Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1652380669452.png


Saa zingine wachambuzi uchwara wanajikuta wanajua mambo ya soka na maisha ya wachezaji kuliko hata wachezaji wenyewe. Partey kagundua kuwa atakosa mwanzo wa pre-season. Ikabidi aulize kwa nini 😀😀😀
 
1652380907596.png


Ni kweli, ila daah. hehehe.
Tutafute nafasi ya kupoteza hizo semis kwa kumuua Sp*rs leo
 
Acha niache kupost. Last time nimepost sana kabla ya game Crystal Palace walitutandika 3-0. Bad omen.
 
Leo mkishinda kitabu cha top 4 inafungwa
Mimi naombea droo au mfungwe tu hakuna jinsi nyingine
 
Nawakumbusha tena msiposhinda hii game mmekwisha
Spurs game zake mbili ni uji wa mgonjwa
Norwich na Burnley
Sisi Chelsea tuna maji ya kilimanjaro ni kunywa tu
Leicester city na Watford
 
Refa unamtukana bure tu, cedric amefanya upumbavu mwenyewe.
Hapa katikati hawa watoto wenu walipunguza ujinga wa kucheza rafu za hivyohovyo na kula kadi nyekundu, ila mechi ya leo kwa hizi rafu za kipumbavu anazochezea Son sidhani kama mtakosa kadi nyekundu.
Ile nyepesi sana kuwa penati.
 
Nawakumbusha tena msiposhinda hii game mmekwisha
Spurs game zake mbili ni uji wa mgonjwa
Norwich na Burnley
Sisi Chelsea tuna maji ya kilimanjaro ni kunywa tu
Leicester city na Watford
Mechi ya Burnley ni ngumu sana maana wamefufuka na almost wanaondoka kwenye kushuka daraja.
 
Back
Top Bottom