Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

I support this!

Aaron Arsenal nimewahi kueleza unahitaji kuona sajili tu pasi ya kufahamu nani anasajaliwa (Its like utoke useme Arsenal tumesajili to other teams fans blah blah)

Niliwahi kukueleza humu Willian ni worst blah blah zikawa nyingi matokeo uliyaona before that nilieleza Pepe matokeo tunayaona.

Fuatilia comments zako kuhusu Torreira, Mari, Maitland Niles, Saliba wakati wanasajiliwa na wakati wanaondoka unaweza kupata kujielewa ni mtu wa callibre gani.

Abraham sio mchezaji wa kucheza Arsenal tafuta zipo a lot of facts na factors, Abraham ni Seria A league na other farmers leagues player.
Uchizi ni kusupport vitu blindly.

Timu ipo kwenye uhitaji wa kujaza nafasi zaidi ya nne ikatokea anatajwa mchezaji wa kuziba nafasi kutoa maoni siyo dhambi.

Mfano tukaambiwa Arsenal tunamtaka Rashford kwakua tunahitaji winga na kwavile anaweza kucheza nafasi tatu uwanjani basi wote tukubali kisa kocha kasema? Hakuna kitu kama hicho.

Tutasema ukweli kwamba Rashford ni mvivu, ana poor finishing na hana vision na accuracy katika pasi. Hata akija aje ila ukweli tutakua tumeusema.

Sasa anatajwa Tammy tunasema ukweli huyo kwa price tag yake achana naye muamini Folarin na Martinelli kisha nunua Nunez.

Anakupa hoja eti 'Muamini kocha'
 
Msiogope kuchallenge mawazo na uchaguzi wa kocha. Yeye ni binadamu pia na anakosea. Mfano wa rashford umetumika huko juu na castr. Je kisa tu arteta kamtaka basi mashabiki wasitoe maoni yao kutokana na wanavyomjua.? Mimi pia naona tunahitaji striker ila namkubali sana martinelli hivyo nataka aboreshwe na awe kwenye front 3. Yaani kwa mawazo yangu front 3 namuweka kwanza martinelli, afu kina saka, strikers etc wawanie hizo nafasi mbili. Mid namuweka partey afu kina xhaka, ode, etc wawanie nafasi zingine. Hayo ni kutokana na kile ninachokiona kwa hao jamaa. Martinelli ajifunze kuangalia juu akiwa na mpira na kutoa pass mapema anapozingirwa kuliko kuforce chenga sometimes. Ila ndani ya box akiwa na mpira na mabeki watatu wamemzingira there's no one i'd rather see on the ball in such a situation maana najua jamaa ataforce mpaka kieleweke. Aweze tu kupass acurately pia.
Hapa naweza kuona hakuna haja ya tammy.

Naweza sema naona tunahitaji striker mmoja matata, sanchez na cavani type. Tunahitaji creative midfielder top class, better than odegaard. Then tunahitaji box to box mid, type ya kante, better than xhaka kupartner partey, ila aweze kushika nafasi ya partey na kupartner xhaka.
 
Jesus hata wakitoa 100 ni affordable kwa shughuli yake uwanjani
Gabriel Jesus, this season:

⚽️🅰️ vs Arsenal
⚽️ vs Chelsea
⚽️ vs RB Leipzig
⚽️🅰️ vs Paris Saint-Germain
⚽️🅰️🅰️ vs Liverpool
⚽️ vs Real Madrid

𝗕𝗜𝗚. 𝗚𝗔𝗠𝗘. 𝗣𝗟𝗔𝗬𝗘𝗥.
 
Likija swala la usajili, Arsenal sio timu ya kuamini hata kidogo. Dirisha likifunguliwa ni tetesi hadi mwisho.

Subiri uone saga la Jesus, linaweza kwenda hivi hadi dirisha lifunguliwe hadi lifungwe. BTW mimi nasapoti Jesus kuja Arsenal, he's an upgrade.

Arsenal kwenye usajili wanakera mno mno.
 
Wewe unaijua arsenal vizuri kwenye suala la usajili. Tunapewa matumaini ila mwishowe huzuni
Likija swala la usajili, Arsenal sio timu ya kuamini hata kidogo. Dirisha likifunguliwa ni tetesi hadi mwisho.

Subiri uone saga la Jesus, linaweza kwenda hivi hadi dirisha lifunguliwe hadi lifungwe. BTW mimi nasapoti Jesus kuja Arsenal, he's an upgrade.

Arsenal kwenye usajili wanakera mno mno.
 
🗣Paul Scholes on the advice he would give to incoming Manchester United manager Erik ten Hag:

“If you look at what Arteta has done at #Arsenal, that was a big rebuilding job and he’s taken no nonsense. I think this manager has to do exactly the same.” 👀👍

IMG_20220428_082641.jpg
 
Arsenal when Tierney, Partey and Xhaka have played at least 70 minutes together this season:

Games 13
Won 11
Lost 2 (City & Liverpool)
Drawn 0

Only 13 games out of 33…
 
Arteta anataka nini kwa Tammy? Au kaona nini?
Haya ndio maswali makuu ya kujiuliza

Ameona backs za EPL bila kuwa na mtu kaliba ya (drogba, Suarez, Aguero, delima, lewandosk) kuna game mambo yanaweza yakakugomea
Nachomaanisha angalia backs za man city, Liverpool, Brighton. Unaweza ukawa unapata picha

Martinel au Jesus ata awe mzuri vipi akikutana na van D, bas usitegemee makubwa
Ila Jaribu kuvuta picha usumbufu wa Suarez akikutana na huyo huyo van D. Lazima wajipange

Lacazette amesha feli, good to say goodbye

Tammy ni suluhisho kwenye backs kama Liverpool, city?
Tammy anaweza ku-link na team kwenye build-up?
Vipi kuhusu injuries???
Price tag hii tunayoiona au itashuka?


Kuhusu Tammy nashauli tuwe subra kidogo the gunners
 
kuna dogo mmoja yupo Crystal Palace kwa mkopo, ni mali ya Chelsea, namkubali sana, ni midfilder anacheza sana AM, mara chache kama DM. Najua sio rahisi kumpata, lakini ni machine ninayoielewa ikiwa uwanjani. Conor Callagher.
 
Osimhen dreams of moving to the Premier League, where Arsenal and Manchester United are his favourite destinations. His agent is in talks with both clubs and has informed Napoli about Arsenal & United interest.

 
Naudhika kuona tetesi za wachezaji ambao kimsingi tunawahitaji, in the end zinabakia kuwa rumours tu..hilo linanikera!
Sio Kila tetes au mchezaji lazima atue, nafas moja Kuna weza kuwa na majina hata 7 , anayetakiwa mmoja
 
Back
Top Bottom