Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Jidanganyeni tu, Spurs ilipofikia sasa ni habari nyingine, muulizeni liverfool anaujua mziki wake vizuri sana.Saka akicheza chini ya kiwango ,tegemea mech ijayo kukiwasha hatari
Leo alikuwa vibaya ,
Namsubiri dhidi ya Totenham
Mechi mlizobakiza ni Spurs, Newcastle na Everton vyote hivyo ni visiki vya mpingo hapo mkijitahidi zaidi ya uwezo wenu mtaambulia point 3 ila sanasana hapo naona mna point 1 tu.
Spurs mechi alobakiza ni Vs Arsenal, Burnley na Norwich, hapo amekosa sana ana point 7 baada ya kudraw na nyinyi lakini kuna uwezekano mkubwa akaondoka na point zote 9.



hizi ng'ombe za Emirates kucheza Uefa ni baada ya miaka 10 mbele huko.
#afc
baada ya miaka kadhaa akafanya matusi na intermilan.