Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
4-0/4-1Leo Bournemouth apigwe ngapi?
Binafsi naona 5 (mkono) zitawatosha
4-0/4-1Leo Bournemouth apigwe ngapi?
Binafsi naona 5 (mkono) zitawatosha
FACT kiongoziNketiah hamna kitu mule... Bora ronaldo mzee, cadabra kikongwe kuliko nketiah kijana, huwa namuona ni kama mtu aliyemaliza, hana njaa ya mafanikio,
Kipaji chake nk kkidogo na bado hana jitihada zozote.. Asipojikaza misimu mi3 mbele ategemee kuwa championship huko,vinginevyo kubaki premier ni kutembelea na nyota tu.
4-0/4-1
Sare ya nini?Flano naona umekuja kutusabahi au sio,
Jtatu tafuteni hata sare kwa livakuku, Safari hii mbio za ubingwa Ni Arsenal na Mancity ,
Nguvu tunazo na Nia tunazo,
Nawaombea sare au mushinde jtatu
Wolves wamepata nafasi nyingi lakini wanashindwa kuzitumia.This is nothing new from Tottenham. They've played several games in this fashion and won due to a moment of brilliance from Kane/Son.
And then call Conte is genius
Halafu Kuna wachambuz kabisa wanakwambia Spurs anagombea UbingwaWolves wamepata nafasi nyingi lakini wanashindwa kuzitumia.
Kipindi cha kwanza kinaisha Wolves wana attempts 9 halafu Spurs attempt 0.
Yan conte mpira wake ni kuvizia tuThis is nothing new from Tottenham. They've played several games in this fashion and won due to a moment of brilliance from Kane/Son.
And then call Conte is genius
ili ujue epl ni Nini subili uone game yenu na bounmounth ,Hilo goli moja unalosema utalitafuta kwa manatiUnasajili wachezaji nane ili ushinde 1-0 at home. Hii game nilidhani itaisha 1-1



Muhimu point 3Unasajili wachezaji nane ili ushinde 1-0 at home. Hii game nilidhani itaisha 1-1




Sawa Dr. Flano 😂🤣Sare ya nini?
Liverkuku watubonde tu ili presha iwe kubwa zaidi kwa mashabiki kumtaka Glazer auze timu.
Hapo Glazer atatoa pesa ndefu ya usajili kabla dirisha halijafungwa ili kuwapoza mashabiki wanaomtaka aachie timu.
Akili mtu wangu.