Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hawa wameridhika na makombe ya Arteta.
Hapa kwao wanaona Arteta amekabidhiwa kombe la dunia yaani AsaniAli wote wamefurahia.
Haya ndio mafanikio wanayoridhika nayo mashabiki wa hili timu, habari za PL na CL sio kipaumbele chao labda miaka 50 mbele. View attachment 2216581
Na hata hivyo pia hiyo top 4 mwaka huu hawamalizi lazima watakua 5 huko kwa maaana Tottenham atawapiga na Newcastle hawaponi 🤣🤣🤣
 
Na hata hivyo pia hiyo top 4 mwaka huu hawamalizi lazima watakua 5 huko kwa maaana Tottenham atawapiga na Newcastle hawaponi 🤣🤣🤣
Bila Shaka haya maneno yamekupokonyoka, sisi tunaangalia nafasi ya tatu saizi hiyo ya nne tuweaachia Chelsea na Tottenham washauriane wenyewe
 
Bila Shaka haya maneno yamekupokonyoka, sisi tunaangalia nafasi ya tatu saizi hiyo ya nne tuweaachia Chelsea na Tottenham washauriane wenyewe
Kumpita chelsea sahau hata ukishinda leo bado upo chini ya chelsea na chelsea game zijazo hatapoteza atashinda zote. The take over tayari hawana wasi wasi wa timu kushushwa kwa sheria tena 🤣🤣🤣
 
Kumpita chelsea sahau hata ukishinda leo bado upo chini ya chelsea na chelsea game zijazo hatapoteza atashinda zote. The take over tayari hawana wasi wasi wa timu kushushwa kwa sheria tena 🤣🤣🤣
Uhakika wa kwamba atashinda unautoa wapi wakat Jana mmeshikwa ndevu,tulia hivyo hivyo, huyo Tottenham unayemtegemea atakuingiza hasara siku ya Alhamis
 
Uhakika wa kwamba atashinda unautoa wapi wakat Jana mmeshikwa ndevu,tulia hivyo hivyo, huyo Tottenham unayemtegemea atakuingiza hasara siku ya Alhamis
Kila mtu acheze mechi zake tukutane hesabu ya mwisho 38 tutajua nani wa kwenda CL 🤣🤣🤣 kuna wakwenda champions league ila sio arsenal
 
Kila mtu acheze mechi zake tukutane hesabu ya mwisho 38 tutajua nani wa kwenda CL 🤣🤣🤣 kuna wakwenda champions league ila sio arsenal
Jioni mahesabu kila mtu apambane kinamna yake
 
Raphinha nilikuwa nampenda ila nimegundua sio mchezaji wa kucheza Arsenal, ana quality, hana character. Wachezaji wenye big ego pale timu inapofanya vibaya lazima wakukimbie au watengeneza toxic environment kama Alexis Sanchez.
 
Pamoja na Leeds kua na kadi nyekundu endeleeni kunywa mtori huku mnafurahia ila nawahakikishia nyama mtakutanazo chini kabisa kwenye dakika 90.
Hayahaya mtori unaanza kuisha na nyama zinaanza kuonekana kwa mbali.
Nyie ng'ombe kwa nafasi mlizopata hii gemu ikiisha kwa draw au kipigo ndio msahau kwenda UEFA kwa miaka 10 ijayo.
 
Back
Top Bottom