ndo basi tena....kutoka kwenye 4 competitions mpka kwenye only one Competition....Tuna tegemea Ligi tu......Nayo nina hakika hatuta fanya vema....koz morali ya ushindi hakuna since tumeshindwa kuchukua Carling Cup......Sijui itokee miujiza gani tu katika hii timu...Its high time to get rid of Almunia, Diaby, Denilson and the Likes......then we can start thinking of winning a TROPHY......Otherwise things will always be the same every season....It pains as a Gooner this time around.............. Congrats to Man Utd....