Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bournemouth kupigwa tatu sio kama timu mbovu, sema tu alikutana na wahuni
Wamemvutisha pumzi ya moto dakika 20 za mwanzo akajikuta bao mbili faster

Bournemouth amepiga mpira mkubwa kuliko nyumbu,

Kituo kinachofata ni fulham, ambae Liverpool alilazimisha draw

Huyu Fulham atapata dozi moja matata sana
Itakua salamu kwa nyumbu huko unyumbuni
 
Mlinzi wa kati wa Arsenal William Saliba 🇫🇷 alipiga pasi 76 dhidi ya Bournemouth hapo jana katika mchezo wa EPL.

Beki huyo alifanikiwa kufikisha pasi zote 76 kwa usahihi wa 100%.🔥🔥

NB: Bwana Mdogo ana umri wa miaka 21 tu.
 
Leicester are bracing themselves for a late move from Arsenal for Tielemans and Rodgers wants to have targets lined up in case they lose Tielemans (@TomHopkinson)
 
Ramsdale-24
White-24
Saliba-21
Gabriel-24
Zinchenko-25
Saka-20
Ødegaard-23
Martinelli-21
Jesus-25
Tomiyasu-23
Tierney-25
Lokonga-22
Vieira-22
ESR-22
Nketiah-23

This is what a rebuild looks like. This is how you piece together a project for a takeover and dominance.
 
Saa zingine huwa naingia kwenye haya majukwaa kusoma tu Carrasco amekuja Kwa namna gani. Saa moja yupo kwetu, saa ingine anatuponda haswa. Na hivyo ndivyo alivyo Kwa timu zote mpaka haeleweki ni timu gani 😆😆😆
Hii arsenal hatufungwi mpka ubingwa .tunawataka Madrid na Bayern
 
MARTINELLI ASIYEKATA TAMAA,

Edu ndo alimleta Gab Martinelli kutoka Ituano ,Kipindi ambacho Martinelli akiwa ashazunguka Ulaya akawa amekosa team.

NB:Gab Martinelli kafanya trial Manchester united akaambiwa he is not good enough.

Akaenda Barcelona akaambiwa vile vile

Akaenda Napoli akaambiwa asubirie another call up aje arudie .

Anarudi zake Ituano ndipo akawasha moto akaitwa national team ya watoto kipindi hicho Edu Gaspar ni football manager wa national team ya Brazil baada ya hapo akamtanguliza Martinelli Arsenal then akaja yeye .

Edu alishapewa kazi na Arsenal akiwa amebakiza Miezi 6 national team, hivyo alikuwa anamaliza muda wake ndo akakutana na Martinelli akamleta.

Martinelli kaja Arsenal edu akiwa Brazil national team lkn aliyemleta Gab Martinelli ni huyohuyo ambaye alikuwa national team (Edu Gaspar).Kuna watu huwa wanachanganya mafaili na kudhani Martinel alisajiriwa na Unai emery , Ukweli Ni Kwamba Unai emery hakuwahi kusajiri mchezaji yeyote Arsenal , yeye alikuwa Head coach tu, haruhusiwi hata kuingia vikao vya bodi Kama ilivyo sasa kwa Arteta ambaye Ni Manager .

Na huu ndo usajili ulioanzisha project ya Edu pale Arsenal.

Huyo Ndiye Gabriel Teodoro Martinelli Silva



download (2).jpeg
 
Bournemouth kupigwa tatu sio kama timu mbovu, sema tu alikutana na wahuni
Wamemvutisha pumzi ya moto dakika 20 za mwanzo akajikuta bao mbili faster

Bournemouth amepiga mpira mkubwa kuliko nyumbu,

Kituo kinachofata ni fulham, ambae Liverpool alilazimisha draw

Huyu Fulham atapata dozi moja matata sana
Itakua salamu kwa nyumbu huko unyumbuni
Daaah. Kumbe na sisi tuna jeuri 😄😄😄
 
Kipindi ambacho mtaaanza kusafiri kwenda spatiko mosiki kucheza Europa ....

Manarudi katikati ya wiki mnakutana na epl , Weekend fa ,carabao .....yaani Kila baada ya siku mbili game .....

Hapo ndipo nitakapoona pumzi ya arsenal ,Kama inaweza kupumulia game 38 za epl .....vinginevyo kaaeni kwa kutulia kabisa ....!

Rudia kusoma Tena ...!!
 
Kipindi ambacho mtaaanza kusafiri kwenda spatiko mosiki kucheza Europa ....

Manarudi katikati ya wiki mnakutana na epl , Weekend fa ,carabao .....yaani Kila baada ya siku mbili game .....

Hapo ndipo nitakapoona pumzi ya arsenal ,Kama inaweza kupumulia game 38 za epl .....vinginevyo kaaeni kwa kutulia kabisa ....!

Rudia kusoma Tena ...!!
Unaumia ukiwa wapi mkuu?
 
IMG-20220821-WA0025.jpg


Mikel Arteta on Partey: “I know it has always been an aquatic midfield for you and there's no doubt you're the real octupus”

Thomas Partey’s first half in numbers vs Bournemouth ;
46touches
86% pass accuracy
2/3 ground duels won
1/2 aerial duels won
1 tackle won.

Thomas Teye Partey has played 270 minutes for the club.
3 Matches
3 Wins
9 Points

Aliesema partey hana football IQ aje atubu hapa
 
View attachment 2330363

Mikel Arteta on Partey: “I know it has always been an aquatic midfield for you and there's no doubt you're the real octupus”

Thomas Partey’s first half in numbers vs Bournemouth ;
46touches
86% pass accuracy
2/3 ground duels won
1/2 aerial duels won
1 tackle won.

Thomas Teye Partey has played 270 minutes for the club.
3 Matches
3 Wins
9 Points

Aliesema partey hana football IQ aje atubu hapa
Hana kabisa IQ ya mpira huyu mwamba, hanaaa
 
Kipindi ambacho mtaaanza kusafiri kwenda spatiko mosiki kucheza Europa ....

Manarudi katikati ya wiki mnakutana na epl , Weekend fa ,carabao .....yaani Kila baada ya siku mbili game .....

Hapo ndipo nitakapoona pumzi ya arsenal ,Kama inaweza kupumulia game 38 za epl .....vinginevyo kaaeni kwa kutulia kabisa ....!

Rudia kusoma Tena ...!!
Kama hujui basi Arsenal ana advantage kubwa



Liverpool ,Chelsea ,Spurs Hawa kule UCL kuanzia mech ya kwanza lazima watumie vikos vyao vya kwanza , tayari had Sasa Chelsea ana majeruhi ya kante na kova, Viungo wake tegemez Ni Gorginho na kina Gallagher au Cheek

Liverpool ,EPL tu imeshamletea majeruhi eneo la kiungo ..

Na ucl huwez kuchezesha kikos Cha 2 ,hatua za makundi Kama Europa league


Wakati Arsenal huku Europa hizi group stages ,first eleven yetu inapumzika ,na uhakika wa kubeba point Ni mkubwa Sana kwa kuchezesha Kikos Cha pili

Mech za Europa wanakamua waliotoka injury, kina elneny, Fabio , Nketiah , Tierney ,Smith Rowe , Tomiyasu,Sambi lokonga ,

Hiki kikosi Cha kwanza watacheza wachache Sana, utakuja kuwaona kuanzia Round 16 na kuendelea,wakati Liverpool,Spurs ,Chelsea inawalazimu kuanzzia game ya kwanza makundi waweke kikos kamili .

kikos Cha kwanza kwa asilimia kubwa kikisubiria EPL

Sijamtaja city maana yeye ana wachezaji versatility wengi kuliko hao wengine.

kwahiyo Arsenal utakuja kuiona serious kabisa kwenye hatua za MBELENI ,
 
Tuna shida ya kujiposition.

Tuna mchezaji mmoja au wawili ambao ndiyo pekee wanaamua forward runs.

Magalhaes atakuja kutoa maboko akikutana na ST mwenye pace.

Hatuna kiungo kama Partey.

Zinchenko na Jesus wanahuisha uhai mbele. Brilliant signings.

Saka apumzike.

Tulimsema Odegaard juu ya uzito wake kushoot jana amejirekebisha.

Nimekutia kati haya madai ya IQ ya Partey, naomba tutajiwe mchezaji wa namba ya Partey mwenye IQ ambaye akija pale atatusaidia.
 
View attachment 2330363

Mikel Arteta on Partey: “I know it has always been an aquatic midfield for you and there's no doubt you're the real octupus”

Thomas Partey’s first half in numbers vs Bournemouth ;
46touches
86% pass accuracy
2/3 ground duels won
1/2 aerial duels won
1 tackle won.

Thomas Teye Partey has played 270 minutes for the club.
3 Matches
3 Wins
9 Points

Aliesema partey hana football IQ aje atubu hapa
Jana alikuwa na 89% passing accuracy? nadhani ndio maana a little bit game ilitulia, don't make line breaking passes Thomas Partey, you're not the creator, you're the controller. Consistency, consistency, consistency is key.
 
View attachment 2330363

Mikel Arteta on Partey: “I know it has always been an aquatic midfield for you and there's no doubt you're the real octupus”

Thomas Partey’s first half in numbers vs Bournemouth ;
46touches
86% pass accuracy
2/3 ground duels won
1/2 aerial duels won
1 tackle won.

Thomas Teye Partey has played 270 minutes for the club.
3 Matches
3 Wins
9 Points

Aliesema partey hana football IQ aje atubu hapa
Mkuu nikisema Partey hana IQ wewe unanielewaje? Tuanzie hapo kwanza.
 
Tuna shida ya kujiposition.

Tuna mchezaji mmoja au wawili ambao ndiyo pekee wanaamua forward runs.

Magalhaes atakuja kutoa maboko akikutana na ST mwenye pace.

Hatuna kiungo kama Partey.

Zinchenko na Jesus wanahuisha uhai mbele. Brilliant signings.

Saka apumzike.

Tulimsema Odegaard juu ya uzito wake kushoot jana amejirekebisha.

Nimekutia kati haya madai ya IQ ya Partey, naomba tutajiwe mchezaji wa namba ya Partey mwenye IQ ambaye akija pale atatusaidia.
Hili suala la Partey nadhani wengi wanaliona isipokuwa humu kwa tactico wa JF. Hatuna mid kama Partey sure ila he is not good enough kwa position anayocheza. Jana kakupa kitu, subiri against the better tactical teams utatamani ulie. Against leicester alikuwa na 69% passing accuracy, jana alikuwa na 89% of passing accuracy, where's consistency? Na ndio tatizo la Partey toka kaja Arsenal hanaga Consistency, he can't replicate the same performance week in week out. He lacks IQ

Arteta: "Really pleased, but at the same time there are many areas we can get much better."

Msome huyo mdau anajiita kroenke hype, naona ana idea kama nilichokuwa nakiona, hiyo ilikuwa baada ya game ya jana.
IMG_20220821_171023_816.JPG
 
Mkuu nikisema Partey hana IQ wewe unanielewaje? Tuanzie hapo kwanza.
IQ intelligence Quotient

Football IQ = football intelligence
Includes
Accuracy
Passing
Vision
Ball control
Bal balance

Partey as a midfielder:
Anachezea timu
Yupo vizuri defensive
Winning mipira
Yupo vizuri man to man
Ana speed
Ana vision

That's all I know
 
Back
Top Bottom