hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Huu Ni mpira unaohitaji technical players ,Siku hizi Arsenal unaiangalia huku mguu uko juu.. No stress!
Kwanza wachezaji hawatoki hata jasho. Wanagusa tu!
Tuliucheza kipind Cha Kwanza kwa palace ,na Emirates juz, kadri siku zinavyosogea tutakuwa tunampigia mtu full


