Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenyeto mkishinda Leo mniite mbwa nimekaa pale
emoji117.png
emoji117.png
emoji117.png
emoji117.png
Uchague kabisa kama ni German shepherd au jibwa koko tu 😂🤣
 
Leo nilikuwa tambi tambi, nimetabiri mzungu kufunga na arsenal kushinda 3 mtungi.

Japo sijaweza kutizama game natumai mchezo ulikuwa mzuri tu.
 
Kwa Sasa naona mpo serisou aisee ,...hii arsenal tusiichukulie poa kabisa
Kwasasa arsenal ni title contender.. sioni kwanini wasipiganie ubingwa. Program imeanza kuwa successful.. anything less itakuwa ni ajali lakini otherwise mwelekeo ni mzuri. Nasubiria baada ya game kubwa nione performance.
 
Up to next week hii thread itabaki kwa ajili ya fans wa Arsenal wapinzani hutawaona humu na naomba kuuliza Jesus ni vice captain kwa sasa?

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mmeshaanza zereu kwa ushindi wa mechi 3 tu?
Ligi ngumu hii Jamani kuna mechi nyingine 35 zinawasubiri.
Ila sio siri karoho kanatuuma.
 
Mmeshaanza zereu kwa kushinda wa mechi 3?
Ligi ngumu hii Jamani kuna mechi nyingine 35 zinawasubiri.
Ila siri karoho kanatuuma.
Ni kweli mechi bado nyingi lakini dalili ya mvua ni mawingu. Timu imeimarika, program inaenda vizuri. Nasubiria tukicheza na timu kubwa nione kama tutastahimili na kushinda. Hilo likitokea hasa baada ya game ya 15 basi ubingwa tutaupigania.
 
Eti mtu kabisa anabeti GG mechi ya Arsenal..

Arsenal gani hiyo.. Arsenal hii ya sasa au? Huyo Saliba yuko wapi mpaka mpinzani apate goli!

Ndo maana mnaendelea kulalamika hamumpigi mzungu. Acha vipigo viendelee kwa jeuri zenu.

Shaabbash!!
 
🚨🚨 Arteta on if the transfer policy changes with the good start:

“That doesn’t change. We know we are short, we have to add more firepower and we can do it.”

[@kayakaynak97]
 
Ni kweli mechi bado nyingi lakini dalili ya mvua ni mawingu. Timu imeimarika, program inaenda vizuri. Nasubiria tukicheza na timu kubwa nione kama tutastahimili na kushinda. Hilo likitokea hasa baada ya game ya 15 basi ubingwa tutaupigania.
Nakumbuka hata sisi msimu uliyoisha zile mechi 4 za mwanzo ni ushindi tu, mara tumempiga mtu goli 7 kelele zikawa nyiiiingi kua huu ni msimu wetu, tena tupo na GOAT mwenyewe lazima tuchukue Epl, wazee wa kosi la dunia tukawa ni mkosi kweli duniani ligi inaisha tuko na GD 0.
Ila yote heri tuombe uzima ili tuendelee kupata burudani ya EPL.
 
Nakumbuka hata sisi msimu uliyoisha zile mechi 4 za mwanzo ni ushindi tu, mara tumempiga mtu goli 7 kelele zikawa nyiiiingi kua huu ni msimu wetu, tena tupo na GOAT mwenyewe lazima tuchukue Epl, wazee wa kosi la dunia tukawa ni mkosi kweli duniani ligi inaisha tuko na GD 0.
Ila yote heri tuombe uzima ili tuendelee kupata burudani ya EPL.
Man Utd hakuna program endelevu, kila wakati mnakosa uvumilivu na kubadilisha ikiwemo sajili zisizokuwa na tija. Van gaal alianza kutengeneza mkamzingua. Sasa hivi inatakiwa mumuachie ten hag afanye program mpya angalau miaka mitatu bila kujali matokeo.

Arsenal ya sasa ni matokeo ya kuanza upya na ninaamini sasa hivi timu imetulia na itapigania ubingwa. Tatizo sugu la mabeki na washambuliaji limepata suluhisho hivyo nategemea wafanye vizuri.
 
Arteta on if the transfer policy changes with the good start:

“That doesn’t change. We know we are short, we have to add more firepower and we can do it.”

[@kayakaynak97]
Adi Arteta aongee hivi hapo itakua Kuna kiumbe kasha mwaga wino bado kutangazwa, sema washenzi wasiri sana
 
Back
Top Bottom