Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaani unatamani uione Arsenal ikicheza kila siku kwa huu mpira.

Burudaaani kabisa!
 
Siku hizi Arsenal unaiangalia huku mguu uko juu.. No stress!

Kwanza wachezaji hawatoki hata jasho. Wanagusa tu!
Huu Ni mpira unaohitaji technical players ,

Tuliucheza kipind Cha Kwanza kwa palace ,na Emirates juz, kadri siku zinavyosogea tutakuwa tunampigia mtu full
 
Yaani unatamani uione Arsenal ikicheza kila siku kwa huu mpira.

Burudaaani kabisa!
Ndio mpira wa msimu huu toka preseason ,hiv mnadhan Chelsea kula Zile 4 akiwa full alionewa?

Na palace tuliucheza kipind Cha 1 TU, Emirates tuna relax,

Had kufikia mech na man u tutakuwa tunaupiga dk 90

Maana wachezaji wanakimbia Sana ,
 
Zinny alivyoweka mikono kichwani na kuangukia magoti baada ya goli la saliba 😆😆😆. Ameona mwenyewe ni goli la class ya juu especially Kwa defender 😆😆😆
 
Back
Top Bottom