Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Huwezi kuwa serious, unaanzaje kusupport these Nyumbu.leo tupo upande wenu msituangushe
Huwezi kuwa serious, unaanzaje kusupport these Nyumbu.leo tupo upande wenu msituangushe
Utaki gap liongezeke kwanHuwezi kuwa serious, unaanzaje kusupport these Ny
Huyu ni shabiki asiyefungamana na upande wowoteWewe jamaa Ni timu gani naomba leo nijue
Chelsea hii ya Sterling au?Timu ra kishamba sana hiri .. kushinda tumechi tutano tu basi munajiona mabingwa haha ..hii timu haitiboi desemba ..wacha muendelee kutamba tamba mukikutana na wanaume tunawapasua ipasavyo.
Hayo MALUGA LUGA huwa yanatubahatishaga sana ila dawa yao watakutana nayo raundi ya piliHii manyyuu ndo iliwalamba tatu?!!!!!
@Aaron ArsenalJapo Ni msumbufu humu, ila nakukubali kwakutucharua ,
Kesho mkazieno city hata sare TU inatosha
It's a low IQ to argue with loser like you, i dont even waste my energy, mi na wewe ni mbingu na ardhi, you know nothing about this game labda mipasho.Bila hiyana wala choyo Arsenyani mnaubonda mwingi ingawa magoli yenu mengi ni ya kubahatisha sana, yaani mpira unauona kabisa unaenda nje halafu ghafla unadunda kwenye jiwe unajaa wavuni
Msibisheeeeeee
Ila kipa wa Spurs lazima kamati ya FA tumuite kwa mahojiano, lile goli la pili mpira alikua ashaudaka kabisa halafu akauachia makusudi upite, kama hakubeti basi lazima atakua amepokea hongo ili auze mechi.
Will Jr usijitoe ufahamu na kujifanya kukanusha kua Partey ana low IQ. View attachment 2374148
Huyo jamaa ni Arsenal mwenzenu niliinasa comment yake ya zamani ikiwa na viashiria vyote vya kusapoti Arsenal kipindi hiko kabla hajaanza ujinga wake na niliscreenshot kuna siku nitamlipua humu nikiisaka nilipoisave.Wewe jamaa Ni timu gani naomba leo nijue
Huyu mpuuzi Carrasco putin ni nyumbuHuyo jamaa ni Arsenal mwenzenu niliinasa comment yake ya zamani ikiwa na viashiria vyote vya kusapoti Arsenal kipindi hiko kabla hajaanza ujinga wake na niliscreenshot kuna siku nitamlipua humu nikiisaka nilipoisave.
Hii safi sana brother. Hongereni sana. Je Kuna branch ya hivi Arusha? Maana nikijaaliwa natafuta group yenye cause kama hii. Najitahidi kujilengesha kwenye environmental services zaidi kama kununua miche na upandaji miti ila nitatafuta kitu humanitarian zaidi baadae. Since napenda football na arsenal, labda group dogo lenye arsenal/football fans kusaidia wahitaji itakuwa poa/ no 'mambo mengi'.Jana mashabiki wa Arsenal tulitembelea hospital ya Palestine Sinza, kutoa vifaa vya Mama wajawazito
Kwangu hii huwa naichukulia kama ibada
Tulikuwa na Rais wa Arsenal TZ ,Edo kumwembe
View attachment 2374420
View attachment 2374423
Vita yenu na Man City ya kugombania makoti tunaomba msituhusishe.leo tupo upande wenu msituangushe
Mkuu wewe ni jasiri sanaVita yenu na Man City ya kugombania makoti tunaomba msituhusishe.
Nyie pambaneni na hali yenu, Man United sio daraja la kuwasaidia nyinyi kupigwa na baridi kule kileleni.
Mkuu mpira kwangu ni burudani tu, siwezi kuchukulia serious kama vile ndio ajira yangu.Mkuu wewe ni jasiri sana
Na ndio unajitahidi kupangua hoja, hata kama kwa yaliotokea
Umekomaa kisoka, hauku deserve kuitwa nyumbu kabisa


Ooh nooo its pep again...unbelivableBaada ya vita ya pepe Vs klopp kuisha Sasa ni arteta Vs pep mpaka epl ijulikane itatua wapi![]()