.
Inaitwa Serious foul ,hata VAR hawakujisumbua kuangalia

Spurs alikuwa afe, timu gan linakaa nyuma tu na wachezaji 10


IMG-20221001-WA0017.jpg


IMG_20221002_074817.jpg
 
Arteta inabidi akomaee sana, tena sana asitoke pale juu kwa sasa. Maana Guardiola akikaa hata kwa bahati mbaya pale juu kwa wiki tatu mfululizo basi inakuwa nitolee hiyo na kombe mtalifukuzia Hadi dakika ya mwisho na hamtolipata.
 
Martinel ameanza kucheza ki father
Martinell Jana mbona kacheza poa tu


Hakuna njia nyingine Arsenal itashinda mechi zake bila Saka na Martinelli kucheza wanavyocheza...hawa ndo ball carrier wa Arsenal lazima wakae na mpira vile lazima wakimbilie kule wanapokimbilia hili kupunguza watu ndani ya box.

Ukitaka kujua hili kwa wepesi angalia Jesus akienda pembeni kama hakai na mpira kule ....hii ni basics ya modern wings lazima uwe na uwezo wa kuboss ule mpira muda fulani na uwe na quick run ukiamua kuondoka.

Kitu kibaya mashabiki tunaonaga mfungaji wa Goli...lkn mechi ya Jana Saka kahusika na matukio ya goli mbili directly ambayo yamewapa Arsenal ushindi.

Kaka mpira sio vuruvuru bhana kwamba ukipata piga au kimbia kimbia😂😂 hivi vitu vinafanyika kwenye mbinu na system
Hii overload ambayo Arsenal inatengeneza kwenye zone and angles msingekuwa mnaiona kama wale wawili hawachezi vile wanavyocheza.

Kwenye Ile super quick transition huwezi kukuta overload principle mara nyingi utakuta fixed numbers unless iwe counter attack ambayo opponent mmoja atakuwa off truck baada ya kupoteza mpira.
 
mpira bila ya utani (tambo) na kejeli za mashabiki hua haunogi kabisaaaa.
Ila kiukweli mnaupiga mwingi mpaka tunawaonea wivu ila mtambue tu kutangulia sio kufika.
Kuhusu City wala usiwe na shaka kabisa, timu zinazojifanya unbeaten sisi ndio kiboko yao, hata nyie Arse mnalitambua hilo.
Hivi hamis 77 amepotelea wapi?
Jamaa hua namkubali sana yule, kama wiki inafika sijamuona humu.
Kwenye mechi kubwa kama za leo sio kawaida yake kabisa kukosena kwenye hili jukwaa.
leo tupo upande wenu msituangushe
 
Hivi hizi nguvu zenu za soda zitaisha lini?
Aah Msiniambie mko serious na ubingwa?
 
Back
Top Bottom