I support this!
Aaron Arsenal nimewahi kueleza unahitaji kuona sajili tu pasi ya kufahamu nani anasajaliwa (Its like utoke useme Arsenal tumesajili to other teams fans blah blah)
Niliwahi kukueleza humu Willian ni worst blah blah zikawa nyingi matokeo uliyaona before that nilieleza Pepe matokeo tunayaona.
Fuatilia comments zako kuhusu Torreira, Mari, Maitland Niles, Saliba wakati wanasajiliwa na wakati wanaondoka unaweza kupata kujielewa ni mtu wa callibre gani.
Abraham sio mchezaji wa kucheza Arsenal tafuta zipo a lot of facts na factors, Abraham ni Seria A league na other farmers leagues player.