Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

CEO alisema tulipo sasa hivi sipo bodi ilipotarajia tungekua, waliwish tuwe kwenye nafasi ya 5 au 6, kikosi chini ya Arteta kimeenda extra mile.

This means bodi inatakiwa ikae chini na kutathmini ikiwa kikosi kilichopo kinatosha kucheza CL. Mimi naona hiki kikosi hakitoshi kucheza EPL, Carabao na FA hivyo kukipa na mzigo wa CL ni kushuhudia aibu.

Kwakua haiwezekani kununua wachezaji 10 ghafla hii inamaanisha usajili wa kutanua kikosi utaanza taratibu, hii ni kusema kwamba documentary ya 'All or Nothing' itakua moto lakini tusiwe na matumaini ya kua dominant mwakani.

Pengine kuanzia msimu wa 24/25 tunaweza pambania CL kwa nguvu zote but what do I know? Arteta anajua zaidi
 
CEO alisema tulipo sasa hivi sipo bodi ilipotarajia tungekua, waliwish tuwe kwenye nafasi ya 5 au 6, kikosi chini ya Arteta kimeenda extra mile.

This means bodi inatakiwa ikae chini na kutathmini ikiwa kikosi kilichopo kinatosha kucheza CL. Mimi naona hiki kikosi hakitoshi kucheza EPL, Carabao na FA hivyo kukipa na mzigo wa CL ni kushuhudia aibu.

Kwakua haiwezekani kununua wachezaji 10 ghafla hii inamaanisha usajili wa kutanua kikosi utaanza taratibu, hii ni kusema kwamba documentary ya 'All or Nothing' itakua moto lakini tusiwe na matumaini ya kua dominant mwakani.

Pengine kuanzia msimu wa 24/25 tunaweza pambania CL kwa nguvu zote but what do I know? Arteta anajua zaidi
Arteta nimesikia anataka Senior players 22 , ukiangalia tunahitaji strikers 2 ,Viungo wawili, hawa wanne wanatakiwa kuwa versatile players karibu watatu,

Hii huongeza ukubwa wa kikos na sio namba ya wachezaji

Kwa kikos chetu, tunahitaji wachezaji wazoefu au wazuri wanne , na backup labda moja kwa LB,
 
Arteta nimesikia anataka Senior players 22 , ukiangalia tunahitaji strikers 2 ,Viungo wawili, hawa wanne wanatakiwa kuwa versatile players karibu watatu,

Hii huongeza ukubwa wa kikos na sio namba ya wachezaji

Kwa kikos chetu, tunahitaji wachezaji wazoefu au wazuri wanne , na backup labda moja kwa LB,
Tunahitaji ST, Martinez yupo sokoni nafikiri ukimuachilia Jesus, tunahitaji viungo, winga na fullbacks.

Niles anarudi, Nelson anarudi, Guendouz, Torreira na Saliba wanarudi.

Tunawish watu waje lakini wakija kuna chances waliotufikisha hapo wakapigwa chini wakina Cedric, Elneny n.k.

Kama ameona anahitaji 22 players basi ni vyema sasa tumsikie Kroenke na ngonjera zake.
 
Tunahitaji ST, Martinez yupo sokoni nafikiri ukimuachilia Jesus, tunahitaji viungo, winga na fullbacks.

Niles anarudi, Nelson anarudi, Guendouz, Torreira na Saliba wanarudi.

Tunawish watu waje lakini wakija kuna chances waliotufikisha hapo wakapigwa chini wakina Cedric, Elneny n.k.

Kama ameona anahitaji 22 players basi ni vyema sasa tumsikie Kroenke na ngonjera zake.
Hector Bellerin - Real Betis

Lucas Torreira - Fiorentina

Runar Alex Runarsson - Leuven

Reiss Nelson - Feyenoord

Konstantinos Mavropanos - Stuttgart

Matteo Guendouzi - Marseille

William Saliba - Marseille

Folarin Balogun - Middlesbrough
sijafuatilia kwa karibu kujua viwango vyao kwa sasa
 
Hector Bellerin - Real Betis

Lucas Torreira - Fiorentina

Runar Alex Runarsson - Leuven

Reiss Nelson - Feyenoord

Konstantinos Mavropanos - Stuttgart

Matteo Guendouzi - Marseille

William Saliba - Marseille

Folarin Balogun - Middlesbrough
sijafuatilia kwa karibu kujua viwango vyao kwa sasa
Kwa outfield players Nafikiri Bellerin na Mavropanos hawarudi. Mavropanos Stuttgart wameonyesha kumtaka tangu msimu uliopita na Bellerin kafall in love na Betis. Torreira anaweza baki Fiorentina.

Labda tukiingia CL tuwafanye watake kurudi tena.

Nimesoma ishu za Folarin, Nelson, Guendouz, Saliba, Bellerin na Mavropanos na wote wanaonekana wako vizuri.
 
Ndio maana nikakwambia timu lenu linatambulika kama Academy sport club.
Huwa mnapewa hawa watoto muwakuze halafu wakishakomaa wanasajiliwa kwenye football club.
Ulaya nzima inaitambua Arsenal kama mlezi wa wana, nyie ni mama zetu tunawasifu kwa malezi bora ila mtoto akishakua mkubwa hana budi kumuacha mama na kwenda kutafuta maisha.
Mama ni mama tunawasifu kwa kua nyinyi ni mama bora.
Wewe jamaa....daah
Mna bahati hatuna game na nyie. Nitaandika barua kwa Arsenal ili hata zile preseason friendlies tulizopanga, tumpige chini mtu tuwaweke nyie. Tuwashushie kipigo baab'kubwa kabisa sheeenztaaaaip.
 
Tunahitaji ST, Martinez yupo sokoni nafikiri ukimuachilia Jesus, tunahitaji viungo, winga na fullbacks.

Niles anarudi, Nelson anarudi, Guendouz, Torreira na Saliba wanarudi.

Tunawish watu waje lakini wakija kuna chances waliotufikisha hapo wakapigwa chini wakina Cedric, Elneny n.k.

Kama ameona anahitaji 22 players basi ni vyema sasa tumsikie Kroenke na ngonjera zake.
Guendoz,Toreira,Ngumu kurud Hata Niles,bellerin,Nelson sion wakirud,Arteta aliwafukuza kwa staili hiyo

Mwenye nafas ya kurud labda Saliba

Leo taarifa zimetoka Elneny atapewa mkataba ,amekuwa akitusaidia nyakat Ngumu,lakin pia Dili la Tieleman limefikia pazuri
 
Guendoz,Toreira,Ngumu kurud Hata Niles,bellerin,Nelson sion wakirud,Arteta aliwafukuza kwa staili hiyo

Mwenye nafas ya kurud labda Saliba

Leo taarifa zimetoka Elneny atapewa mkataba ,amekuwa akitusaidia nyakat Ngumu,lakin pia Dili la Tieleman limefikia pazuri
Tielemans ni sahihi kwetu lakini? Hakuna mkali zaidi yake kwa bei yake au chini zaidi? Atacover namba ya ODE?
 
KUTOKA KWA DAVID ORNSTEIN

🚨 EXCL: Arsenal have opened talks over a new contract for Mohamed Elneny. Current terms ending but club value 29yo & want him to stay. Meanwhile #AFC decision makers all keen to sign Youri Tielemans + agent dialogue encouraging so far @TheAthleticUK #LCFC
 
Tielemana ni sahihi kwetu lakini? Hakuna mkali zaidi yake kwa bei yake au chini zaidi? Atacover namba ya ODE?
Tielemans ni kama Maddison kwa ninavyowaona, siyo mbaya ila hawezi kua reliable unless astep up.
 
KUTOKA KWA DAVID ORNSTEIN

🚨 EXCL: Arsenal have opened talks over a new contract for Mohamed Elneny. Current terms ending but club value 29yo & want him to stay. Meanwhile #AFC decision makers all keen to sign Youri Tielemans + agent dialogue encouraging so far @TheAthleticUK #LCFC
Elneny alisema akiambiwa abaki anabaki. Sioni tukishindwana
 
Tielemana ni sahihi kwetu lakini? Hakuna mkali zaidi yake kwa bei yake au chini zaidi? Atacover namba ya ODE?
Huwez kuwataja Viungo wazuri epl ukamuacha Tieleman

Ana mapungufu yake ,ila Ni moja ya Viungo wazuri ,

Tieleman amebakiza mwaka mmoja ,Anasikilizia tu Kama tutafuzu UCL utakuwa usajiri wa kwanza, lasivyo Madrid wanamtaka, inaonesha yy anapenda kubaki epl
 
Tielemans ni kama Maddison kwa ninavyowaona, siyo mbaya ila hawezi kua reliable unless astep up.
Tieleman akija anatakiwa abadilike , maana without ball yupo ovyo, ninachompendea Ni mtu wa forward pass , ana shot , technically yupo vzr, tatizo lake Ni Hilo tu, Kuna mech unahitaji kuwa compact
 
Tieleman akija anatakiwa abadilike , maana without ball yupo ovyo, ninachompendea Ni mtu wa forward pass , ana shot , technically yupo vzr, tatizo lake Ni Hilo tu, Kuna mech unahitaji kuwa compact
So Arteta atakuwa ameshaliona hilo na anajua atalisolve vipi in the long run. Unadhani ataweza kumbadilisha awe mzuri off the ball?
 
Huyu inaelekea ni shabiki wa The Gunners aliye na furaha kwamba amepata bahati ya kutuchezea pia. Kama Carl Jenkinson hivi.
Huyu jamaa nampenda sana hanaga maneno mengi, mpige bench ataisapoti timu, mtoe mkopo ataisapoti timu,

Mpe nafas ,atajitoa kwa kadri ya uwezo wake,

Ndio maana Arteta anampenda sana, ilibaki kidogo , Emery amuuze ,Arteta alipokuja akampa mkataba Tena,
 
Tieleman akija anatakiwa abadilike , maana without ball yupo ovyo, ninachompendea Ni mtu wa forward pass , ana shot , technically yupo vzr, tatizo lake Ni Hilo tu, Kuna mech unahitaji kuwa compact
Yea akiwa nje ya box kushuti haoni shida isipokua shot accuracy siyo kubwa.

Ana forward runs na pasi nzuri katika hili namkumbuka Renato. Ukiacha Partey bado hatuna kiungo anayeweza kuzurura kiwanja kizima rumours za Camavinga zilinifurahisha ila ndo vile
 
Back
Top Bottom