piga ramli tu mkuu ila utashangaa,haya matokeo yametupa msaada mkubwa mno kwenye aproach ya game zinazofuataKwamba mtaendelea kuongoza ligi baada ya mechi 3, unaijua ratiba yako lakini?![]()
Wewe usifananishe Chelsea na matakataka wewe kuwa adabuYaani kuongoza ligi kwa points 3 dhidi ya Man U ni kama mko sawa ndio yale yale ya Chelsea msimu uliopita ni swala la muda tu mtatoka hapo juu na mtapoteza kujiamini maana wachezaji wenu wengi ni watoto.
ulitazama mech mkuu?
kwenye msimamo uko sehemu gani mkuu.life is today na tunaongoza ligiTaratibu mnarudi kwenye default settings yenu
Thomas Partey ndie anchorman pale kati na yupo anarudi mambo yatakuwa sawa.Midfield weka Lokonga,Smith Rowe na Mohammed El neny hapo utashinda
Yaani Leo Man Utd wamewashinda kwa Midfield yao ya Eriksen Na McTominay?!! Odegaard na Xhaka ni squad players bench warmers usitegemee kushindana katika big match kwa midfield umeweka Mctominay na Odegaard
Wapenzi wa Arsenal twaamini safari hii lazima timu faulu kucheza CL.
Hiyo ya Ubingwa si priority kwani ni mapema mno kuzungumzia ubingwa.
Ubingwa huangaliwa baada ya 20 games.
Utakifahamu jina match day ya Chelsea vs arsenyetohichi kichekesho chako kinaitwaje mkuu,kwa baridi na joto we are gunners
Arsenal timu ndogo?
Ode hakuna na kitu kipya tena leo naweza kusema ndo katukosesha ushindi, kuna eneo la kushoot ndan ya 18 anatoa pasi za ovyo ovyo, kwa jinsi alivyoingia Viera na kucheza vile Ode ajiangalie sanaArteta amefanya gamble kuwatoa Odegaard, Lokonga na Zinchenko kukiwa kumebakia dakika 20.
Hilo ndilo kosa pekee la Arsenal leo, otherwise tumecheza mpira mzuri bila kufikiria mbinu ya Manchester United ambayo nilisema watacheza counter attack.
Hata hivyo bado twaongoza ligi na next march Europa league.
Hongera zao Manchester United kwa counter attacking football.
Manchester united wana kocha mzuri na mwenye mbinu,tatizo la Arsenal bado ni ubahili mkuu,hatuna wachezaji wa kushindana na timu hata hivyo wanajitahidi sanaArteta amefanya gamble kuwatoa Odegaard, Lokonga na Zinchenko kukiwa kumebakia dakika 20.
Hilo ndilo kosa pekee la Arsenal leo, otherwise tumecheza mpira mzuri bila kufikiria mbinu ya Manchester United ambayo nilisema watacheza counter attack.
Hata hivyo bado twaongoza ligi na next march Europa league.
Hongera zao Manchester United kwa counter attacking football.
Nani awe na uadui na kitimu midtable wewe ?! Tatizo kidomo Domo kimewaponza.😂😂😂Leo tuna maadui na big 4 wote, kisa tu tupo on top
Hizo roho mbaya
Nyumbu 0 vs arsenal 4
#COYG
Thomas Partey ndie anchorman pale kati na yupo anarudi mambo yatakuwa sawa.
Xhaka hucheza uzuri akiwa na Partey kuliko akiwa na Lokonga.
Odegaard wamuonea kwani yeye ni creative Midfielder na leo kacheza bado akiwa hayuko fit, maana aliumizwa kwenye mechi na Aston Villa.
una hoja mkuu.na hili kuna namna limetugharimu kiasi chake.ila linafanyiwa kazi.mpira ni structure na inatengenezwqNilitazama mechi mkuu.
Xhaka na Odegaard kiushauri sio wa kusema una midfielders wa kupambana na Club vigogo
Fikiria kipindi Real Madrid Modric ana umri wa miaka ishirini na kitu hapo hapo yupo na Kroos ,hali kadhalika Barca kipindi Xavi ,Iniesta na Busquets wana miaka ishirini na kitu leo hii Arsenal inategemea Xhaka na Odegaard wakiwa wanaanza kwa pamoja
Top 6 imagine tunalose vs Rashford itakuwaje Vs Halaand Vs Salah Vs Kane Vs Auba? We need to win vs Top 6 teams but limeshindikana hili suala may be katika 10 games Vs Liverpool Manchester City Manchester United Chelsea Spurs may be may be we are going to win 2 out of 10 gameskwako changes ni kuifunga man u pekee?
Kufa mkuu🤣🤣🤣🤣If 90 minutes zitaisha Arsenal hana 3 points or even 1 point vs Manchester United kilio kitakuwa ni kile kile daily tunachokisemaga vs Top 6 no changes but let's hope
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Tena tunakuja kuchukia haraka maana hawana nidhamu Hawa wahaini.mechi 5 wanajitangaza mabingwa
very funny.na tusubiri mkuu.Utakifahamu jina match day ya Chelsea vs arsenyeto