Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

news

Screenshot_20220427-005436~2.png
 
Kaisikilize tena Press aliyofanya na hao Epsn Brazil kabla mech na man u Emirates stadium,

Hao wachezaj wawili alimaanisha Big names , amesema msimu huu walisajiri vile kubalance kikos , ila msimu ujao wapo tayari na Kse wamesha approve kutumia hela kubwa kwa signing kubwa 1 or 2, ndicho alichomaanisha sio kwamba watasajiri wachezaji wawili tu

Kuhusu washambuliaji wanahitaji wawili na viungo wawili,

Eddie na Laca hawatabaki , hivo replacement zao ndio hizo ya Kwanza ni Jesus , nyingine ndio wana majina hayo kina Osmhen, Tammy, Nunez, n.k

Hii sajiri ya pili ya ST lazima Kuna hela itatoka kuanzia £50m na kuendelea , ni moja ya hizo signing alizozitaja Edu
Tujifunze kutonena tukamala linapokuja swala usajili na Arsenal.

Huyu huyu Edu alisema tunahitaji CM na tutamsajili dirisha la January, dirisha lilipita na leo tupo hapa.

Big signings anazosema zipi?
 
£25m-35m kwa Jesus ni pesa nyingi?

Tena nasikia Arsenal watatoa €30-35m tu , maana kabakiza mwaka mmoja
Hii ni bei imetajwa kwenye fununu. Bado hatujapewa gharama rasmi katika fununu nilizoziona mimi imetajwa 50M na mshahara wa 6M kwa mwaka.

Kwa sasa analipwa 3.5M so tunamzidishia 2.5M mchezaji ambaye alipotoka amekua second choice. Na ilitakiwa uletwe mbadala wake for seasons
 
Hii ni bei imetajwa kwenye fununu. Bado hatujapewa gharama rasmi katika fununu nilizoziona mimi imetajwa 50M na mshahara wa 6M kwa mwaka.

Kwa sasa analipwa 3.5M so tunamzidishia 2.5M mchezaji ambaye alipotoka amekua second choice. Na ilitakiwa uletwe mbadala wake for seasons
Haiwez kufika 50 amebaliza mwaka mmoja , Chris wheatley ,na vyanzo vya Brazil vinasema ni euro 25-35m.

🚨 Arsenal are expected to make a £35m bid for Gabriel Jesus. Reports, @ChrisWheatley_. Roma's Abraham asking price confirmed as Jesus details emerge

Mshahara lazima wamuongezee, ili kumshawishi kuja, 6.5per yr ni karibu 130per week ,
 
Tujifunze kutonena tukamala linapokuja swala usajili na Arsenal.

Huyu huyu Edu alisema tunahitaji CM na tutamsajili dirisha la January, dirisha lilipita na leo tupo hapa.

Big signings anazosema zipi?
Sababu za kutosajiri January walisema tuna cheza epl tu , kwanini wasajiri il mradi wakasema January kwao ni dirisha la dharula tu,

Na siku zote imekuwa hivo, target walizozitaka wewe mwenyewe unajua ugumu uliotokea , dusan na Arthur,
 
Naingia humu excited kusoma ishu mpya kumbe pages zimejaa watu wanatukanana na kuleteana dharau tu.

Sad sana.

Tukubaliane kuwa hatufanani maoni. Wanaoona arteta ni boonge la kocha waelewe kuwa wapo wanaomuona dhaifu. Mimi mwenyewe nimeweka wazi kuwa huo uamaaazing coach wa arteta wanaoona wengine mimi simply siuoni. Sisemi ni wa hovyo. Nasema si elite. Kuna anachofanya watu wanaona kama ni miujiza mimi nikaona ni basic tu and i expect more. itafika wakati atajidhihirisha uamazing wake na kila mmoja atamkubali. kwangu hajafika hapo, so what? nisipomkubali atakufa au wanaomkubali watakufa kisa mie sijamkubali?

Si lazima tufanane, huo ndo ubinadamu.
Wapo wanakiji wakipelekewa maji na serikali leo wataomba rais awe canonized na wapo wataosema maji yalipaswa kuja 30 years ago na sasa tulipaswa kuwa na research centre ya mambo flani. Si lazima tufanane.

Wanaoona jesus bonge la player waelewe kuwa wapo wanaoona kuna players wakali zaidi wanaostahili kufuatiliwa.

Pia msiamini maneno ya edu, yule mwamba ni politician tu mwenye maneno mazuri na matendo nusu. Hakosi sababu. Hivyo basi tusubiri. Mtu akisema 'does not rule out more signings' hamaanishi anataka signings. Inamaanisha zaidi kwamba hataki more signings ila 'ikibidi au ikilazimu au fursa ikijitokeza nikaona embe chini ya mnazi' ataongeza. Hizi lugha zipo tangu enzi za wenger., wengine washazizoe wakisoma tu wanajua 'hakuna signings hapa' au 'nitaamini nikiona darwin kashika jezi au anapiga picha kaegemea kale kaukuta chetu cha mbao pale colney'

all in all tuheshimiane.

wapo walioniuliza kwa nini nasema hiki au kile. nikatoa sababu nao wakanijibu nikajikuta nimegundua vitu zaidi nikapata kitu. baadhi ya points zao zikaniongezea imani kwa kocha, nyingine hazikunipa imani, maisha yanaendelea.

nasisitiza, guys, heshima. it's just football. kwa wengine hii ni burudani tu. matusi ya nini?


P.S. Na sisi waliotuita 'genge la #artetaout' tuelewe kuwa wapo wanaomuona arteta ni genius na sahihi kwa timu yetu. Tuheshimu maoni yao na tuenjoy arsenal yetu kwa pamoja. Sooner or later ataleta mafanikio makubwa na sisi 'genge' tutajiunga nao kumsifia na kutaka aongezewe kandarasi au ataboronga zaidi nao watamgeuka na kumtaka aondoke. Mpira ndivyo ulivyo.
 
Kwa sasa analipwa 3.5M so tunamzidishia 2.5M mchezaji ambaye alipotoka amekua second choice. Na ilitakiwa uletwe mbadala wake for seasons
Kuna ubaya
Sasa mtu anakutajia Tammy Abraham kweli?
Huyo inasemekana anayemtaka ni Arteta mwenyewe , Sasa jiulize ww unamkataa kama Nani?ikiwa Kocha ni chaguo lake

Last summer mlikataa usajiri wa Ramsadale, Odegaard,tomiyasu, hata Ben white
 
Kwa sasa analipwa 3.5M so tunamzidishia 2.5M mchezaji ambaye alipotoka amekua second choice. Na ilitakiwa uletwe mbadala wake for seasons
Kwa city pale hakuna aliye first choice zaid ya rodri na ederson , wengine wote no mwendo wa rotation
 
Naingia humu excited kusoma ishu mpya kumbe pages zimejaa watu wanatukanana na kuleteana dharau tu.

Sad sana.

Tukubaliane kuwa hatufanani maoni. Wanaoona arteta ni boonge la kocha waelewe kuwa wapo wanaomuona dhaifu. Mimi mwenyewe nimeweka wazi kuwa huo uamaaazing coach wa arteta wanaoona wengine mimi simply siuoni. Sisemi ni wa hovyo. Nasema si elite. Kuna anachofanya watu wanaona kama ni miujiza mimi nikaona ni basic tu and i expect more. itafika wakati atajidhihirisha uamazing wake na kila mmoja atamkubali. kwangu hajafika hapo, so what? nisipomkubali atakufa au wanaomkubali watakufa kisa mie sijamkubali?

Si lazima tufanane, huo ndo ubinadamu.
Wapo wanakiji wakipelekewa maji na serikali leo wataomba rais awe canonized na wapo wataosema maji yalipaswa kuja 30 years ago na sasa tulipaswa kuwa na research centre ya mambo flani. Si lazima tufanane.

Wanaoona jesus bonge la player waelewe kuwa wapo wanaoona kuna players wakali zaidi wanaostahili kufuatiliwa.

Pia msiamini maneno ya edu, yule mwamba ni politician tu mwenye maneno mazuri na matendo nusu. Hakosi sababu. Hivyo basi tusubiri. Mtu akisema 'does not rule out more signings' hamaanishi anataka signings. Inamaanisha zaidi kwamba hataki more signings ila 'ikibidi au ikilazimu au fursa ikijitokeza nikaona embe chini ya mnazi' ataongeza. Hizi lugha zipo tangu enzi za wenger., wengine washazizoe wakisoma tu wanajua 'hakuna signings hapa' au 'nitaamini nikiona darwin kashika jezi au anapiga picha kaegemea kale kaukuta chetu cha mbao pale colney'

all in all tuheshimiane.

wapo walioniuliza kwa nini nasema hiki au kile. nikatoa sababu nao wakanijibu nikajikuta nimegundua vitu zaidi nikapata kitu. baadhi ya points zao zikaniongezea imani kwa kocha, nyingine hazikunipa imani, maisha yanaendelea.

nasisitiza, guys, heshima. it's just football. kwa wengine hii ni burudani tu. matusi ya nini?


P.S. Na sisi waliotuita 'genge la #artetaout' tuelewe kuwa wapo wanaomuona arteta ni genius na sahihi kwa timu yetu. Tuheshimu maoni yao na tuenjoy arsenal yetu kwa pamoja. Sooner or later ataleta mafanikio makubwa na sisi 'genge' tutajiunga nao kumsifia na kutaka aongezewe kandarasi au ataboronga zaidi nao watamgeuka na kumtaka aondoke. Mpira ndivyo ulivyo.
FACT
 
Sasa mtu anakutajia Tammy Abraham kweli?
Ifike mahala tuheshimu maamuz ya Kocha , dirisha lililopita lilituumbua , mashabik tuna Target zetu na Kocha ana Target zake , Arteta alitukanwa sana kwann anatoa 50 kwa white wakat anamtoa mkopo saliba

Kwann asimlete onana anamleta Ramsadale,

Kwenye midfielders Target yake namba 1 kabisa alikuwa Odegaard , Fabrizio alikuwa akiandika hivo , comment ni matusi tu, kwann asiwe Madison,n.k

Maana Odegaard alikuja loan ila alitoka na goli moja ,

Lkn Kocha alisema ndio Target yake namba 1,

Now hatuoni kelele tena kuhusu Martin Odegaard na anaenda kuwa captain next season
 
Kuna ubaya
Huyo inasemekana anayemtaka ni Arteta mwenyewe , Sasa jiulize ww unamkataa kama Nani?ikiwa Kocha ni chaguo lake

Last summer mlikataa usajiri wa Ramsadale, Odegaard,tomiyasu, hata Ben white
Muda hao watu wanasajiliwa wewe ulikua umejipiga ban kutokana na matokeo ya timu hivyo hujui watu tuliandika nini.

Arteta akimtaka mtu automatically huyo mtu anakua bora katika anachofanya na haturuhusiwi kuangalia alipopita, alivyocheza na mchango wake? Kwani Arteta si ndiye alimuopt Partey na Ceballos badala ya Aouar? Nini kilifuata?

Few screenshots unazopost hapa hazikufanyi uwe Arsenal zaidi yangu na hazikupi mamlaka ya wewe kuniuliza mimi ni nani namkataa Tammy.

Kama unaamini unaweza ona quality ya usajili wa mtu njoo na hoja, haya maneno ya jikoni yahifadhi utayatumia siku ikifika.
 
Muda hao watu wanasajiliwa wewe ulikua umejipiga ban kutokana na matokeo ya timu hivyo hujui watu tuliandika nini.

Arteta akimtaka mtu automatically huyo mtu anakua bora katika anachofanya na haturuhusiwi kuangalia alipopita, alivyocheza na mchango wake? Kwani Arteta si ndiye alimuopt Partey na Ceballos badala ya Aouar? Nini kilifuata?

Few screenshots unazopost hapa hazikufanyi uwe Arsenal zaidi yangu na hazikupi mamlaka ya wewe kuniuliza mimi ni nani namkataa Tammy.

Kama unaamini unaweza ona quality ya usajili wa mtu njoo na hoja, haya maneno ya jikoni yahifadhi utayatumia siku ikifika.
Mbona una hasira , kutokuwepo humu mara kadhaa na sababu zangu binafsi ,ila hainuzuii kurud na kusoma comment

Ww ulikuwa kinara na umekuwa kinara wa kupinga sajiri na zinakuumbua , ulikomaa humu aletwe onana ,

Halafu ceballos sio usajiri wa Arteta kamkuta ni mkopo na alimtudisha Madrid, Partey ndio usajiri wake kabisa na tunaona Matokeo yake

Huyo Aouar uliyetaka Aje walimuacha

Tufike mahala tuheshimu taaluma za watu

Ceballos hajawahi kuletwa na Arteta ,

Arteta na Edu toka last season Tammy yupo kwenye list yao , wewe unamkataa kama Nani? Ume anilize vitu gan tofaut na wao

Gabriel Jesus unamkataa , Kocha anamuhitaji, njoo na fact ume anilize vitu gani tofaut na Kocha
 
Ifike mahala tuheshimu maamuz ya Kocha , dirisha lililopita lilituumbua , mashabik tuna Target zetu na Kocha ana Target zake , Arteta alitukanwa sana kwann anatoa 50 kwa white wakat anamtoa mkopo saliba

Kwann asimlete onana anamleta Ramsadale,

Kwenye midfielders Target yake namba 1 kabisa alikuwa Odegaard , Fabrizio alikuwa akiandika hivo , comment ni matusi tu, kwann asiwe Madison,n.k

Maana Odegaard alikuja loan ila alitoka na goli moja ,

Lkn Kocha alisema ndio Target yake namba 1,

Now hatuoni kelele tena kuhusu Martin Odegaard na anaenda kuwa captain next season
Waliokua wanatukana usajili wa White walikua mashabiki wa united wakimfananisha Varane na White. Sisi mashabiki wa Arsenal ambao hatukujipiga ban kama wewe tulikua tunamtetea White kwenye uzi wa united na kwenye uzi huu.

Tukaonyesha kasoro za Varane na kwanini White kasajiliwa.

Maddison ni long shot merchant na kwa kumbukumbu zangu ni mtu mmoja tu humu alikua anasema atafaa Arsenal. Price tag yake ilikua wizi na wengi tukaridhia kuachana naye kwa hiyo price tag.

Odegaard alikua hovyo. He had his moments ambazo wengi tulikubaliana kua jamaa ana quality ila tutahitaji muda naye.

Wakati Ramsdale anakuja zaidi ya stats alikua na nini kingine? Arteta alisema attitude akifungwa. Mimi str8 up nilisema Aaron siyo shot stopper, kwa magoli anayoconcede sioni wapi nimeongopa.

Arteta alimess up usajili akasababisha wewe ujifiche, sisi tulibaki hapa hapa. Leo umerudi unaanza kuandika as if una hati miliki na timu
 
Kama unaamini unaweza ona quality ya usajili wa mtu njoo na hoja, haya maneno ya jikoni yahifadhi utayatumia siku ikifika.
Acha hasira , Wala hakuna sehemu nimeleta maneno ya jikoni

Nimekukumbusha tu umekuwa kinara wakuwa na sajiri zako tofaut na Kocha ,

Fika mahali kubaliana na Kocha anpoenda tofaut na sajiri za kichwan mwako ,simple

Kocha ana structure yake anajua fulan atafit ,sio majina ilimrad tu
 
Back
Top Bottom