Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,071
- 20,330
Nilishasema mkaona naongelea ushabiki arsenal hana kikosi cha kumfunga man U mlivyoona tumepigwa na Brighton,na Brentford mkaona sisi wabovu sawa sawa.
Nimeangalia msimamo wa ligi arsenal na Man U ni tofauti ya points 3 tu.yaani ushindi mechi moja tu.
Kelele za ubingwa zitapungua kwa sasa.
Arsenal timu nyinyi wanazocheza nazo zinakaaga tu nyuma,ndio maana wakaanza kelele.
Wakipoteza mechi nyingine ndio watapoteana mazima.


Manjesta Ifungwe Na Arsenal..!
Arsenal Imfunge Manjesta..!