Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Erik ten Hag
Ten hagg Hana uwezo waku dominate mpira , ukiacha magoli ya kaunta ,pale kwenu Arsenal tulitawala mpira kwa kiwango kikubwa

Kwakuwa mashabiki hamfanyii analysis mech mnaangalia matokeo tu utaona Ten hagg bonge la kocha

Kwa timu iliyotumia £250m dirisha moja, halafu inacheza vile ,mnatakiwa muwe macho mapema

Mmemsajiri kutoka Ajax mkiamin atawaletea ule Mpira mzuri wa Ajax

Mlituwin kwa kaunta , but sikuzote hutaweza kushinda kwa ujanja ujanja

Mpira wasasa unahitaji total control ya game ,

Kama unaamin ule Mpira mtakuwa mnashinda ,subiri kesho kwa City,
 
Saka & Saliba hawa ni wachezahi level ya Mbappe/Haaland, tumebarikiwa.pasi ikipigwa kwa saka full burudani aisee
IMG_20221001_183716.jpg
 
Xhaka sio DM hata siku moja hayo majukumu yamemkuta Arsenal baada ya injury crisis ya Coquelin na Cazorla but mainly Coquelin! Wenger akaanza mtumia kama mkabaji.

Xhaka ni natural CMF na 90 Altena AMF utaweza kuona akiwa Borussia Mönchengladbach akicheza nusu nusu as CM na AM, kutoka maktaba yangu inaonekana aliwahi wasumbua sana Chelsea akishirikiana na Thorgan Hazard yeye akiwa AM.

Back to Suisse Team utaweza kuona Xhaka akicheza as CM na different occasions as AM nyuma yake akiwepo jini mnyonya damu Behrami anayesimama kama DM, kutoka maktaba Xhaka amewahi wasumbua sana France hasa Pogba kupelekea kuchaniwa jezi mbili na jezi ya tatu kutatuka sehemu ndogo. Same amewasumbua Germany na Brasil waliosheheni wachezaji hakika.

Ujio wa Partey if it's real! Xhaka tutazidi kumuelewa maana atakuwa free kuonesha majaliwa na hapa Arteta aki-compile Partey lower na Xhaka x Paella frontier basi ni msimu mzuri wa Lacazatte na muendelezo wa Aubameyang!.

Xhaka huwa simlaumu maana namfahamu deep katika uchezaji anatumikia jukumu lisilo lake even bit about his family, sio Nketiah striker naturally unapokea open chances 5 hutumii hata moja.
Nilimshauri Arteta mapema na amefanyia ushauri wangu kazi.

cc. Castr Will Jr
 
Mikel Arteta on making 22 passes before Partey’s goal:


“If we can score in one, I would prefer it! It’s the way we play that we trained for every single day, but I think as a team, that connection & understanding of what we want to do is reflected in that action.” #afc
 
Tottenham play like Burnley but with Kane up front instead of Barnes
Aahaah! kuna utofauti gani wa Conte na Mourinho? Timu muda wote imekaa nyuma, tactic ni kupiga ndefu kwa Son/ Kane /Richarlison [emoji1787]
 
Mtu anakaa anakomaa kabisa, Spurs Ni title contender ,mara Spurs atamfunga Arsenal

Hapo ndipo niligundua kuna watu wanaangalia mpira livescore

Spurs haina tofaut uchezaji wake na Burney , tofaut yao Spurs wanasafu nzuri ya ushambuliaji

Mechi karibu zote za Spurs ,anakaa nyuma hata dhidi ya weak opponent

Kiukweli naboreka Sana na timunzinazokaa nyuma ,nimefurahi mech ya Liverpool vs Brighton timu zinapishana , hakuna anayekaa nyuma
 
Kabla ya lile goal la partey zilipigwa pasi 21 naisi kama wenger yuko nyuma ya pazia pale arsenal ni awataki kutuweka wazi
Hiyo cha mtoto game na Brentford toka mpira uanze mpaka inakaribia dk ya 2 walikuwa hawajagusa boli kisha tukawakosa goli, martineli alikosa, angefunga ilikuwa ni balaa.
 
Ambae hajafungwa mpaka sasa ni City, ambae tunaenda kumkalisha akiyakanyaga.
Tusimpuuze city kiasi hicho...

Kuuthibitishia umma kuwa tuko serious, tumfunge huyu Liverpool nusu, tukishindwa kumfunga Liverpool kiwete tutakuwa hatuko serious na ule ugonjwa wetu wa big games utakuwa haujaisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom