Arteta anataka nini kwa Tammy? Au kaona nini?
Haya ndio maswali makuu ya kujiuliza
Ameona backs za EPL bila kuwa na mtu kaliba ya (drogba, Suarez, Aguero, delima, lewandosk) kuna game mambo yanaweza yakakugomea
Nachomaanisha angalia backs za man city, Liverpool, Brighton. Unaweza ukawa unapata picha
Martinel au Jesus ata awe mzuri vipi akikutana na van D, bas usitegemee makubwa
Ila Jaribu kuvuta picha usumbufu wa Suarez akikutana na huyo huyo van D. Lazima wajipange
Lacazette amesha feli, good to say goodbye
Tammy ni suluhisho kwenye backs kama Liverpool, city?
Tammy anaweza ku-link na team kwenye build-up?
Vipi kuhusu injuries???
Price tag hii tunayoiona au itashuka?
Kuhusu Tammy nashauli tuwe subra kidogo the gunners