Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo lazima mpapaswe tena nyie fisi maji , nyie ni wa kupapaswa Tu mkikutana na timu za kiume
 
Defence haijatulia kiukweli, kuna through balls nyingi zinapita, Gabriel umakini wake uwanjani mdogo, haswa akiwa kwenye box, hakuoaswa kufanya alichookifanya.
Mara zote hua anatugharimu ila mara nyingi hua hazionekani kwa kua tunacheza na timu ndogo ambazo hata akifanya makosa yale yale ya kujirudia miaka yote hua tunauwezo wa kupambana na kushinda, lakina Gabby ni yule yule miaka yote.
 
  1. Ili mshinde mumfanyie sub haraka huyo Gabriel
  2. Fungeni nne maana lazima Son afunge, Richalson
  3. Tena mkizemebea Kane ataongeza na Son 2
 
JamiiForums-78024158.jpg
 
Back
Top Bottom