Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Anachokifanya partey uwanjani, sijui nimfananishe na nani pale.

Tutake tusitake huyu mwamba anajua saana mpira,uchawi majeruhi yake.
Angekuja epl mapema na akawa fiti huenda angeingia katika listi ya viungo bora waliopata kutokea pale ligi kuu ya Uingereza.
Me sio mshabik wa Gunners.. Lkn nilipita humu nikaona mtu anasema Partey ana low IQ dah namuangalia Partey leo hlf najiuliza huyo jamaa aliyosema ayo alikua serious au utan au uwa anaangalia game gani.
 
  1. Ili mshinde mumfanyie sub haraka huyo Gabriel
  2. Fungeni nne maana lazima Son afunge, Richalson
  3. Tena mkizemebea Kane ataongeza na Son 2
Tatizo la kushabikia mpira ukubwani

Spurs last time ananifungua sabubu ya cadya holding dakika ya 20
Partey kiungo tunachotegemea hakuwepo
Tomiyasu hakuwepo

Tukiwa full mkoko, spurs na chelshit fimbo mwanzo mwisho
 
Hii mechi inamuhitaji Tomiyasu, yale makosa tuliyofanya mechi na MANU yanataka kujirudia.. Ben White ni Mzuri ila kwa pembeni hapana aisee... Kuna mufa anajisahau anaufinya uwanja. Spurs wanapita kama sebuleni
Sijui kwanini arteta halioni hili tatizo ambalo linajirudia sana kwa Ben.
 
Me sio mshabik wa Gunners.. Lkn nilipita humu nikaona mtu anasema Partey ana low IQ dah namuangalia Partey leo hlf najiuliza huyo jamaa aliyosema ayo alikua serious au utan au uwa anaangalia game gani.
Aahh.. Ni kufunika kombe tu mzee, watakuja hapa na lugha zao mbovu, wao ndio wanajua mpira na nini, sisi wengine ni vilaza tu.

Ila kila nikimuangalia partey nakosa wa kumfananisha nae kwa sasa..
 
Nyie takataka muna timu ya kawaida sana .. arse8 hii kubeba ubingwa labda Yesu aludi😂😂😂
 
Back
Top Bottom