Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta amefanya gamble kuwatoa Odegaard, Lokonga na Zinchenko kukiwa kumebakia dakika 20.

Hilo ndilo kosa pekee la Arsenal leo, otherwise tumecheza mpira mzuri bila kufikiria mbinu ya Machester United ambayo nilisema watacheza counter attack.

Hata hivyo bado twaongoza ligi na next march Europa league.

Hongera zao Manchester United kwa counter attacking football.
yeah kufungwa nayo ni matokeo
 
Nilishasema mkaona naongelea ushabiki arsenal hana kikosi cha kumfunga man U mlivyoona tumepigwa na Brighton,na Brentford mkaona sisi wabovu sawa sawa.

Nimeangalia msimamo wa ligi arsenal na Man U ni tofauti ya points 3 tu.yaani ushindi mechi moja tu.
Kelele za ubingwa zitapungua kwa sasa.

Arsenal timu nyinyi wanazocheza nazo zinakaaga tu nyuma,ndio maana wakaanza kelele.

Wakipoteza mechi nyingine ndio watapoteana mazima.
 
Nafikiri amemaanisha hauna akili kwa hiyo hoja ya kipimbi ya kudai Arsenal kacheza na vibonde.

Kati ya hivyo vibonde unavyovisema viwili vimemnyima point Liva.

Of course HUNA AKILI
Mtaelewa tu taratibu nilimaa Isha Nini vibonde wakubwa Ninyi. Mmeshinda vimechi tudogo mnaharibu amani mitaani. Mtapoteana tu sana humu
Mechi 16 Oldtraford one win, 10 defeats, 5 draws
 
Nimeangalia msimamo wa ligi arsenal na Man U ni tofauti ya points 3 tu.yaani ushindi mechi moja tu.
Kelele za ubingwa zitapungua kwa sasa.

Arsenal timu nyinyi wanazocheza nazo zinakaaga tu nyuma,ndio maana wakaanza kelele.

Wakipoteza mechi nyingine ndio watapoteana mazima.
Lengo la Arsenal msimu huu ni top 4 si vinginevyo.
 
Nimeangalia msimamo wa ligi arsenal na Man U ni tofauti ya points 3 tu.yaani ushindi mechi moja tu.
Kelele za ubingwa zitapungua kwa sasa.

Arsenal timu nyinyi wanazocheza nazo zinakaaga tu nyuma,ndio maana wakaanza kelele.

Wakipoteza mechi nyingine ndio watapoteana mazima.
yaani matokeo ya leo ni homework itakayomsaidia sana arteta kwenye hizi mbio
 
HUNA AKILI.


Sijatoa povu ila nilikuwa nakuambia ukweli,post yako inayosema kuwa arsenal imekutana na timu dhaifu ndio maana ipo hapo ilipo ndio imenifanya nikwambie HUNA AKILI.

na narudia tena huna HUNA AKILI.

Muulize PEP kilichomkuta jana hii ni EPL ....

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Your a naked stupid
 
Mtaelewa tu taratibu nilimaa Isha Nini vibonde wakubwa Ninyi. Mmeshinda vimechi tudogo mnaharibu amani mitaani. Mtapoteana tu sana humu
Mechi 16 Oldtraford one win, 10 defeats, 5 draws
kamechi kengine tutakakoshinda ni chelsea
 
Matakataka muda unawadia Sasa kwenda kukalia kitu kigumu ..vip mumejiandaaje? Pakeni mafuta ya kutosha na vilainishi vya kutosha ili mikukandamizwa musiumie Sana hahahaha ..naona jinsi mulivyo na puresha hahaha haitauma sana vumilieni wanangu arse8
Na ni matakata kweli, yameliwa kisawasawa na mbolea
 
Arteta amefanya gamble kuwatoa Odegaard, Lokonga na Zinchenko kukiwa kumebakia dakika 20.

Hilo ndilo kosa pekee la Arsenal leo, otherwise tumecheza mpira mzuri bila kufikiria mbinu ya Machester United ambayo nilisema watacheza counter attack.

Hata hivyo bado twaongoza ligi na next march Europa league.

Hongera zao Manchester United kwa counter attacking football.

Yaani kuongoza ligi kwa points 3 dhidi ya Man U ni kama mko sawa ndio yale yale ya Chelsea msimu uliopita ni swala la muda tu mtatoka hapo juu na mtapoteza kujiamini maana wachezaji wenu wengi ni watoto.
 
Nilishasema mkaona naongelea ushabiki arsenal hana kikosi cha kumfunga man U mlivyoona tumepigwa na Brighton,na Brentford mkaona sisi wabovu sawa sawa.
Mimi nimesikitika sana hizi bata kufungwa goli 3, leo zilitakiwa kwa kiwango cha chini kabisaaa zipigwe walau hata goli 6.
AsaniWali, AsaniMbuzi, AsaniBata leo zitajisifia sana humu kwa kuweza kuwadhibiti Man United wasiwafunge goli nyingi.
 
Yaani kuongoza ligi kwa points 3 dhidi ya Man U ni kama mko sawa ndio yale yale ya Chelsea msimu uliopita ni swala la muda tu mtatoka hapo juu na mtapoteza kujiamini maana wachezaji wenu wengi ni watoto.
ndoto hiyo
 
Back
Top Bottom