Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Mlivyo tulia kama mabingwa wa uefa vile kumbe wapiga punyeto tu arsenyeto nyie 








Nimeangalia clip za mazoez leoLEO BAADA YA KUONA MAZOEZI HAYA AMBAYO ARTETA ALIWAPA WACHEZAJI
NDIO NIMEKUMBUKA MANENO YA KYLE WALKER
Kyle Walker aliwahi kuulizwa mchezaji mwenye kipaji cha ufundi(Gifted Technically) zaidi ndani ya Man City: alisema
“Sitapanga kwa mpangilio wowote, ila Hawa watatu kwangu ndi bora nao ni Zinchenko, Mahrez & Silva. Wanagusa moja mbili wanaachia, . Kuna De Bruyne, Foden, Cancelo, lakini hawawakaribii hao watatu.



Yan we jamaa bana..Mlivyo tulia kama mabingwa wa uefa vile kumbe wapiga punyeto tu arsenyeto nyie![]()
Kaka ww ni arsenal nnYan we jamaa bana..
Hapana mkuu nlikua napita pita tuu humu...me jukwaa langu ni la cityKaka ww ni arsenal nn
Pazito hapo mzeeHapa HATUTAKI kupoteza point hata 1 , mbeleni tutajua itakuwajeView attachment 2327256
FA, Europa ata cheza nani() Nice are getting closer to get the deal done for Nicolas Pepe. (@sachatavolieri) https://t.co/km7QlBtBF6
Team ipi ambayo ni nzito hapo?Pazito hapo mzee
Brentford ni mechi ngumu, they're so so tactically, Wanacheza long kick kubuild play na wanafanya high line press off the ball.Team ipi ambayo ni nzito hapo?
Ina maana tuna 0.5 Xg in every single chance, wakati penalty ina 0.7xg, so kila chance kwetu ni kama penalty tu, Mikel Arteta is genius.Most xG created so far this season:
◎ Arsenal - 4.56
◎ Liverpool - 4.44
◎ Chelsea - 3.99
Now tupo fine kwenye final 3rd, sio km kipindi cha Lacazette, at least we can score 5 goals in every 10 chances we create.
Labda arsenal ya msimu uliopita mkuuBrentford ni mechi ngumu, they're so so tactically, Wanacheza long kick kubuild play na wanafanya high line press off the ball.
Msimu huu ni city na liver tu mkuuIna maana tuna 0.5 Xg in every single chance, wakati penalty ina 0.7xg, so kila chance kwetu ni kama penalty tu, Mikel Arteta is genius.


Binafsi naziogopa Newcastle away, Brentford away, Spurs away, West ham wanakuwaga tafu ila watakufa. Kama tunampata Tielemans + RW nadhani confidence itaongezeka.Labda arsenal ya msimu uliopita mkuu
Arsenal hii namsubiri liver na city tu
hizo timu ulizotaja mimi naziogopa zaidi brentford,westham na spurs hasahasa namna zinavyo excute maelekezo ya walimu wao.hawakubali hata kidogo kwenda na rhythm ya mpinzan wao.Binafsi naziogopa Newcastle away, Brentford away, Spurs away, West ham wanakuwaga tafu ila watakufa. Kama tunampata Tielemans + RW nadhani confidence itaongezeka.





