Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,551
- 10,798
Acha kutetea ujinga wewe
Holding jana alikua anacheza mieleka sio mpira.
Jionee mwenyewe hio WWE.
Hapo nilikuwa naongelea penalty. Hiyo ya holding tuliongea jana ikaisha.
Acha kutetea ujinga wewe
Holding jana alikua anacheza mieleka sio mpira.
Jionee mwenyewe hio WWE.
Yaani ushinde game moja na kutoa sare moja halafu totte ashinde game zake zote mbili na bado uwe nafasi ya nne?Kwa game ya jana sina uchambuzi wa kina, bali simple opinion tu.
Timu haikutulia. Refa alikuwa msongo sana naye mwanzoni. Yaani pale beki wa Tottenham alivyomdaka Saka mguu akapewa needless yellow nikahisi huyu refa anaugomvi na mkewe na atatolea stress zake kwenye hii game. Kidogo tena Holding akapigwa yellow kwa foul nyepesi kabisa nikathibitisha hakuna game hapa. Mpaka nikahisi kuna match fixing kabisa.
Tuna game 2. Tukishinda zote 2 au kushinda 1 na droo 1, tutashika nafasi ya 4. Kazi kwao sasa.
😀 😀 😀 😀
Karudie kuangalia ile moment.Unategemea beki awe anakaba bila kumgusa? Mimi ninaona tukio lilikuwa la kimchezo na sio dhamira ya kufanya faulo.
Paul Tierney alionesha ile ni handball kwa Cedric Soares na baadaye akabadilisha eti Son kasukumwa,Is he serious?Hofu yangu Jumatatu vs Newcastle tunaweza kupewa red card tena, aibu sana kuleta agenda za hovyo kwenye Sports.
Ajabu referee katoa penalty kuwa ni handball.
Kwa wale mnaosema Arsenal wana shida ya discpline, no bro, It's match fixing, namba zinajieleza.View attachment 2222734
Oya Shabiki la nyumbu linafurahia Conference league.

Mkuu ile penati ni batili. Hamna faulo ya penati pale.Karudie kuangalia ile moment.
Aisee hii ni miyeyusho kidogo.Ww mbwa nmekuambia achana na mm
Ww c umesema tumeitwa wote kwenye usaili, sasa nitafute tuonane.Aisee hii ni miyeyusho kidogo.
Ngoja nimalize drama za utumishi. Tuanze kwenda ng'adu kwa ng'adu
Nitakupa update nilipofikia bado nipo njianiWw c umesema tumeitwa wote kwenye usaili, sasa nitafute tuonane.
Rubbish sperms.
Sawa, mm nshafika niko block 5 bondeni hukuNitakupa update nilipofikia bado nipo njiani
Tatizo timu imejaa watu siyo rizki halafu wanataka show za kiume wakati wao bado wavulana..Hizi mbuzi za Emirates zikibahatishaga mechi mbili tatu hua zina maneno sana, zenyewe ndio zinajifanya zinajua sana kuchambua mpira.
Arsenal : Baby nataka nikuoneshe style mpya inaitwa "Airtel wezi wa bando"
Spurs: Embu nionyeshe sweety View attachment 2222534
Hahahahaha aise akiya mama kunna watu munatiaa asira kinyamaa hahaha dah 😂😂😂Alifaidi vibaya mno, halafu Kane anasifia kua ingawa hawana marinda lakini vipenyo vyao bado mnato.
Arsenal : Kane ingiza yoteView attachment 2222602
Mukishafungwa huwa munawaza kupakuana tope tu ..nyie kweli gaygooner fc😂😂😂Hahaha sasa kwanini nikunyandue? Hunijui sikujui unataka nikunyandue?
Hio ndio michezo wanayofundishwa kwenye Academy yao.Mukishafungwa huwa munawaza kupakuana tope tu ..nyie kweli gaygooner fc![]()