makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,852
- 103,970
Hiyo cha mtoto game na Brentford toka mpira uanze mpaka inakaribia dk ya 2 walikuwa hawajagusa boli kisha tukawakosa goli, martineli alikosa, angefunga ilikuwa ni balaa.Kabla ya lile goal la partey zilipigwa pasi 21 naisi kama wenger yuko nyuma ya pazia pale arsenal ni awataki kutuweka wazi


mnalitambua hilo. 