Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi sikumbuki mara ya mwisho tumeshinda ugenini ilikuwa lini jamani
 
2-2, hahahahaha hawaripoti magoli ya timu pinzani kwenye hili jamvi la Fat Arses.
duh... thanks mkuu, basi mie nikajua wameshinda

lakini mie sielewi
Ass-n-whinger
Ass-shaving
Van-pussy
Maruhan-chamak
Johan-Njuruu
Niklas-Bender


ni coincidence au planned?
 
game over, sijui Wenger atafanyaje ku-fix hii defence. na ndoto zangu za kombe zimeishia hapa.

Ni mapema mno kukata tamaa mkuu. Bado tuna mchapo na MANU na tukiweza kuwapiga bao basi itakuwa bado tumo sana tu kwenye kinyan'ganyiro cha EPL.
 
Tunasikitisha sana.

Haya wakuu weekend njema ;sidhani kama kuna jipya la kuzungumzia kwenye matokeo ya leo zaidi ya uzembe wetu wa kila siku.
 
Ni mapema mno kukata tamaa mkuu. Bado tuna mchapo na MANU na tukiweza kuwapiga bao basi itakuwa bado tumo sana tu kwenye kinyan'ganyiro cha EPL.
You need to worry about Chelsea maana leo mmewapa life line, kabla hamjacheza na sisi mna mechi za design ya leo hapo katikati sasa kama hamtoshinda hizo mechi ata mkitufunga haitosaidia kitu.
 
duh... thanks mkuu, basi mie nikajua wameshinda

lakini mie sielewi
Ass-n-whinger
Ass-shaving
Van-pussy
Maruhan-chamak
Johan-Njuruu
Niklas-Bender


ni coincidence au planned?


hahahahaha, umesahau:
Theo Walnut
Cesc Fibreglass
Maruhan Samaki
Lukasz Flappyhands
Wojciech Shenzi
 
Hivi sikumbuki mara ya mwisho tumeshinda ugenini ilikuwa lini jamani

Aston Villa 27th November ... .... .... ... ... ... lakini mwaka huu bado hatujapoteza mechi ya EPL ... .... ...
 
hahahahaha, umesahau:
Theo Walnut
Cesc Fibreglass
Maruhan Samaki
Lukasz Flappyhands
Wojciech Shenzi

khe khe khe heheheeeeeeeeeeeeeeeeeee

sasa kuna ass-shaving, shenzi, samaki, bender, walnut

hilo pekee ni gundu aisee
 
You need to worry about Chelsea maana leo mmewapa life line, kabla hamjacheza na sisi mna mechi za design ya leo hapo katikati sasa kama hamtoshinda hizo mechi ata mkitufunga haitosaidia kitu.

Usijali hapo katikati Song, Cesc na Walcott watakuwa wamerudi ndio moto utawaka wakati nyie mnatiana ngeu kwenye CL usisahau na nyie Evans three matches out.
 
duh... thanks mkuu, basi mie nikajua wameshinda

lakini mie sielewi
Ass-n-whinger
Ass-shaving
Van-pussy
Maruhan-chamak
Johan-Njuruu
Niklas-Bender


ni coincidence au planned?

Uko baa gani mkuu?
 
Aston Villa 27th November ... .... .... ... ... ... lakini mwaka huu bado hatujapoteza mechi ya EPL ... .... ...
congrats mkuu... mwaka huu hamjapoteza hata mechi moja in EPL

remember... almost doesnt count
 
Almunia kauza wenzake akae bench tu sasa.


Almunia for England, FACT....bundi karudi nyumbani kwake Emirates rasmi, FACT....SIX YEARS AND COUNTING, FACT....NEW TROPHYLESS ERA AT EMIRATES, FACT.
Those are the FACTS, muulize Rafa Benitez the Spanish Waiter ukitaka details.
 
Back
Top Bottom