Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 338
Usijali mkuu tutawanyamazisha,...he he he, team yangu Arsenal inavyocheza leo, mnh...wala sitoshangaa.
Lakini Chenga twawala!
Usijali mkuu tutawanyamazisha,...he he he, team yangu Arsenal inavyocheza leo, mnh...wala sitoshangaa.
Lakini Chenga twawala!
Usijali mkuu tutawanyamazisha,
Ugali na KisamvuNaona leo Arsenal mnajitahidi sana kupiga shots, mmekula nini?
Wachezaji wetu hata sidhani kama wanajua kama wanacheza robo fainali.
Sijawahi kuona wachezaji wako wako tu bila mzuka wa kujituma kama wachezaji wa timu yetu.
We are down again at HT:angry: due to poor or lack of defensive tactics
Bado wanaugulia vipigo vya Birmingham na Barcelona.
Kaka nipo majukumu mengi....e bana wee, upo? Long time bro.
Kuna mtu yoyote ana link ya hii game? Maana naona Homeland Security (USA) wameshailamba ATDHE.NET.. A'fu hii game inanipa sana pressure mpaka kipenga cha mwisho kitakapolia ndio nitatulia.