Wewe big signing kwako ni Wachezaji wazuri ila unasahau Kuna factors kibao ,Kuna wanaomaliza mikataba yao au wamebakiza mwaka mmoja ni wazuri na wanapatikana kwa bei nzuri
Kwa mujibu wa Edu amemaanisha kabisa ni Zile za kutoa pesa ndefu,
Maana kama wachezaji wazuri wanatajwa kuja wapo tena wanna being ya kawaida tu, Tieleman ,Neves ,Gapko , n.k
Awali ulidai sajiri zitakuwa 2 tu nikakueleza hizo ni big signing za hela ndefu, na hao ni kama Nunez bila 70-80 humpati, hata Tammy Roma wanamsaminisha had 70 ,