mwanakwetuu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 407
- 822
Ile ilikuwa dangerous play, ndio maana hata var hawakwenda cz ilikuwa lazima redJesus kuna rafu 2 alicheza zilikua za kula njano kabisa ila refa aliamua kupotezea.
Ila ile direct red card ya Emerson Royal ilikuwa ni uonevu, refa kwa makusudi kabisa aliamua kuua tu hii game.





mnalitambua hilo.