Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta ameulizwa baada ya mechi una mpango wa kusajili; akajibu “ndio tunamapungufu hivyo tunapaswa kusajili, na tunaweza kusajili”
 
Official: Gabriel Jesus has been awarded Man of the Match for his performance vs. Bournemouth this evening. [Sky] #afc
View attachment 2329889
IMG_20220820_232658.jpg
 
Nakumbuka hata sisi msimu uliyoisha zile mechi 4 za mwanzo ni ushindi tu, mara tumempiga mtu goli 7 kelele zikawa nyiiiingi kua huu ni msimu wetu, tena tupo na GOAT mwenyewe lazima tuchukue Epl, wazee wa kosi la dunia tukawa ni mkosi kweli duniani ligi inaisha tuko na GD 0.
Ila yote heri tuombe uzima ili tuendelee kupata burudani ya EPL.
Goals 7 mlimfunga nani?
 
Man Utd hakuna program endelevu, kila wakati mnakosa uvumilivu na kubadilisha ikiwemo sajili zisizokuwa na tija. Van gaal alianza kutengeneza mkamzingua. Sasa hivi inatakiwa mumuachie ten hag afanye program mpya angalau miaka mitatu bila kujali matokeo.

Arsenal ya sasa ni matokeo ya kuanza upya na ninaamini sasa hivi timu imetulia na itapigania ubingwa. Tatizo sugu la mabeki na washambuliaji limepata suluhisho hivyo nategemea wafanye vizuri.
Kuhusu Man Utd kukosa uvumilivu na kubadili makocha kila wakati ndio sababu inayopelekea kukosa program endelevu hilo nakubaliana na wewe maana kila kocha anaekuja anakua na falsafa yake.

Ila kusema Arsenal ya sasa ni matokeo ya kuanza upya hilo nakupinga kwa nguvu zote,
Arsenal ya sasa ni Arsenal ileile ya miaka iliyopita ambayo tatizo lenu kubwa hua ni washambuliaji na walinzi makini, kikubwa ni sajili mbili hizi mlizozifanya za Zinny na Jesus zimesaidia kuziba madhaifu yenu ya muda mrefu.
Muhimu ni kuomba tu Jesus asije mapata majeruhi akakaa nje kwa muda mrefu, nina uhakika wa asilimia 90 Jesus akiumia kule mbele kutaendelea kua butu kama zamani kwa zile kosakosa za kina Nketiah.
Uwepo wa Jesus umeongeza ari kubwa sana kwenye safu ya ushambuliaji na timu kwa ujumla.
 
Kuhusu Man Utd kukosa uvumilivu na kubadili makocha kila wakati ndio sababu inayopelekea kukosa program endelevu hilo nakubaliana na wewe maana kila kocha anaekuja anakua na falsafa yake.

Ila kusema Arsenal ya sasa ni matokeo ya kuanza upya hilo nakupinga kwa nguvu zote,
Arsenal ya sasa ni Arsenal ileile ya miaka iliyopita ambayo tatizo lenu kubwa hua ni washambuliaji na walinzi makini, kikubwa ni sajili mbili hizi mlizozifanya za Zinny na Jesus zimesaidia kuziba madhaifu yenu ya muda mrefu.
Muhimu ni kuomba tu Jesus asije mapata majeruhi akakaa nje kwa muda mrefu, nina uhakika wa asilimia 90 Jesus akiumia kule mbele kutaendelea kua butu kama zamani kwa zile kosakosa za kina Nketiah.
Uwepo wa Jesus umeongeza ari kubwa sana kwenye safu ya ushambuliaji na timu kwa ujumla.
Flano , Arsenal sio ile Ile, tulimtimua auba ,na laca na timu ikaendelea kupata matokeo

Arsenal aliyoikuta Arteta ilikuwa hata pass 5 haiwez kupiga,Arsenal ya emery hiyo, ilikuwa kwa msimu mzima mech za away inashinda mechi 3-4 basi, mech za away inakaa nyuma .


Arteta akaanza kuisuka taratibu kwa kuondoa toxic players wote ,na wiki hii anamalizana na pepe ,

Kikosi alichokikuta wamebaki Saka aliyemkuta ni beki wa kushoto, XHAKA aliyekuwa anajiandaa kusepa, na Martinell ambaye Ni Usajiri was skauti ,

Kwahiyo ukisema Arsenal Ni ile Ile unakosea Sana, Arsenal tulifikia hatua mech za away hata na vibonde tunapelekewa Moto .


Kuhusu eneo la CF , Jesus kweli kaongeza kitu, lakin anachofanya Kocha anatawanya magori, magoli yanatokea pande zote ,kumbuka Arteta ni muumini wa pep ,
Jana Jesus hajafunga lakin chances zinatengenezwa nyingi ,anafunga kila mtu , pale CF Martinell ndio namba yake aliyekuwa anacheza Brazil na kufunga goli nyingi. Alipokuja Arsenal anatumika Kama winger , Na anachokitaka Kocha kwa CF kwanza u press , hiyo Kaz Nketiah anaiweza, japo hamfikii GJesus

Rebuilding ya Arsenal ilianza kwanza kwa kumpa Mamlaka yote Arteta ,Kisha wachezaji asiowataka awaondoe , now yupo mwishon kabisa ,

Kwahiyo hata hi sex football tunayocheza sio kwa bahati mbaya .
 
Ila kusema Arsenal ya sasa ni matokeo ya kuanza upya hilo nakupinga kwa nguvu zote,
Arsenal ya sasa ni Arsenal ileile ya miaka iliyopita ambayo tatizo lenu kubwa hua ni washambuliaji na walinzi makini, kikubwa ni sajili mbili hizi mlizozifanya za Zinny na Jesus zimesaidia kuziba madhaifu yenu ya muda mrefu.
Muhimu ni kuomba tu Jesus asije mapata majeruhi akakaa nje kwa muda mrefu, nina uhakika wa asilimia 90 Jesus akiumia kule mbele kutaendelea kua butu kama zamani kwa zile kosakosa za kina Nketiah.
Uwepo wa Jesus umeongeza ari kubwa sana kwenye safu ya ushambuliaji na timu kwa ujumla.
Arsenal ya sasa ni matokeo ya program endelevu. Saliba alisajiliwa miaka mitatu iliyopita na sasa amerudi akiwa vizuri.. mwaka jana alisajiliwa white na ukiweka na zichenko basi pale nyuma ukuta umesimama.

Ni kweli kabisa kwamba GJ ameleta mapinduzi makubwa pale mbele kafunga mawili na assist 3 kati ya magoli 9 ya timu. Ni sehemu ya program kuimarisha maeneo yaliyokuwa dhaifu msimu uliopita. Hakuna timu isiyokuwa na special player. Hopeful hatapata majeraha yatakayomuweka nje.
 
Understand that contract talks with Gabriel Martinelli have recently opened.

Expected to be on much improved terms.

Would be seen as a reward for fine form given he still has plenty of time to run on current deal and club already has an option to extend by a year.
 
Back
Top Bottom