Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa hii team yenu hamtaweza kutoboa mbele ya Tottenham, Man City home and away games.
ni maoni yako mkuu na lazima yaheshimiwa.chochote ,mahali popote na muda wowote na kwa timu yoyote kinaweza tokea mkuu
 
Tuwe tu wakweli Arsenal hana kikosi cha kusumbua top 5 teams sijui kama Conte mtamfunga na Chelsea wameleta Auba sasa
Arsenal akitoa sare mechi hizo yatosha lakini si kupoteza.

Hizi mechi zaendana na mbinu ukiwa wajipanga kimbinu hakuna mechi ngumu.

Ndo maana nasema msimu huu ni tofauti na hakuna alietarajia Liverpool na Manchester City kupoteza points mapema.

Arsenal leo alitawala asilimia 60 ya mechi na bado kafungwa, hivyo ni mbinu tu.

Vilevile hakuna alietarajia timu kama Brighton leo kushika nafasi ya 4 kwenye msimamo wa ligi baada ya mechi 6.

Na hakuna alietarajia timu kama Leicester City kushika mkia leo baada ya mechi 6.
 
Arsenal akitoa sare mechi hizo yatosha lakini si kupoteza.

Hizi mechi zaendana na mbinu ukiwa wajipanga kimbinu hakuna maechi ngumu.

Ndo maana nasema msimu huu ni tofauti na hakuna alietarajia Liverpool na Manchester City kupoteza points mapema.

Vilevile hakuna alietarajia timu kama Brighton leo kushika nafasi ya 4 kwenye msimamo wa ligi baada ya mechi 6.

Na hakuna aletarajia timu kama Leicester kushika mkia leo baada ya mechi 6.
tatizo watu wanakariri kuna siku ligi hii itawashangaza watu.
 
Top 6 imagine tunalose vs Rashford itakuwaje Vs Halaand Vs Salah Vs Kane Vs Auba? We need to win vs Top 6 teams but limeshindikana hili suala may be katika 10 games Vs Liverpool Manchester City Manchester United Chelsea Spurs may be may be we are going to win 2 out of 10 games



Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Wewe ndo mshabiki wa arsenal pekee ambaye sio mnafiki. Nyeusi ni nyeusi toka nwanzo wa ligi mpaka mwisho japo washabiki wenzio HAWAKUELEWI.
 
Back
Top Bottom