Default setting soon.....Thread yetu siku hizi majirani watakuwa wanachungulia hawa comment.
Wewe jamaa uko city lakini una tabia za manyumbu. City na arsenal tunaheshimiana na kuuziana wachezaji tangu zamani.ili ujue epl ni Nini subili uone game yenu na bounmounth ,Hilo goli moja unalosema utalitafuta kwa manati![]()
Uchague kabisa kama ni German shepherd au jibwa koko tu 😂🤣Arsenyeto mkishinda Leo mniite mbwa nimekaa pale![]()
![]()
![]()
![]()
Kwa Sasa naona mpo serisou aiseeWewe jamaa uko city lakini una tabia za manyumbu. City na arsenal tunaheshimiana na kuuziana wachezaji tangu zamani.
Sasa ona tumewapa tatu.

,...hii arsenal tusiichukulie poa kabisaKwasasa arsenal ni title contender.. sioni kwanini wasipiganie ubingwa. Program imeanza kuwa successful.. anything less itakuwa ni ajali lakini otherwise mwelekeo ni mzuri. Nasubiria baada ya game kubwa nione performance.Kwa Sasa naona mpo serisou aisee,...hii arsenal tusiichukulie poa kabisa
Mmeshaanza zereu kwa ushindi wa mechi 3 tu?Up to next week hii thread itabaki kwa ajili ya fans wa Arsenal wapinzani hutawaona humu na naomba kuuliza Jesus ni vice captain kwa sasa?
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ni kweli mechi bado nyingi lakini dalili ya mvua ni mawingu. Timu imeimarika, program inaenda vizuri. Nasubiria tukicheza na timu kubwa nione kama tutastahimili na kushinda. Hilo likitokea hasa baada ya game ya 15 basi ubingwa tutaupigania.Mmeshaanza zereu kwa kushinda wa mechi 3?
Ligi ngumu hii Jamani kuna mechi nyingine 35 zinawasubiri.
Ila siri karoho kanatuuma.
Nakumbuka hata sisi msimu uliyoisha zile mechi 4 za mwanzo ni ushindi tu, mara tumempiga mtu goli 7 kelele zikawa nyiiiingi kua huu ni msimu wetu, tena tupo na GOAT mwenyewe lazima tuchukue Epl, wazee wa kosi la dunia tukawa ni mkosi kweli duniani ligi inaisha tuko na GD 0.Ni kweli mechi bado nyingi lakini dalili ya mvua ni mawingu. Timu imeimarika, program inaenda vizuri. Nasubiria tukicheza na timu kubwa nione kama tutastahimili na kushinda. Hilo likitokea hasa baada ya game ya 15 basi ubingwa tutaupigania.
Man Utd hakuna program endelevu, kila wakati mnakosa uvumilivu na kubadilisha ikiwemo sajili zisizokuwa na tija. Van gaal alianza kutengeneza mkamzingua. Sasa hivi inatakiwa mumuachie ten hag afanye program mpya angalau miaka mitatu bila kujali matokeo.Nakumbuka hata sisi msimu uliyoisha zile mechi 4 za mwanzo ni ushindi tu, mara tumempiga mtu goli 7 kelele zikawa nyiiiingi kua huu ni msimu wetu, tena tupo na GOAT mwenyewe lazima tuchukue Epl, wazee wa kosi la dunia tukawa ni mkosi kweli duniani ligi inaisha tuko na GD 0.
Ila yote heri tuombe uzima ili tuendelee kupata burudani ya EPL.
Adi Arteta aongee hivi hapo itakua Kuna kiumbe kasha mwaga wino bado kutangazwa, sema washenzi wasiri sanaArteta on if the transfer policy changes with the good start:
“That doesn’t change. We know we are short, we have to add more firepower and we can do it.”
[@kayakaynak97]