Kwenye hili jukwaa me kuna watu nimekuwa nikiwapa Heshima wanazostahili kutokana na michango yao na ukongwe katika team
Miongoni mwa watu ambao ninaweza kusema mbele ya watu kuwa ninawapa Heshima yangu ya dhati humu ni bwana
Castr
Nimemkuta humu kabla yangu ila pia amekuwa akitoa ufafanuzi juu ya Mambo mengi sana kuhusu Arsenal na ata mpira wenyewe, ila kuna kitu naona hakipo sawa kwake, ameanza kuwa mbishaji Tu bila facts au hoja zenye mashiko tofauti na zamani
Kuna muda namsoma alafu nasema hivi huyu anaechangia siku hizi sio yeye nini? Labda castr mwenyewe original kagawa account maana ni kama vile watu wawili tofauti kabisa
Mie nilizoea kumsoma castr ambae anapinga hoja Kwa hoja, alikuwa hapanick bali anakupa facts wewe ndio upambane nazo, anaongelea mpira wenyewe na sio hisia ila huyu wa Leo nashindwa kabisa kumweka katika kundi lipi